Mzalendo_Mwandamizi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2007
- 1,117
- 4,772
Anaisoma namba 🤣🤣🤣Huyu bwana hapa JF kwa sasa anatia huruma. Huyu ilikuwa humwambii kitu kuhusu Mwendazake> Pamoja na siasa nzuri za ufuatiliaji mambo ila huyu bwana alikuwa too biased kiasi kwamba kwa sasa ni kama anatia huruma. Kwa sasa anajaribu kuwa neutral ili kumsoma Mhe. Samia Suluhu Hassan kama wataendana. Mpaka aeleweke atakuwa kishaugua ugonjwa wa huruma!
Wapo wengi; mf
Pascal Mayalla na magu2016.
Badilisha hiyo id, maana Magu si rahisi tena.Tunaendelea kupiga kazi kama kawa! Ila tumepunguza kasi kwa sababu wapinzani wako hoi bin taabani sasa wamerudi wote CCM sasa wana mshangilia Rais wetu Mama Samia sijui wanafikiri yuko CDM? Tumekosa wapinzani wakutupinga sasa tutabaki humu muda wote kwa lipi jipya sasa wakati tumeshamaliza kazi ya kuwaangamiza wapinzani uchwara!!??
Unaitamani!Badilisha hiyo id, maana Magu si rahisi tena.
Hahahaaaa..... Huwezi kusoma namba ukiwa CCM!Anaisoma namba 🤣🤣🤣
Si amebadilishiwa kitengo ndio maana hana tena jipyaHuyu bwana hapa JF kwa sasa anatia huruma. Huyu ilikuwa humwambii kitu kuhusu Mwendazake> Pamoja na siasa nzuri za ufuatiliaji mambo ila huyu bwana alikuwa too biased kiasi kwamba kwa sasa ni kama anatia huruma. Kwa sasa anajaribu kuwa neutral ili kumsoma Mhe. Samia Suluhu Hassan kama wataendana. Mpaka aeleweke atakuwa kishaugua ugonjwa wa huruma!
Karibu Dodoma bwashee!Si amebadilishiwa kitengo ndio maana hana tena jipya
Huyo jamaa huwaga ndo mzee mgaya
Hapo nakuja na kuondoka sina ofisi maalumuKaribu Dodoma bwashee!
Hahahaaaa.......!Inawezekana ndio amegeuka @mamaD
Yohana Mbatizaji amebatizwa. Ana jina jipya, nalo tunaliona. nalo ni hiliHuyu bwana hapa JF kwa sasa anatia huruma. Huyu ilikuwa humwambii kitu kuhusu Mwendazake> Pamoja na siasa nzuri za ufuatiliaji mambo ila huyu bwana alikuwa too biased kiasi kwamba kwa sasa ni kama anatia huruma. Kwa sasa anajaribu kuwa neutral ili kumsoma Mhe. Samia Suluhu Hassan kama wataendana. Mpaka aeleweke atakuwa kishaugua ugonjwa wa huruma!
Umepanic mzee, bilashaka umeguswa kunako!Then ukawa bize kumfuatilia yeye?
Tena unamwanzishia thread???
Kama una akili timamu ungemdharau, fact kuwa unamjua, kumkumbuka basi kakutawala akili
Hivi unataka kusema hawa watu humu na kutumia majina yao ya uongo wanateseka kiasi hicho?? unamjua sura? unajua kazi yake?
Habari ya Mwendazake sidhani kama unayesema alikuwa anampenda kushinda mimi
Nadhan una tatizo la msingi, una utoto wa ...gari lile langu, hilo lako, mzomeeni yuu...ebu kua kidogo utaona hiki ni kijiwe
JPM was real....ndio maana alikunyoosha na vyeti vyako feki...kwa nini usimchukie? kutoka kazi ya ukarani mpaka kuwa mlinzi ......sasa kwa thread hii umeonyesha wewe ni low life
Afadhali umejitokezwa Mpwa. Wamekutafuta wenyeweHakika bwashee!
Hii dunia ina mambo bwashee!Afadhali umejitokezwa Mpwa. Wamekutafuta wenyewe
Umepanic mzee, bilashaka umeguswa kunako!