Ni kweli ajira ndiyo huchochea vijana kuwa occupied na mambo ya maendeleo na kutojihusisha na mambo ya uvunjifu wa sheria, lakini kitendo walichokifanya hao vijana ni cha hatari sana, huenda wangeenda mbali na hata kufanya mapinduzi ya kumpindua raisi.Ukosefu wa ajira ,ajira ,ajira na kunyima haki,uonevu ni chanzo cha kuibuka kwa vikundi vya kigaidi duniani,Note my words