Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Itakuwa ngumu maana kuna upande umeishatangaza wazi kuwa wataona uchaguzi ni wa haki pale tu mgombea wao akishinda. Akishindwa itakuwa kwa sababu tu ya hujma. Na wachochea moto wapo sana.
Amandla...
Amandla...