Joseph Mbiliyi (Sugu) awaumbua CHADEMA, akiri walichelewa Uwanjani kumuaga Mzee Mkapa

Joseph Mbiliyi (Sugu) awaumbua CHADEMA, akiri walichelewa Uwanjani kumuaga Mzee Mkapa

Lema huyo..
Screenshot_20200728-161427_Twitter.jpg
 
Wanasema account ya Sugu wahuni wameihack ...
 
Nina mashaka na uraia wako, kisa siasa tu unawaita wenzako mbwa? Hivi wewe ni mnyarwanda au mburundi?

Mbona umekosa ustaarabu wewe kiumbe wa mungu? Tanzania hatuna watu wenye roho za kinyama kama yako.
Kumbe walichelewa ?Sasa kwa nini wanabweka kama mambwa kuwa wamezuia ?Au ndo kama ya Mbowe kuvamiwa kumbe kala mzinga kisa mzinga wa Konyagi.
 
Nyinyi mbona mliwakataza hata wabunge wenu kwenda hospital Nairobi kumjulia hali mh Lissu?
Wewe nawe akili yako haina akili tunaongelea issue ya leo wewe unaleta habari ya mwaka juzi!
 
Unamaanisha nini walipewa ratiba sio? Umeelewa kwanza nilichoandika? Jana jioni Serikali iliweka wazi kabisa ratiba kwa viongozi wote kwa namna ya kuafuata. Viongozi waliofuata ratiba si wajinga.....
Ratiba viongozi hupewa na idadi ya ujumbe na sehemu ya kukaa, hiyo uliyoisikia ni taarifa tu kwa umma. Ninachokueleza ninauhakika nacho, acha mambo ya mtaani.
 
kwani shida iko wapi,itifaki ifuate mkondo wake
 
Leo, ilikuwa ni siku ya kuuaga Kitaifa mwili wa Rais wa Awamu ya 3, Benjamin Mkapa katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar na viongozi mbalimbali walikuwa wakienda kutoa salamu zao za mwisho

Viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Mwenyekiti wao Freeman Mbowe walienda uwanjani hapo na baadaye kudai kuwa walizuiwa kuingia Uwanjani kwa ajili ya kuuaga mwili wa Mkapa

Katika Ufafanuzi wao CHADEMA huku wakiitaka Serikali itoe ufafanuzi kwa kuzuiwa kwao wamedai wao wamefuata ratiba waliyopelekewa ikionesha tarehe, muda, siku tukio na muhusika

Hata hivyo, Jana Msemaji wa Serikali aliweka bayana ratiba ya kufika uwanjani hapo ambapo Serikali iliwataka Viongozi wote wa Kitaifa na Viongozi wa Kisiasa kufika katika Uwanja wa Karimjee na kuacha magari yao hapo kukiwa na gari maalum la kuwapeleka uwanjani ambapo la mwisho liliondoka saa 1:30 asubuhi
Hata uandishi nina wasiwasi nao hapa kuna fitna toka kwa Tulia team
 
Ila kiprotocal chadema wamechemsha leo, kawaida inatakiwa kuingia mapema kwenye shughuli kabla mkuu wa nchi ajaingia. Labda Kama kwa sababu ya uchovu wa Safari alipitiwa usingizi

Kwangu mimi hawakupaswa hata kwenda kwenye hiyo shughuli. Maana ukiacha Tundu Lisu ambaye amekuja jana. Toka jpil huo mwili uko hapo uwanjani, wangeweza kwenda kama walikuwa na nia ya kuaga kweli. Huyo Mkapa sijawahi kumuona kwenye msiba wa mwanacdm yoyote, kwanini wao cdm wahudhurie msiba wa mtu aliyekuwa anawafanyia hujuma za wazi?
 
Back
Top Bottom