JWTZ: Tutaingia Mtaani kuzisaka Sare zetu kwa Wananchi

Itoshe kusema ni wapvmbavu
 
Hapana sio njaa Mkuu, TRUST me!!

Hapa kuna gem inachezwa hapa!!

Tumia akili,wait for a few days!!
Hakuna kitu hapo. CCM ina mizizi kila sehemu hapa nchini wana green card hao ni wanachama wa kufa na kupona wa kijani.

Mifumo ya kikomunisti sometimes ni ya kifala sana ina haribu security kabisa inakuwa loyal to the party first before country.

Walking dead country.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…