baba-mwajuma
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 4,178
- 7,591
Majeshi yote yanafanya hivyo, na uwezo wa jeshi haupimwi kwa Maonyesho, mbona Jwtz Wana Successfull mission nyingi tu Congo, Comoro, Uganda etc. Compare na Nchi jirani Jwtz wapo level headed sana.I am not in the least bit impressed.
Maonyesho ya kuvunja mbao, ya kuvunja matofali ya mchanga, ya kuokoa ‘mateka’ kwenye kiwanja cha mpira, na mengineyo kwangu hayana maana yoyote ile.
View: https://youtu.be/nE4VLXQ-bKY?si=VaXPStM2NnumYO_n
Umechanganya mambo mengi kwa wakati mmoja hadi nashindwa kujua hoja yako ni ipi. Naona umepanick vibaya, au ww ndio ulikuwa unavunjiwa tofali kichwani na ukawa unaona ni jambo la maana sana Nini?Sasa ww usiye vunja matofari kanini usijilinde mwenyewe maana hao wavunja matofari hawana maana.
Hizo drone mbona hazija wasaidia kujua mateka walipo na kuishinda Hamas miezi 4 sasa alafu una uhakika gani ya kuwa hawana hizo drone?
Kwa hiyo ww watoto wako wanatakiwa kukutukana na kukudharau kisa ni wajibu wako kuwatunza?
Au ni sawa kumdharau mwalimu aliye kufundisha kisa lilikuwa ni jukumu lake kukufundisha?
Alafu pesa za kununua hizo drone si zinatakiwa kutolewa na wanasiasa mlio wachagua wenyewe sasa kama hawatoi hizo hela mnataka wanajeshi watoe hela zao mfukoni wakanunue?
Congo wanalinda amani sio zaidi ya hapo. Comoro wana ubavu gani kijeshi? Uganda ipi, hizo story za vita miaka 40+ iliyopita ndio unaonyesha kama uwezo miaka hii? Tena huko Uganda ni vile Iddy Amin waganda walikuwa washamchoka. Story ingekuwa nyingine. Ni hivi, jeshi liachane na show outdated.Majeshi yote yanafanya hivyo, na uwezo wa jeshi haupimwi kwa Maonyesho, mbona Jwtz Wana Successfull mission nyingi tu Congo, Comoro, Uganda etc. Compare na Nchi jirani Jwtz wapo level headed sana.
Muhuni weye na familia yako. Hamas wanapigania nchi yao inayokaliwa kwa mabavuHao wenzenu walio toka huko kwenye kuvunja mbao si ndo wameshindwa kuokoa mateka hapo gaza dhidi ya wahuni wa Hamas mwezi wa nne huu? ,kijana acha dharau dhidi ya wanao kufanya uwe salama.
Hauwaogopi wakati huo unatumia ID feki ili usitambulike?, kwanza hata jeshi tumeenda mbali tumia utambulisho sahihi alafu uongee mbovu dhidi ya serikali uone kama ujapapaswa kalio mchana kweupe na vijana wa chama cha kijani .mbOne on one simwogopi mtu. I can hold my own.
JWTZ ni vilaza tu.
They always show to the world less than what they possess . Be sharp broVifaa vyao sio siri boss, labda hujui lolote kwenye Dunia hii. Siri kwao ni mbinu sio vifaa. Hawahitaji kuweka vitu vyote, lakini uhalisia wa nguvu zao kijeshi uko wazi. Yale mameli ya kivita, madege makubwa ya kivita ni Siri?
Wakati wa Kikwete kulikua na mtifuano baina ya Jwtz na M23 waasi na Jwtz kufanikiwa kuwapiga labda kama umesahau.Congo wanalinda amani sio zaidi ya hapo. Comoro wana ubavu gani kijeshi? Uganda ipi, hizo story za vita miaka 40+ iliyopita ndio unaonyesha kama uwezo miaka hii? Tena huko Uganda ni vile Iddy Amin waganda walikuwa washamchoka. Story ingekuwa nyingine. Ni hivi, jeshi liachane na show outdated.
Wawe wanafanya maonesho ya silaha na gwaride kubwa ndio wengine hufanyaI am not in the least bit impressed.
Maonyesho ya kuvunja mbao, ya kuvunja matofali ya mchanga, ya kuokoa ‘mateka’ kwenye kiwanja cha mpira, na mengineyo, kwangu hayana maana yoyote ile.
View: https://youtu.be/nE4VLXQ-bKY?si=VaXPStM2NnumYO_n
🤣🤣🤣🤣Walipoanza kujenga maframe ya maduka hapo lugalo ndy nkawaona jamaa hawa hawako serious
Ova
I am not in the least bit impressed.
Maonyesho ya kuvunja mbao, ya kuvunja matofali ya mchanga, ya kuokoa ‘mateka’ kwenye kiwanja cha mpira, na mengineyo, kwangu hayana maana yoyote ile.
View: https://youtu.be/nE4VLXQ-bKY?si=VaXPStM2NnumYO_n
Kama Yale madege, meli za kivita ni kidogo cha walichonacho, basi ni wa hatari sana. Sasa Hawa wanaoonyesha kuvunjiana matofali kichwani wana jipya lipi?They always show to the world less than what they possess . Be sharp bro
Nyie madogo ni wapumbavu sana mmezungukwa na manchi yaliyokosa amani na bado mpo safe leo mnaleta dharau kwa JWTZ ?
Mnalala mnaamka salama siku kucha mnajambiana na mademu zenu huko hamjui kwamba kuna watu wanakesha ili ninyi muwe safe au unafikiri wanafanya maigizo.
Hata kama CCM huipendi ila linapo fika suala la JWTZ kulinda nchi wape heshima yao usiite maigizo shenzi kabisa.
Sina imani sana na story za serekali, nyingi ni za kupika ili kuhadaa umma.Wakati wa Kikwete kulikua na mtifuano baina ya Jwtz na M23 waasi na Jwtz kufanikiwa kuwapiga labda kama umesahau.
Soma hii Hotuba ya Kikwete kuhusu Jwtz alilist mafanikio yao yote Darfur, Ivory coast, Liberia, Congo, Visiwa vya shelisheli, Uganda, Comoro etc.
Sasa hao maharamia kama wanajificha kwenye mashimo kama panya huoni ni ishara kwamba hawana uwezo?Hao wenzenu walio toka huko kwenye kuvunja mbao si ndo wameshindwa kuokoa mateka hapo gaza dhidi ya wahuni wa Hamas mwezi wa nne huu? ,kijana acha dharau dhidi ya wanao kufanya uwe salama.
Jirani yetu Mr. Slim anatuchora tu sisi tunadhani sifaMaonyesho ya kuvunja mbao, ya kuvunja matofali ya mchanga, ya kuokoa ‘mateka’ kwenye kiwanja cha mpira, na mengineyo, kwangu hayana maana yoyote ile.
Huyu si ndo yule afande aliyesema JWTZ ni la sita kwa ubora duniani 🤣🤣🤣🤣🤣🤣"Ngabu kuumia kupenda tunaona hujaumia muda mrefu Mzee"
View attachment 2870051