Job Ndugai anajisikiaje Tundu Lissu akilipwa stahiki zake?

Status
Not open for further replies.

Habari mbaya sana kwa wafia awamu yule. Leo hawalali.
 
Kwa utawala ule...!!!!?? kila alietaka njia ya chooni kwake isiote nyasi na pua yake iendelee kupumua hewa ya bure ilimlazimu kujitoa ufahamu kidogo na kujipa unafiki
.
 
Kwa utawala ule...!!!!?? kila alietaka njia ya chooni kwake isiote nyasi na pua yake iendelee kupumua hewa ya bure ilimlazimu kujitoa ufahamu kidogo na kujipa unafiki
.
Marehemu alikuwa na roho isiyo ya kitanzania
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…