John Heche vs Dkt. Slaa: Je, ni kweli utekaji, kupotea kwa watu na kupigwa risasi Tundu Lissu Septemba, 2017 ni 'INSIDE JOB' ya CHADEMA wenyewe?

Pangueni hoja zake!

Kwanini hamtaki kujibu hoja zake badala yake mnashambulia maisha yake binfsi
Labda uwe punguani pekee ndio utaamini maneno ya slaa, punguani ujibiwa kipunguani.
Kwa akili yako tu,slaa anamaanisha chadema ipo juu ya Sheria
 
Hebu pitia link hiyo hapo chini. Ndipo utagundua Slaa kasema uongo au ukwel Joseph Yona Mwenyekiti wa chadema wilaya Temeke na Mjumbe wa Baraza kuu aliyetwkwa ameeleza waliomteka. Halafu wewe unaleta poroja ana assumptions wakati kuna facts!!!
Nawashauri vijana mkae kimya msimbagaze huyo Slaa.
Alikuwa SG CHADEMA
Anajua mengi ya chadema enzi zake kuliko yeyote humu jukwaani msimfanye akalazimika kujitetea ataropoka sana
 
Ni kwa nini Slaa anafurahia Lissu kuuwawa? Why anapenda mauaji?
 
Magufuli na ubabe wake wote akitumia vyombo vyake ameshindwa kuia au kuichafua chadema sasa Dr slaa ataweza.
Walikuwepo wenye nguvu kina Dr Kaburu wakafa wao sembuse huyu aliyekuja juzi juzi tu.
 
Kwann alikaa kimya miaka 20
 
Kumtumia Yona Joseph ni matumizi mabaya ya akili na muda. Hata hivyo, itoshe kusema kwamba Dk Slaa mwenyewe ameanza kuyakana anayonukuliwa kuyasema kuhusu Chadema. It is wasting of time kumwamini mtu mwenye njaa anayeamini njaa yake inaweza kuondoka kwa kuchafua wenzake!
 
Kumbe unamjua Joseph Yona..
Kwanini wastage of time?
Hakutekwa?
Hakupigwa?
Hakuwataja chadema?
Maelezo yake ni uongo?

Why
 
Pascal wacha hizo mjomba unajua kabisa kuwa kitumbua kinachozungumzwa hapa ni kile katikati ya mapaja,au hujastua kile kinywaji cheru pendwa cha Yohana Mtembezi hivyo bado hujakaa sawa?
Muelewe pascal sio kama hajaelewa ni technic ya kuchokoza mjadala uwe mpana , sarcasm
 
Pasco acha ujanja bwana! Nani kasema anauza vitumbua? Jamaa kasema "kitumbua" sasa nini huelewi? Au unatilia mkazo hoja kisayansi nini?
Ila tunatambua Dr ni rafiki yako tokea zile enzi zetu za Jambo forums ambapo wengi humu walikuwa wananyonya
 
Wangefanya CHADEMA na walivyokuwa wanawindwa na Magufuli ni lazima wangeshastakiwa na Chama kufutwa. Chadema hawahusiki ila wasiojukikana na Mimi siwajui. Huyu Prof. Mihogo Slaa vihela vya Ubalozi vimemlewesha.
 
Itachikua muda Sana kupata watu wenye kufikiri mantiki
Tatizo la Kuwa bias katika kufikiri na kutoa hukumu litatutafuna Kwa muda mrefu Sana.
Katika hoja hii hakuna ubishi kwamba Kuna matukio ya udhalimu yamekuwa yakitokea kwenye vyama,Serikalini na kwenye jamii.

Sehemu inayotakiwa kufanyiwa utafiti wa kina ni je,katika mipango ya kutekeleza uovu inaratibiwa na taasisi yote au ni kundi dogo katika taasisi husika lililowekwa maalumu Kwa KAZI husika?

Viongozi wa taasisi wanaporatibu umafia wanashirikisha taasisi yote?

Kama jibu ni hapana je,kitendo kiovu kinakuwa kosa la taasisi yote au ni Wale WACHACHE ambao wametumia koti la taasisi kutekeleza mambo ambayo siyo makusudio ya kitaasisi.

Mfano KAZI za Polisi au vyama vya kisiasa vimeainishwa kwenye sheria hivyo kama itatokea kundi dogo limekiuka sheria na taratibu hizo basi KUWEPO na mechanism ya kuwachomoa waliokiuka sheria wao kama wao kama ilivyo Kwa wahalifu wengine.

Kwa mujibu wa Circumstancial evidence CHACHA wangwe,Tundu Lisu NK Kuna makundi kutoka taasisi wametekeleza uhalifu Kwa mwanvuli wa taasisi na wamejificha ndani ya taasisi kujustify uovu wao.

Uhalifu ni uhalifu tu hakuna taasisi inayoweza Kuwa na Common intension ya kuua Bali watu kadhaa wanaweza kufanya hivyo na kujifanya wamepewa baraka na taasisi.

Hapo ni pagumu Sana itachukua muda mrefu kupaelewa kwasasa wacha tuendelee kuwaficha waovu mmoja akiharibu wote wanastahili lawama.
 
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Matola hiyo sio "Inshumata" bali inaitwa Shuntama, nasikia ni kiboko sana. Babu kama Slaa lazima imtoe akili na kubwabwaja kama chizi.
 
DEREVA ALIKATAZWA NA GAIDI MBOWE
 
1. Huo hauwezi kuwa ukweli iwapo wahusika wa tendo hilo wako huru..

2. Hoja ya msingi hapa ni kuwa, kesi ya kutekwa na kuumizwa huyo ndugu iliripotiwa polisi. Ni zaidi ya miaka 15 sasa, hakuna uchunguzi wala taarifa yoyote kutoka polisi ambao ndiyo wenye wajibu wa kutegua kitendawili hiki..

Unasemaje kuhusu hili? Nani anafanya porojo kati yetu sisi tunaojiuliza maswali haya na kulitupia lawama polisi na wewe/nyie ambao mnasema mambo ya hewani tu yasiyo na uthibitisho..?

By the way ndugu artch2311 kama kweli ndiyo CHADEMA wanahusika na shida hizi kuna ugumu gani kwa polisi kuwakamata wote na kuwafungulia mashitaka mahakamani kisha wafungwe na ikibidi chama kifutwe kabisa..?

Oooh, huna jibu, 😎😎😎!!

Mimi nitakusaidia kujibu; Kwamba sababu ni mbili tu;

1. Polisi hawana cha kuwashitakia CHADEMA au mwanachama yeyote wa CHADEMA in connection na matukio haya kwa sababu hakuna ushahidi wa kuwa - incriminate...!

2. Polisi wanawajua wahusika wa matendo haya machafu na ya kijinai. Wanaofanya haya ni wana CCM wenyewe (Ole Sabaya, Paulo Makonda na timu zao) wakishirikiana na baadhi ya maafisa wakubwa na mafisadi ndani ya serikali wakiwatumia UWT na polisi...

Wanajitahidi kwa kila namna wayatendayo wayape sura ya "KUTENDWA NA CHADEMA" lakini mpango huo kwa miongo kadhaa ulishashindikana na hauwezekaniki tena daima na milele mpaka wao wote na chama chao wapokee hukumu yao...!

Rejea matukio haya yaliyosukwa na wao wenyewe na kisha yakawaumbua mbele ya safari;

✓Ugaidi wa Rwakatare..

✓Mauji ya bomu ktk mkutano wa CHADEMA 2013 Arusha yaliyoratibiwa na Mwigulu Nchemba na wenzake CCM by then akiwa ni Naibu katibu CCM Tanzania bara (kama sijakosea)

✓mauji ya Aqulline Aqullina mwaka 2018 yaliyofanywa na polisi katikati ya kusanyiko la CHADEMA

✓ Jaribio la kuuwawa kwa Tundu Lissu [mbunge, mwanaharakati na mwanasheria nguli na makamu mwenyekiti taifa CHADEMA], mchana kweupe na katikati ya mji wa Dodoma..

✓ And recently, ni kesi ya ugaidi wa Freeman Mbowe, na;

✓ Matukio mengine mengi madogo dogo nchi nzima..!

CCM wakitumia advantage ya kuwa ni "chama dola" hutumia mbinu mbali mbali hususani ya kuwatumia baadhi maafisa wa UWT na POLISI wasio na maadili na kazi yao kuwasadia kupigana vita yao ya kisiasa dhidi ya mpinzani wao mkuu CHADEMA..

Wakati mwingine wanajiingiza ktk chama hiki, wanavalisha sare za CHADEMA watu wao ili wafanye uhalifu kwa jina la CHADEMA na baadaye wapate sababu ya kuishitaki...

Very unfortunately for them is that, their evil strategies & plans have spectacularly failed all the times...!!

Mpaka hapo huelewi tu mchezo huu wa kisiasa unavyochezwa wewe artch2311 ili ufungue akili na ufahamu wako? Unadhani Dr Slaa atakuja ni jambo gani jipya linaloweza kuwa incriminate CHADEMA? Nakuhakikishia, NOTHING.... absolutely NOTHING..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…