Mie ndo maana napendaga viongozi wa kiislamu hawapendi kula dhuluma wana hofu na Mungu kuliko wa kwatu wa kuristo, kweli Meko na Ndgai walikua wamedhamilia kula pesa ya mwenzao.Kama hii taarifa ni ya kweli basi naamini Ndugai atalegea tu, sasa inaonekana bosi wa nchi hataki lawama, Ndugai akiendelea kushupaza shingo atabaki peke yake.
Mtutafutie aliyemtuma lisu apigwe risasi wakati hakuwa jambazi anayemrushia polisi.hapo tutafunga midomoHajapewa kama zawadi,hiyo ni haki yake,kweli ujinga ni mzigo
Ambaye alikuwa mtumishi wa Tanzania, UNAANZAJE KUMTAFUTA TUNDU NJE YA TANZANIA?Kuna Tundu mmoja tu hii dunia?
Somo la miaka zaidi ya elfu moja ijayo kwa vizazi na vizaziJamaa alifikiri hela ni za kwake kumbe ni za umaa, madikteta bwana!! Kasepa kaziacha !!
Kwa vile na wengine wapo- why Lissu pekee?Katika siku 100 za uongozi wa Rais wa JMT Samia Suluh Hassan, tumeshuhudia mageuzi makuu ya aina ya siasa zinazofuata sheria na kuheshimu utu wa mtu, tofauti kabisa na utawala wa kimabavu na roho mbaya ya mtangulizi wake.
Leo hii Tundu Lissu ametajwa kuwa mmoja wa wanaostahili kulipwa madai yake kama inavyojielezwa kwenye link hapo chini
Serikali imetoa majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo yao baada ya uhakiki. Ofisi ya Spika ina majina 394 likiwemo jina la Mh. @TunduALissu https://t.co/qS2U9QrNIV
Hakika nuru inaonekana hatimaye.
Kelele zake zilikuwa na sababu. Hapo nadhani sasa umeona tofauti ya rais asiye na ulevi wa madaraka, na yule dhalimu aliyekuwa na roho chafu.Sasa aje achukue hiyo hela na aunge juhudi mkono asipige kelele zisizo na sababu
Huyu ni mmoja kati ya mamilioni ambao wako wakisubiri Mwendazake arudi ili wapate kutoa mashtaka watasubiri sana... tunazungumzia dunia au tunazungumzia watumishi wa umma tena wenye malimbikizo? Simple logic! Rephrase you question.
Unadhani huyo kichwani kuna kitu? na ambaye alifanya kazi na bunge la Tanzania saa nyingine kukaa kimya kunaficha mengi pamoja na ujingaAmbaye alikuwa mtumishi wa Tanzania, UNAANZAJE KUMTAFUTA TUNDU NJE YA TANZANIA?
Mbona kuna jina la Ridhiwan Jakaya Kikwete kwenye hiyo orodha kuna kitu gani kilibainika na kuzusha shuku mpaka uhakiki?Katika siku 100 za uongozi wa Rais wa JMT Samia Suluh Hassan, tumeshuhudia mageuzi makuu ya aina ya siasa zinazofuata sheria na kuheshimu utu wa mtu, tofauti kabisa na utawala wa kimabavu na roho mbaya ya mtangulizi wake.
Leo hii Tundu Lissu ametajwa kuwa mmoja wa wanaostahili kulipwa madai yake kama inavyojielezwa kwenye link hapo chini
Serikali imetoa majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo yao baada ya uhakiki. Ofisi ya Spika ina majina 394 likiwemo jina la Mh. @TunduALissu https://t.co/qS2U9QrNIV
Hakika nuru inaonekana hatimaye.
Ujinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Utakufa kabla ya siku zako bureeee kama Hamnazo wako.Ujinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Ni list ya zamani, iliwahi kufufuliwa pia katika whatsapp. Ipotezee
Hakuna kitu hicho mzeeMbona na kwenye website ya utumishi ipo?
Kama kweli nitajivua uanachama ccm.Katika siku 100 za uongozi wa Rais wa JMT Samia Suluh Hassan, tumeshuhudia mageuzi makuu ya aina ya siasa zinazofuata sheria na kuheshimu utu wa mtu, tofauti kabisa na utawala wa kimabavu na roho mbaya ya mtangulizi wake.
Leo hii Tundu Lissu ametajwa kuwa mmoja wa wanaostahili kulipwa madai yake kama inavyojielezwa kwenye link hapo chini
Serikali imetoa majina ya watumishi wa umma wanaostahili kulipwa madai ya malimbikizo yao baada ya uhakiki. Ofisi ya Spika ina majina 394 likiwemo jina la Mh. @TunduALissu https://t.co/qS2U9QrNIV
Hakika nuru inaonekana hatimaye.
Utakufa, wenzio wenye roho mbaya tumewafunika mfuniko wa zege wenye tani 7 huko chattalUjinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Kavunja ungo huyoUshaanza kubalehe?
Toeni link tujirithishe.Hizo hela haki yake siyo upendeleo .
Mjinga weweUjinga mtupu, hakuna hela ya kulipa wasaliti.
Watu 27,389 wamehahakikiiwa kulipwa akiwemo TAL na RIDHIWAN JKYaani retired RC wa Dar siku hizi amekuwa mpole sana .Duuu mpaka namwonea huruma sana ila kila utawala na zama zake.Kama Lissu analipwa basi ,Mama aongezewe ulinzi kwa kweli