Jinsi ya kuosha maiti hatua kwa hatua

Watu wanaogopa kufa. Huu ni ukumbusho kwamba sisi wote tutakufa tupo njiani . tutende yanayompendeza muumba.
 
Duh..! hata kale kajamaa kenye avatar ya mtoto aliyebemendwa kanakokuwaga kakwanza kukoment kila uzi leo hakajatia neno hapa ujue huu uzi ni balaa.
Huu uzi mkuu ni balaa,maana kuusoma si kaz ndogo,ndo maana nikamuuliza ana maana gani
 
Ahsante mkuu,kwanza ukimuosha maiti unajua on the spot mwanaadamu si kitu hapa duniani!Nilijifunza hili wakati na muosha marehemu babaangu,mungu ampe Kauli Thabit!
 
Namba 4 Kwa kiswahili cha kwetu Pwani.. Ni kumpondoa maiti
 
Duh..! hata kale kajamaa kenye avatar ya mtoto aliyebemendwa kanakokuwaga kakwanza kukoment kila uzi leo hakajatia neno hapa ujue huu uzi ni balaa.
Kale ni kajobless saiv kameenda kucheza
 
Hayo ni mafundisho katika imani ya kiislamu!
"Waislamu tunaamini ile ni nyumba ya kwanza miongoni mwa nyumba za mbinguni na ya mwisho miongoni mwa nyumba za dunia"
Yampasa maiti apelekwe hali ya kuwa ni msafi.
Sawa, lakini kwani hii ni elimu ya hadhara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…