JWTZ: Tutaingia Mtaani kuzisaka Sare zetu kwa Wananchi

MWALIMU NYERERE ANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.

Amina Tena Amina Amina Tena amina


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
HAWA JWTZ NAO NI MATAHIRAAAAAA MNO!!!!!!?!???!!!

MIPORI YAO WAMESHINDWA KUPANDA MITI, MBOGA MBOGA , MATUNDA NK

wangekuwa na viwanda Cha madawati.
kwa poli la huku MAKONGO WATOTO wasingekuwa wanakaa chini Wala kuuziwa madaftari........

KUNA POLI HUKU MAKONGO HADI KIMARA LINAFUGA MAJAMBAZI.

SH3NZI ZAO KABISA.
 
Nitakuwa wa kwanza kuamini jeshi letu ni la hovyo endapo wataingia mtaani kutafta hizo nguo..
Maana ni kuingilia majukum ya idara nyingine
 
Ndio shida ya amani hii, wanajeshi wanakaa idle sana hadi wanaanza kubuni shughuli za ajabu ajabu ili waonekane na wao wapo na kanumuhimu kwenye jamii
 
Wamekosa kazi za kufanya.

Wakasafishe MIPORI YAO yenye vichaka vya Kipuuzi walime mboga wagawe shule WATOTO WANAMKOSA vitamins

JESHI la Hivyo sana na la KIZAMANI.

SELIKALI Inapoteza MABILIONI kufashili ujinga WA HAO waaaaapumbafu.
 
Wengine wanacoment wakiwa Kongo shida ndio inaanzia hapo.
 
Jeshi lisilo na majukumu ya kufanya! WaTz kazi tunayo, wanasiasa na serikali ya ccm ni mahasimu wetu, na jeshi nalo linatafuta kila aina sababu ili lioneshe mabavu yake kwa WaTz!!
 
Sina swali...
 
Wamelazimishwa kujitolea?
 
Hivi kuingia mtaani sheria inawaruhusu? Au wanataka kuvunja Sheria ili washtakiwe
 
Jeshi linaingia mtaani kutafuta Uniform kwa sheria ipi? Sheria zetu zinaruhusu makosa ya Jinai kushughulikiwa na Polisi au jeshi? Me naona kama kazi tumekosa kazi twende tukamtetee Ali bongo au tuwavamie Niger ili angalau tufanye kazi zinazotuhusu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…