Tunataka mabadiliko hapo juu kabisa pawe na ambaye si mchagga kwa mara ya kwanza achilia mbali familia ya mwanzilishi wake Bwana Mtei maana Mbowe ni mkweweNa Balance ya Udini na Jinsia hapo vipi?
Mbowe hawakilish wachaga, wachaga wanafurahia zaid CCM kulinda biashara zao, kuanzia Siha mpaka Hedaru, wabunge ni CCM hadi mawaziri..
Hizi bla bla zimepitwa na wakati