Fake P
JF-Expert Member
- Jan 3, 2017
- 3,952
- 11,919
Ngawethu...Amandla...
Kila upande unacheza karata zake lakini.
Maibuyeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngawethu...Amandla...
Hii combinenga ni noma, mboga moto ugali motoo!!.Natamani
1. Lissu - Mwenyekiti
2.Heche - M/mwenyekiti
3. Lema - Katibu mkuu
Sio kweli. Mahakama Kuu ya Marekani ililegeza sana masharti ya michango katika chaguzi. Uamuzi wa kesi ya Citizens United ilifungua milango kwa uanzishwaji wa PAC ambazo hazina limits katika uchangishaji na haziwajibiki kusema nani anazichangia. Wanasiasa na vyama vyote vina PAC.US wanasheria kali za pesa kwa vyama na uchaguzi. Ni moja ya kesi inayomkabili Trump.
Shida ni nani ana define adui wa nchi. Kwa hali ilivyo sasa kuna wengine wanaweza kusema kuwa mpinzani wa CCM ni adui wa nchi. Unaposema kuwa mtu mwenye malengo mabaya na nchi atachangia kwa siri chama cha siasa itakuwa una maanisha kuwa kuna vyama vya siasa vina malengo mabaya na nchi.Pesa za siri ni hatari kwa nchi maana zinaweza kutoka kwa maadui wa nchi au wananchi wenye malengo mabaya na nchi.
Rostam Aziz, Mohammed Dewji wanaochangia CCM ni maskini? Matajiri hawafanani.Kufanya mapambano hakukupi uhalali wa kuvunja sheria. Ukifanya hivyo utaendelea hivyo hivyo hata ukiingia madarakani. Kama chama kinachangiwa na matajiri na si wananchi basi ni chama cha matajiri wachache na kikiingia madarakani kitasimamia maslahi ya hao matajiri.
Hapa at least CHADEMA kitakuwa na sura ya Kitaifa endapo hawa miamba wawili watashinda; Tundu Lissu na John Heche.
Vinginevyo, CHADEMA kitaendelea kuonekana chama cha Kichagga.
Kwa akili zangu naona CCM wakilia na kusaga meno mara tu. Baada ya Lissu kushinda uenyekiti. Mbowe tayari wanammuduMnajidanganya. CCM hiki ndicho wanachotaka.
Amandla...
Hapa Chama cha Mapinduzi kitapinduka.Natamani
1. Lissu - Mwenyekiti
2.Heche - M/mwenyekiti
3. Lema - Katibu mkuu
Heche anaangalia na kuzingatia zaidi maslahi ya chama.kama ni hivyo tundu lisu kamuita (mbowe) fisadi na msaliti wa chama, je, haikuumi kwa mtu unamuheshimu kushushwa na kukejeriwa na tundu lisu ukichukulia kwamba anayeshutumiwa “amekulea kisiasa” ?
Ohoo! Hii ni ajabu kweli. Ngoma inapigwa Ufipa Street, halafu wanaoserebuka wako Lumumba Street!Heche anapoteza muda. Mbowe ni chaguo la wapiga kura wa CHADEMA hakuna namna anaweza kushindwa na Lissu ambaye ni adui wa demokrasia na kirusi ndani ya chama rafiki CHADEMA. Sisi wanaCCM tunamuunga mkono Mbowe.
Natamani
1. Lissu - Mwenyekiti
2.Heche - M/mwenyekiti
3. Lema - Katibu mkuu
Hapo ndipo mnapokosea. Chama chini ya Mbowe kili survive hata pale walipokuwa wana mbunge mmoja ( heshima zako Kenan) bungeni. Hata pale viongozi wao ( pamoja na Mwenyekiti)walipokuwa wanatiwa ndani kama kawa. Kili weza kukataa kupokea ruzuku kwa zaidi ya miaka miwili bila kutetereka. Ndio maana CCM inafanya kila namna Mbowe ashindwe maana wanajua kuwa ana uwezo wa kuijenga upya ( hao wote mnaowashabikia leo wanakiri walijengwa na Mbowe) CDM kama atashinda uchaguzi.Kwa akili zangu naona CCM wakilia na kusaga meno mara tu. Baada ya Lissu kushinda uenyekiti. Mbowe tayari wanammudu
Jimbo la Heche na TAL,uchaguzi wa serikali za mitaa walifanikiwa kuokoa nafasi ngapi?CHADEMA mshindwe wenyewe. Kama kweli mnataka kuirejesha ile heshima yenu mliyoipoteza, basi nendeni na hawa watu wawili (Tundu Lissu na John Heche).
Shida wanamuangalia Mbowe kama vile anawakilisha wachaga..Watu wa kusini watawakilishwa na Lissu na Heche? Pengine na Lema? Ukiweka mbele ubaguzi hautakosa sababu. Hao watawakilisha vipi waislamu? Au wanawake?
Ni mchezo mbaya mnaocheza.
Amandla...
Hapa at least CHADEMA kitakuwa na sura ya Kitaifa endapo hawa miamba wawili watashinda; Tundu Lissu na John Heche.
Vinginevyo, CHADEMA kitaendelea kuonekana chama cha Kichagga.
Ofcourse ni ngumu Mbowe kuachia kikobaMtahangaika sana ila mwisho wa siku sisi kama Ukoo tumemwambia mjomba Mbowe alinde kikoba chetu kwa jasho na damu.
Wana CCM wakisikia jina la Lisu chupi zinaanza kuwapwaya ghaflaHeche anapoteza muda. Mbowe ni chaguo la wapiga kura wa CHADEMA hakuna namna anaweza kushindwa na Lissu ambaye ni adui wa demokrasia na kirusi ndani ya chama rafiki CHADEMA. Sisi wanaCCM tunamuunga mkono Mbowe.