Job Ndugai anajisikiaje Tundu Lissu akilipwa stahiki zake?

Status
Not open for further replies.
Hakuna kitu hicho mzee
 
... tunazungumzia dunia au tunazungumzia watumishi wa umma tena wenye malimbikizo? Simple logic! Rephrase you question.

Kwa hiyo Tanzania nzima kuna Tundu mmoja tu?
 
Watu 27,389 wamehahakikiiwa kulipwa akiwemo TAL na RIDHIWAN JK

Kwa mfano kila mmoja anadai TS 9,000,000*27,389 unapata TS 246,501,000,,000/=

Ramani ya fedha imekaa
Hii taarifa mmeipata wapi? Mbona website ya wizara ya fedha haioneshi hicho kitu?
 

 
Ndugai naye alijiingiza kwenye ''SukumaGang'' bila kujua?
 
Afathar na jina LA mzee nimeliona ngj niandae bajet ya matumiZ kwan wanalipwa lini ?
 
Wataalamu wa historia wataandika mimi nakamilisha cha kwangu cha ujasiriamali(entrepreneurship) ambapo kimegusa kwanini biashara zinakufa na nini kifanyike
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…