INAUZWA Jiunge na Dirm VFD uokoe 50% ya EFD machine, ni bora, salama kisasa zaidi
Mleta mada kaleta tangazo la tra halafu kaungamisha na biashara yake. Hio vfd mleta mada ndio anauza sio tra. Tra wao wanataka utoe na udai risiti ya efd
TRA waliwapa watu authorized dealers ili ndio wauze hizo efd kwa bei elekezi ambayo ni kubwa na quality mbovu (nahisi hii ndio michongo ya watu) bila ya mleta mada ni cheaper kuliko hao authorised dealers...

Wangetaka kuanzia mwanzo kila mtu mwenye mashine yake anayoitoa popote wamuwekee software (ila mwanzo haikuwa hivyo) mashine zao mbaya sio user friendly na bei ya juu (yaani ni full kula kwa urefu wa kamba zao)
 
Zimebaki siku mbili tu mamlaka ya mapato Tanzania kuanzisha kampeni maalumu ya KAMATA WOTE mikoa yote 'Muuzaji kukutwa hajatoa risiti faini yake ni kuanzia 3,000,000 hadi 4,500,000...

Ili kuepuka na faini pamoja na kadhia hiyo jiunge na mfumo wa DIRM VFD ni mfumo mpya uliothibitishwa na TRA kutoa risiti za EFD zenye QR CODE kwa kutumia simu ya mkononi au kompyuta kwa kwa shiling laki tatu tu, (300,000 unapata pamoja na printer).

Huu mfumo ni Bora na rafiki kwa wafanyabiashara au watoa huduma kwani utakaokuwezesha kutoa risiti popote ulipo bila kikomo, inapunguza garama mpaka 50%, hakuna marekebisho ya mara kwa mara n.k.

Wasiliana nasi Dirm VFD kupiga au whtsp 0753688348

View attachment 2101549

View attachment 2101550
Vitisho ubabe kunyanyasa raia kujifanya wapo juu ya sheria kujifanya miungu mitu
 
Mleta mada kaleta tangazo la tra halafu kaungamisha na biashara yake. Hio vfd mleta mada ndio anauza sio tra. Tra wao wanataka utoe na udai risiti ya efd
ni kweli tunakurahisishia na kupunguza garama kwani bila VFD itabidi ujipange sio chini ya laki sita kununua EFD au upigwe faini ya kuanzia milioni tatu na kuendelea....
 
TRA waliwapa watu authorized dealers ili ndio wauze hizo efd kwa bei elekezi ambayo ni kubwa na quality mbovu (nahisi hii ndio michongo ya watu) bila ya mleta mada ni cheaper kuliko hao authorised dealers...

Wangetaka kuanzia mwanzo kila mtu mwenye mashine yake anayoitoa popote wamuwekee software (ila mwanzo haikuwa hivyo) mashine zao mbaya sio user friendly na bei ya juu (yaani ni full kula kwa urefu wa kamba zao)
Ahsante kwa ufafanuzi VFD imeboreshwa ili kupunguza usumbufu wa mara kwa mara, kutumia garama kubwa lakini kuongeza ufanisi zaidi kama kutunza risiti, kutuma z-repoart automatic nk..

katika upande wa garama kitu ulichokuwa unapata kwa laki sita sasa hivi unapta kwa laki tatu kikiwa kimeboreshwa zaidi, service charge ya kila mwaka kutoka laki mbili na elfu hamsini mpaka elf sitini, ukiwa na magari ya kusambaza bidhaa ulitakiwa kila gari liwe na mshine kwa maana ya laki sita kila gari lakini hapa ni kitendo muuzaji kuwa na simu na printa ndogo ya laki moja na nusu tu, na printer sio lazima sana anaweza kuwatumia wateja online PDF nk,,....
 
Imebaki siku moja tu 😳😳😳😳 mamlaka ya mapato Tanzania kuanzisha kampeni maalumu ya KAMATA WOTE mikoa yote 'Muuzaji kukutwa hajatoa risiti faini yake ni kuanzia 3,000,000 hadi 4,500,000...

Ili kuepuka na faini pamoja na kadhia hiyo jiunge na mfumo wa DIRM VFD ni mfumo mpya uliothibitishwa na TRA kutoa risiti za EFD zenye QR CODE kwa kutumia simu ya mkononi au kompyuta kwa kwa shiling laki tatu tu, (300,000 unapata pamoja na printer).

Wasiliana nasi Dirm VFD kupiga au whtsp 0753688348
 
Atapunguzaje tozo wakati mapato yameshuka mpaka anaamua kutumia style ya jino kwa jino, ugoko kwa ugoko, si alisema hakuna haja ya kutishiana misuli kwenye kukusanya kodi hii kamata kamata inatokea wapi tena!!? Inshort mama yako HAJUI ANATAKA NINI.
Huwa mnatumia Makario kufikiria au ni chuki binafsi kwa Samia zinakutafuna?
Yaani Halmashauri na TRA zimevuka malengo ya Makusanyo,watalii wanamiminika, wawekezaji kibao hayo mapato yatashuka vipi?

Wewe kwa akili yako unaweza nipa sababu za kushuka kwa mapato?

Screenshot_20220128-230952.png


Screenshot_20220128-082747.png


Screenshot_20220128-082842.png




IMG-20220101-WA0020.jpg


Screenshot_20220129-203802.png


Screenshot_20220129-203528.png


Screenshot_20220127-202315.png


Screenshot_20220125-214046.png


Screenshot_20220126-105020.png


Screenshot_20220125-125256.png


Screenshot_20220124-194552.png


Screenshot_20220127-203515.png
 
Lini Magufuli alipiga marufuku kukamata wasiotoa Risiti?? Kipindi cha Magufuli TRA walikuwa wanakamata balaa.
Alipiga marufuku TRA kupita kwenye maduka ya watu. Lini uliwaona wakati wa Magufuli wanapita mlango kwa mlango? Hapa watakula rushwa mpaka basi! Huyu mama naye aruhusu kichwa chake kufanya kazi bwana!
 
Huwa mnatumia Makario kufikiria au ni chuki binafsi kwa Samia zinakutafuna?
Yaani Halmashauri na TRA zimevuka malengo ya Makusanyo,watalii wanamiminika, wawekezaji kibao hayo mapato yatashuka vipi?

Wewe kwa akili yako unaweza nipa sababu za kushuka kwa mapato?

View attachment 2102114

View attachment 2102115

View attachment 2102116

View attachment 2102117

View attachment 2102118
Maisha haya bana,mhede kumbe walimtoa TRA wakamtupia huko DART?

Nilikua sijui.
 
Back
Top Bottom