Joseph Mbiliyi (Sugu) awaumbua CHADEMA, akiri walichelewa Uwanjani kumuaga Mzee Mkapa

Hao wote washageuzwa misukule tayari
Yani huku kuna watu wana akili ndogo kama maisha ya funza (Hasa wafuasi wa Magufuli) Mnakaa mnabishania tweet ambayo imetoka kwenye akaunti isiyo verified account! Muwe mnatumia akili zaidi ya kujichosha bure. Ndiyo maana mnapelekwa pelekwa kijinga!
 
CHADEMA NI UGONJWA unaopunguza uwezo wa kufikiri, ukiugua lazima uwe kichaa
 
Washavurugwa hao tangu jana pale Airport
Mbona unafosi utajuaje sugu ndo amemweleza kuwa kadukuliwa au umeamua tu kukata mauno hapa kujitoa ufahamu
 
Tusha wapa mlicho kipanda mwaka 2017 pale dodoma hivyo tulieni
Amweleze ili iweje, Kwa nini asikanushe yeye?

Ile ni Account yake binafs, kwani anachotaka kukiandika mpaka amshirikishe Lema?

Unatetea ujinga wewe
 
Jamaa walitandikwa vibaya sana, yaani ilikuwa ni pambano la upande mmoja kama kumpambanisha Roman leins na Japheth Kaseba kwenye. WWE.
Jana ile ilikuwa knock out
 
Unajua maana ya kudukuliwa?ina maana account haipo mikononi mwake sahizi hana access ,ipo kwa aliyedukua ,kitu gani huelewi hapo
Mzee acha kutetea ujinga Kuna mambo hayaitaji siasa kubali tu ukweli Chadema imetereza
 
Hiyo mi sikatai but nachopinga ni watu kuforce kwamba sugu hajadukuliwa ila chadema kuchelewa wamekosea
Hatukuchelewa mkuu lkn kwakuwa wengine hupenda kusikiliza wakipendacho bc
 
Hata zile picha za mwanzo zilipovuja mitandaoni Mamvi akiwa na viongozi wa kamati kuu CDM ulitolewa utetezi wa kiboya kabisa kama huo wa Lema kwamba ni Photoshop.

Lema na Mdee wako loyal kishenzi kwa mwamba kuliko hata Mzazi mwenzie Joyce mpaka unahisi jamaa huwa anawatindua.😁.
 
Hongera Sugu hii ina zidi kudhihilisha kuwa Mbeya hakuna unafiki
Sugu kasaliti chama. Asubiri kutimuliwa kwenye hicho chama kama ilivyo ada ya chama hicho.
 
Twitter ni moja ya mtandao mgumu sana kudukua duniani ... unatumia mpaka na magaidi kwa kigezo hicho cha security na privacy ingekua ni simple hao wasiojulikana wangeanza na account ya KIGOGO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…