Ni kweli ajira ndiyo huchochea vijana kuwa occupied na mambo ya maendeleo na kutojihusisha na mambo ya uvunjifu wa sheria, lakini kitendo walichokifanya hao vijana ni cha hatari sana, huenda wangeenda mbali na hata kufanya mapinduzi ya kumpindua raisi.Ukosefu wa ajira ,ajira ,ajira na kunyima haki,uonevu ni chanzo cha kuibuka kwa vikundi vya kigaidi duniani,Note my words
Mwendazake alikuwa laghai!Naona leo umemkubali mwendazake kimya kimya, dunia hii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasikitisha na kuumiza sana Mkuu. Jasho lao halitokwenda bure. Mungu anawaona waliowadhulumu Vijana wale. Eti fanyeni kazi kwa bidii kisha Ujenzi wa Ikulu utakapomalizika basi mtaajiriwa kwenye Vikosi mbali mbali vya Majeshi yetu. Leo wamekuwa Waasi?? Au kwakuwa kazi yao imeisha??Vijana hao, hawajawahi kulipwa chochote,walikuwa wanapewa chakula na malazi tu. Wengi ni kidato cha sita kutoka mikoa ya kanda ya ziwa, wameishi na kufanya kazi ikulu ya Dodoma kwà zaidi ya miaka miwili,leo wanafukuzwa bila hata kupewa nauli ya kwenda makwao
HeheheheMagufuli alikuwa tapeli
Kwa tetezi nasikia wamefanya kazi zaidi ya miaka 3+, wamejenga Chamwino, Ukuta wa Mererani, majengo ya magereza Ukonga, ndio walio ratibu wizi wa kura na usimamizi wa uchaguzi 2020 na n.k, pia waliahidiwa baada ya kumaliza shughuli zote hizo watapewa ajira jeshini lakini baadae upepo ukageuka na ndio maana walifanya mandamano kwenda Chamwino.Vijana hao, hawajawahi kulipwa chochote,walikuwa wanapewa chakula na malazi tu. Wengi ni kidato cha sita kutoka mikoa ya kanda ya ziwa, wameishi na kufanya kazi ikulu ya Dodoma kwà zaidi ya miaka miwili,leo wanafukuzwa bila hata kupewa nauli ya kwenda makwao
Kama waliandamana baada ya kugeukwa, hiyo ni sahihi kabisa.Kwa tetezi nasikia wamefanya kazi zaidi ya miaka 3+, wamejenga Chamwino, Ukuta wa Mererani, majengo ya magereza Ukonga, ndio walio ratibu wizi wa kura na usimamizi wa uchaguzi 2020 na n.k, pia waliahidiwa baada ya kumaliza shughuli zote hizo watapewa ajira jeshini lakini baadae upepo ukageuka na ndio maana walifanya mandamano kwenda Chamwino.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Sasa wapeleke Kilio chato.Kama waliandamana baada ya kugeukwa, hiyo ni sahihi kabisa.
Ngoja kwanza vuguvugu hili liishe na ionekane hakuna msukumo uliyowapekea wafanye hivyo ila ni kweli kama wanavyodai basi mama Samia anaweza kuwaonea huruma na kuwarudisha kwani toka raisi aingie madarakani kuna tetesi za kuwepo baadhi ya watu wasiyo waaminifu kutaka kuleta fujo, na nadhani ilimpelekea hata mama Samia mwenyewe kusema na kunukuliwa kuwa "huyu aliyesimama hapa ndiye raisi". Hivyo hivi vitu tusivione ni kama kuwanyanyasa hao vijana lakini nidhamu na utii wa sheria lazima ufuatwe.“Tunasikitika kufuta mikataba ya vijana 854 wa JKT kutokana na kufanya vitendo vya uasi.”Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania - Jenerali Venance Mabey
----------
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jen. Venance Mabeyo amesema wamefuta mikataba ya Vijana 854 wa JKT ambao ni miongoni mwa walioahidiwa kupewa ajira kwa kujenga Ikulu, Chamwino na hii ni kutokana na Vijana hao kufanya uasi kwa kugoma na kuandamana kwenda Ikulu.
via @ayotv
Mytake ; Gharama kubwa zilizotumika kuwaandaa hao vijana ili kuja kulitumikia taifa zinarejeshwa vipi?
[emoji848]hivi wakisharudi Nani atawaajiri wakati tayari ni waasi?Siwafundishi kazi, bali naamini taalamu yenu inawataka mfanye hivyo na si kuishia kupata taarifa za upande mmoja tu kwa maana ya maelezo ya viongozi wa Jeshi na serikali tu bila kuwahoji Vijana waliofukuzwa.
Wateendeni haki hawa vijana ili umma uweze kuwahukumu kwa haki maana teyari wameshaitwa waasi(sifa mbaya sana katika Jamii na kila watakokwenda).
Mazingira ya kufukuzwa hawa vijana, kwa mtazamo wangu, hayana tofauti na mazingira ya wale vijana waliofukuzwa UDOM na hayati Magufuli mwaka 2017.
Yangu ni hayo tu.
Vijana wameonesha ushujaa wa Hali ya juu Sana, tutegemee kuona mabadiliko siku zijazo kuhusu ili swala, sela Mbovu za mwenda zake zimeharibu vijana, zimetukosesha nguvu za kiume.Kwa kichapo walichopata hawatakuja kusahau, nasikia walikomaa wanataka kwenda msata kuhenya hapo washamgomea Mbuge wanataka onana na Samia tu, zikaletwa karandinga haya pandeni mwende msata kufika msata MP Kama wote wanawasubiria, wakapata kipigo heavy na kusafirishwa makwao.
Ukifuatilia vizuri maelezo ya mabeyo,anasema Kama wangekuwa ni askari wangefikishwa mahakamani,swali ni je, Kama sio askari wanaitwaje waasi?Kwa tetezi nasikia wamefanya kazi zaidi ya miaka 3+, wamejenga Chamwino, Ukuta wa Mererani, majengo ya magereza Ukonga, ndio walio ratibu wizi wa kura na usimamizi wa uchaguzi 2020 na n.k, pia waliahidiwa baada ya kumaliza shughuli zote hizo watapewa ajira jeshini lakini baadae upepo ukageuka na ndio maana walifanya mandamano kwenda Chamwino.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Kumbuka maneno ya spika kuhusu vijana wa kitanzania[emoji848]hivi wakisharudi Nani atawaajiri wakati tayari ni waasi?
Uliambiwa jeshini wanaenda watu wenye magonjwa ya mtindio wa ubongo??Yaani watu wanapodai haki zao ndiyo uasi! Bora tu niliahirisha kwenda Monduli enzi zile. Maana mpaka muda huu ningekua nimeshambamiza mtu risasi ya kichwa.