TRA waliwapa watu authorized dealers ili ndio wauze hizo efd kwa bei elekezi ambayo ni kubwa na quality mbovu (nahisi hii ndio michongo ya watu) bila ya mleta mada ni cheaper kuliko hao authorised dealers...Mleta mada kaleta tangazo la tra halafu kaungamisha na biashara yake. Hio vfd mleta mada ndio anauza sio tra. Tra wao wanataka utoe na udai risiti ya efd
Lini Magufuli alipiga marufuku kukamata wasiotoa Risiti?? Kipindi cha Magufuli TRA walikuwa wanakamata balaa.Mama asiruhusu huu ujinga? TRA wanataka kula rushwa. Ujinga huu mwendazake aliupiga marufuku. Kwa vile tunaongozwa na mburura wataachia hii kitu!
Atapunguzaje tozo wakati mapato yameshuka mpaka anaamua kutumia style ya jino kwa jino, ugoko kwa ugoko, si alisema hakuna haja ya kutishiana misuli kwenye kukusanya kodi hii kamata kamata inatokea wapi tena!!? Inshort mama yako HAJUI ANATAKA NINI.Mama atapunguza ikiwemo tozo
Vitisho ubabe kunyanyasa raia kujifanya wapo juu ya sheria kujifanya miungu mituZimebaki siku mbili tu mamlaka ya mapato Tanzania kuanzisha kampeni maalumu ya KAMATA WOTE mikoa yote 'Muuzaji kukutwa hajatoa risiti faini yake ni kuanzia 3,000,000 hadi 4,500,000...
Ili kuepuka na faini pamoja na kadhia hiyo jiunge na mfumo wa DIRM VFD ni mfumo mpya uliothibitishwa na TRA kutoa risiti za EFD zenye QR CODE kwa kutumia simu ya mkononi au kompyuta kwa kwa shiling laki tatu tu, (300,000 unapata pamoja na printer).
Huu mfumo ni Bora na rafiki kwa wafanyabiashara au watoa huduma kwani utakaokuwezesha kutoa risiti popote ulipo bila kikomo, inapunguza garama mpaka 50%, hakuna marekebisho ya mara kwa mara n.k.
Wasiliana nasi Dirm VFD kupiga au whtsp 0753688348
View attachment 2101549
View attachment 2101550
ni kweli tunakurahisishia na kupunguza garama kwani bila VFD itabidi ujipange sio chini ya laki sita kununua EFD au upigwe faini ya kuanzia milioni tatu na kuendelea....Mleta mada kaleta tangazo la tra halafu kaungamisha na biashara yake. Hio vfd mleta mada ndio anauza sio tra. Tra wao wanataka utoe na udai risiti ya efd
Ahsante kwa ufafanuzi VFD imeboreshwa ili kupunguza usumbufu wa mara kwa mara, kutumia garama kubwa lakini kuongeza ufanisi zaidi kama kutunza risiti, kutuma z-repoart automatic nk..TRA waliwapa watu authorized dealers ili ndio wauze hizo efd kwa bei elekezi ambayo ni kubwa na quality mbovu (nahisi hii ndio michongo ya watu) bila ya mleta mada ni cheaper kuliko hao authorised dealers...
Wangetaka kuanzia mwanzo kila mtu mwenye mashine yake anayoitoa popote wamuwekee software (ila mwanzo haikuwa hivyo) mashine zao mbaya sio user friendly na bei ya juu (yaani ni full kula kwa urefu wa kamba zao)
Huwa mnatumia Makario kufikiria au ni chuki binafsi kwa Samia zinakutafuna?Atapunguzaje tozo wakati mapato yameshuka mpaka anaamua kutumia style ya jino kwa jino, ugoko kwa ugoko, si alisema hakuna haja ya kutishiana misuli kwenye kukusanya kodi hii kamata kamata inatokea wapi tena!!? Inshort mama yako HAJUI ANATAKA NINI.
Alipiga marufuku TRA kupita kwenye maduka ya watu. Lini uliwaona wakati wa Magufuli wanapita mlango kwa mlango? Hapa watakula rushwa mpaka basi! Huyu mama naye aruhusu kichwa chake kufanya kazi bwana!Lini Magufuli alipiga marufuku kukamata wasiotoa Risiti?? Kipindi cha Magufuli TRA walikuwa wanakamata balaa.
Hayo ni maneno ya kujifariji tuu ila ukibambwa ni shidaAta mje kwa njia gani kodi hatuwezi wapea yote mnufaishe matumbo na mishahara yenu. Tunawasubiri field tarehe 1
Maisha haya bana,mhede kumbe walimtoa TRA wakamtupia huko DART?Huwa mnatumia Makario kufikiria au ni chuki binafsi kwa Samia zinakutafuna?
Yaani Halmashauri na TRA zimevuka malengo ya Makusanyo,watalii wanamiminika, wawekezaji kibao hayo mapato yatashuka vipi?
Wewe kwa akili yako unaweza nipa sababu za kushuka kwa mapato?
View attachment 2102114
View attachment 2102115
View attachment 2102116
View attachment 2102117
View attachment 2102118
JinaMtoto wa Samia mwenyewe anauza matairi ya magari hapo kariakoo na hatoagi risiti.
Nae wamkamate ili tujue wako serious kweli.
Atakula kichapo cha haja ili kusudi afuate mambo yake. Yani tutapasuana vilivyo maswala ya kutafta sifa kwangu lazma ajute. Yani ajikute ananishika tu aisee hataaminiDuh
Ova
HahahaAtakula kichapo cha haja ili kusudi afuate mambo yake. Yani tutapasuana vilivyo maswala ya kutafta sifa kwangu lazma ajute. Yani ajikute ananishika tu aisee hataamini