devinyo1987
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 268
- 370
Tofauti ni organization tu.JWTZ wanaweza kuwa organized kuliko hao vijana.JKT sio sehemu ya ajira kahyo haiwezi kubadilisha chochote.
Ungesikia JWTZ wametimuliwa 800 hapo lazima mtafute chaka la kukimbilia maana balaa lake sio la mchezo
Kule ni kujitolea na kupata stadi za kaziHabar wana jf .... napenda kuwakumbusha wenzangu na mimi wanaopenda jeshi...wakae wakijua jkt hakuna ajira....kuna mdogo wangu katoka kambini karud nyumbani kachakaaa analia hapa ....japo mwanzoni nilimkataza asiende.....ajira jkt ni bahat tu ..kule ni kujifunza ukakamavu na misoto
Milioni 50 ziko wapi ?
Viwanda 100 kila mkoa viko wapi?
Maendeleo hayana chama.
Magu kakaa Ikulu miaka zaidi ya 5, ameajiri wanajeshi wangapi wewe tikitimaji ??
Ahadi ngapi Magu alizitoa akatekekeza ??
Unajua ukiwa mle ndani mia kwa mia unajua wewe unaenda jw moja kwa moja na niliona wengine wanakataa ajira za vyombo vingine kisa wanataka bakabaka hadi kuwachukulia kumaliza mkataba.Habar wana jf .... napenda kuwakumbusha wenzangu na mimi wanaopenda jeshi...wakae wakijua jkt hakuna ajira....kuna mdogo wangu katoka kambini karud nyumbani kachakaaa analia hapa ....japo mwanzoni nilimkataza asiende.....ajira jkt ni bahat tu ..kule ni kujifunza ukakamavu na misoto
Waandishi wa habari nchi hii wanajali pesa hawana uthubutuSiwafundishi kazi, bali naamini taalamu yenu inawataka mfanye hivyo na si kuishia kupata taarifa za upande mmoja tu kwa maana ya maelezo ya viongozi wa Jeshi na serikali tu bila kuwahoji Vijana waliofukuzwa.
Wateendeni haki hawa vijana ili umma uweze kuwahukumu kwa haki maana teyari wameshaitwa waasi(sifa mbaya sana katika Jamii na kila watakokwenda).
Mazingira ya kufukuzwa hawa vijana, kwa mtazamo wangu, hayana tofauti na mazingira ya wale vijana waliofukuzwa UDOM na hayati Magufuli mwaka 2017.
Yangu ni hayo tu.
Hawajashindwa ni vile vitendea kazi hawana.Jkt ianze kufunza na Wizi ili Vijana wakikosa ajira waweze kuvamia Benki zilizojaa fedha za akina Ndugai
Mbona kwenye jimbo la philipo Isdori Mpango kuna magitaa ya kutoshaHawajashindwa ni vile vitendea kazi hawana.
Silaha zingekuwepo kiholela kama kule mwanzo mbona siku nyingi kingeshanuka
Wanadai kwà sababu kundi hilo mwendazake aliwahakikishia kuwa wataajiriwa
Mwanajeshi hana hakiWanyima wanajeshi haki zao halafu uone kama watakuwa watiifu.
Wenyew hayati aliwaahid ajira mkuu baada ya ujenzi kinachouma wamebaguliwa baadhi tuUnaongea sana ndio maana hata huwa hujui unatafuta nini.
Kwanza hakuna asiyejua kuwa JKT tangu wanatoa matangazo yao, hawatoi AJIRA. Ni sehemu ya kujitolea.
Kwa vyovyote wasipokupa Ajira, huna msingi wa kudai.
Tanzania Kudai Haki = Uasi“Tunasikitika kufuta mikataba ya vijana 854 wa JKT kutokana na kufanya vitendo vya uasi.”Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania - Jenerali Venance Mabey
----------
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jen. Venance Mabeyo amesema wamefuta mikataba ya Vijana 854 wa JKT ambao ni miongoni mwa walioahidiwa kupewa ajira kwa kujenga Ikulu, Chamwino na hii ni kutokana na Vijana hao kufanya uasi kwa kugoma na kuandamana kwenda Ikulu.
Mytake ; Gharama kubwa zilizotumika kuwaandaa hao vijana ili kuja kulitumikia taifa zinarejeshwa vipi?
Cha kusikitisha hapo hawana la kufanya tena.Wenyew hayati aliwaahid ajira mkuu baada ya ujenzi kinachouma wamebaguliwa baadhi tu
Hayati Magufuli alitamka hadharani vijana 2400 wapewe ajira jeshini moja kwa moja wasiende kwingine.Unaongea sana ndio maana hata huwa hujui unatafuta nini.
Kwanza hakuna asiyejua kuwa JKT tangu wanatoa matangazo yao, hawatoi AJIRA. Ni sehemu ya kujitolea.
Kwa vyovyote wasipokupa Ajira, huna msingi wa kudai.
Nchi ya mabaghosha hiiUjanja ujanja!🚶🚶🚶Tunajua mlikuwa hamtaki kuwaajiri,visingizio bakini navyo!