Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
My point is kwanini TRA wasiunganishie kila mtu free of charge ?, Mwanzo walisema ni bure ila unanunua alafu baadae una-claim kutoka kwenye Kodi yako (hilo bado lipo kwamba pesa itarudishwa)?hiyo software unaweza kutumia kwenye simu yoyote haihitaji kuistall na unaweza kuunganisha na simu zaidi ya moja, mfano wanafanya biashara ya kusambaza bidhaa haihitaji kila gari inayotoka kwenda kusambaza mzigo iwe na mashine ya EFD akiwa na simu yake na printer ndogo inatosha kutoa risiti.
Kiendacho kwa mganga hakirudi,pesa hairudishwi Ila itatumika ku set-off your tax liabilities.My point is kwanini TRA wasiunganishie kila mtu free of charge ?, Mwanzo walisema ni bure ila unanunua alafu baadae una-claim kutoka kwenye Kodi yako (hilo bado lipo kwamba pesa itarudishwa)?
Wapee wakajilie kwa urefu wa kamba zaoAta mje kwa njia gani kodi hatuwezi wapea yote mnufaishe matumbo na mishahara yenu. Tunawasubiri field tarehe 1
Hapo ndipo wanapofail kukusanya kodi kwanini uwauzie kitendea kazi mpe kila mfanyabiashara ili uweze kukusanya kodiKwahio wameona njia nzuri ya kufanya watu waweze kulipa kodi na kuwasaidia kwenye makusanyo ni kuwauzia kitendea kazi cha makusanyo hao ?
Kwanini software isiwepo tu mtu unaunganishwa ili uweze kutumia device yoyote au wasisambaze devices hizo kwa watu ? (Hii nchi bado sana) kwahio watakamata watu na kuwapeleka wapi gerezani ili watumie makusanyo kuwalisha ?
Hawa jamaa si walikatazwa kututishia ? Sa hii Kamata Wote inatoka wapi tena? huyu kidata Itakuwa keshashiba bila shaka.Zimebaki siku mbili tu mamlaka ya mapato Tanzania kuanzisha kampeni maalumu ya KAMATA WOTE mikoa yote 'Muuzaji kukutwa hajatoa risiti faini yake ni kuanzia 3,000,000 hadi 4,500,000...
Ili kuepuka na faini pamoja na kadhia hiyo jiunge na mfumo wa DIRM VFD ni mfumo mpya uliothibitishwa na TRA kutoa risiti za EFD zenye QR CODE kwa kutumia simu ya mkononi au kompyuta kwa kwa shiling laki tatu tu, (300,000 unapata pamoja na printer).
Huu mfumo ni Bora na rafiki kwa wafanyabiashara au watoa huduma kwani utakaokuwezesha kutoa risiti popote ulipo bila kikomo, inapunguza garama mpaka 50%, hakuna marekebisho ya mara kwa mara n.k.
Wasiliana nasi Dirm VFD kupiga au whtsp 0753688348
View attachment 2101549
View attachment 2101550
Mleta mada kaleta tangazo la tra halafu kaungamisha na biashara yake. Hio vfd mleta mada ndio anauza sio tra. Tra wao wanataka utoe na udai risiti ya efdKwahio wameona njia nzuri ya kufanya watu waweze kulipa kodi na kuwasaidia kwenye makusanyo ni kuwauzia kitendea kazi cha makusanyo hao ?
Kwanini software isiwepo tu mtu unaunganishwa ili uweze kutumia device yoyote au wasisambaze devices hizo kwa watu ? (Hii nchi bado sana) kwahio watakamata watu na kuwapeleka wapi gerezani ili watumie makusanyo kuwalisha ?