Pre GE2025 Joseph Mbilinyi (Sugu) kajidhalilisha sana kuungana na Mbowe ili kumkabili Lissu

Pre GE2025 Joseph Mbilinyi (Sugu) kajidhalilisha sana kuungana na Mbowe ili kumkabili Lissu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Habari zenu wanaJF wenzangu

Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.

Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.

Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.

Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
Mkuu na kinyume chake pia ni kweli.
 
Swala la kutoboa au kutotoboa halina maana sana, tunataka demokrasia na uchaguzi wa haki .
Ni mstari wenye maneno ya hekima na maana kubwa sana kwa mtu yeyote mwenye kujiheshimu na kuwa na akili timilifu; hadi hapo unapo kutana na tafsiri ya maneno hayo hayo yakisemw na uchafuzi wao wa serikali za mitaa! na mashetani kama wale wa Mchengerwa.

Chunga sana usije kujikuta unayahusisha maneno mazuri hayo na uchafuzi ulio ratibiwa na mashetani hao hao; kwani ni wazi kwamba wanayo maslahi makubwa kwenye uchaguzi huu wa viongozi wa CHADEMA
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.

Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.

Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.

Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
mtafute sugu umueleze hayo mambo yako, nani kakwambia sugu anasoma utumbo wako humu
 
Sugu alisaidiwa sana na Mbowe kwenye hiyo Hotel yake ya Uzunguni ndio maana yupo upande wake wanasiasa wengi wanaangalia maslahi na si uzalendo wa Chama au Nchi..
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.

Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.

Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.

Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka kufukuzwa
Kama kila mtu anatakiwa kumuunga mkono Kiasi basi hakuna haja ya kuwa na uchaguzi na hakuna maana ya demokrasia
 
Sugu huwa.rahisi sana kumjua nia yake ni mapato hakuna cha ziada.

Huu uchaguzi unakwenda kuiweka hadharani dhamira kuu ya wanachadema maslahi akina.sugu. mungai. Msigwa. Boni jacob.

Na chadema wazalendo wataka mabadiliko akina lissu. Mdude. Garatwa. Kamwe chadema haitabaki kama ilivyo. Na itapoteza uungwaji mkono mkubwa kuwahi kutokea.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.

Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.

Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.

Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
According to you.
 
Sugu huwa.rahisi sana kumjua nia yake ni mapato hakuna cha ziada.

Huu uchaguzi unakwenda kuiweka hadharani dhamira kuu ya wanachadema maslahi akina.sugu. mungai. Msigwa. Boni jacob.

Na chadema wazalendo wataka mabadiliko akina lissu. Mdude. Garatwa. Kamwe chadema haitabaki kama ilivyo. Na itapoteza uungwaji mkono mkubwa kuwahi kutokea.
Usiwafundishe Chadema namna ya kuwapata viongozi wao. Tatizo kwani ni nini? Kuna mtu kaenguliwa? Si msubiri sanduku la kura liongee.
 
Habari zenu wanaJF wenzangu

Inashangaza sana mtu kama Sugu alieanza kuikanyaga ardhi ya Kaburu kabla ya vijana wengi wa Tanzania hawajawa na akili ya kufika huku, ameshindwa kusoma alama za nyakati ambazo bila chenga wala mizengwe zinaonesha fika kwamba awamu hii ni zamu ya Lisu iwe mvua au liwe jua.

Mimi nafikiri hata kama ni chawa wa mwenyekiti lkn kwa jinsi upepo unavyoelekea yeye angejifanya hana upande ili Lisu atapochaguliwa waweze kufanya kazi pamoja.

Sasa kwa namna yoyote ile ikiwa Lisu atachaguliwa kuongoza Chadema, nina imani Sugu atashindwa kufanya nae kazi vizuri mwenyekiti wake mpya, na kwa vile ashaonesha kumpinga wazi wazi mwenyekiti wake mtarajiwa basi ninahisi pengine huko mbele atafanya maamuzi ya kukimbilia CCM ili akachaguliwe kuwa naibu waziri wa michezo na utamaduni, huku Mwana FA ambae anashika nafasi hiyo kwa sasa, huenda atapandishwa cheo na kuwa waziri kamili.

Kuna kila dalili kuwa Mbowe akishindwa atawatelekeza wote waliompambania na kuendelea na biashara zake zinazompatia ugali, hivyo Sugu atakosa mtu wa kumshika mkono chamani na kuamua kutimka bila kufukuzwa.
Ndio vizuri,matajiri na matajiri wenzao .

Nyie maskini komaeni na demu wa Amsterdam,Kwa nini tuchaguliane mfumo wa Maisha? 😂😂😂

Njia nyeupee Kwa Tulia labda atapata ugumu tuu kama yule ropo ropo wa TLS atagombea
 
Kwenye uchaguzi wa Mwenyekit Kanda ya Nyasa Mbowe ndio alimpa uenyekit Sugu dhidi ya Msigwa wa Lissu.

Mpaka dakika hii Msigwa na Sugu hawana maelewano .

Akishinda Lissu litakuwa pigo kubwa Kwa Sugu.
Yani Lisu akishinda uchaguzi wao, basi Sugu siasa ndo bye bye.
 
Sugu ni kati ya wanachama wa CHADEMA wa Siasa za wastani,

Ana ukaribu na Samia,akiwa na jambo lake anaweza kumwalika Rais kirahisi na akaja.

Kwahiyo lazima awe upande ambao serikali inashirikiana upande wa Mbowe,Kifupi sugu anafanya betting ya ya WIN kosa, alitakiwa afanye Double chance kuwa neutral.

Namuonea huruma, LISSU atashinda umwenyekiti kwa mfano na mfumo wa MWABUKUSI alivyoshinda Tanganyika Law society, mwanzo alibezwa sana na Watu.

Sugu kachagua fungu la kukosa!!!
Yani kama karata basi Sugu kalamba galasa la mavi 🤣🤣🤣
 
mtafute sugu umueleze hayo mambo yako, nani kakwambia sugu anasoma utumbo wako humu
Sugu yupo humu na ID yake naifahamu. Uzuri ni kwamba uzi ashausoma na kujitetea kupitia ID yake hiyo fake ambayo ni wachache tu tunaifahamu.
 
Back
Top Bottom