Kabendera, Kitabu pekee hakina nguvu ya kumfanyia Mtu Character Assassination kwenye nchi Maskini hasa za Afrika

Kijitabu chenyewe kimeandikwa kwa kimombo. Maybe, amewalenga akina nshomile wenzake.
 
Mjitahidi mkisome chote, Hajaandikwa Magufuli pekee, ila ni ishara nzuri ya kuweka vitu kwenye vitabu hata kama jamii haipendi kusoma. Hii ni njia moja wapo kwa kuelekea kuwa na jamii bora baadae.
 
MAREHEMU WA KWANZA KUITAWALA TANGANYIKA.HONGERA MZILANKENDE,,Kabendera kametumwa katachanika na upepo.
 
..jambo la msingi ni UKWELI kuwekwa wazi.

..vilevile WAHANGA waliopotezwa wakati wa Magufuli kuwekewa kumbukumbu sahihi.
Na hawa wanaopotezwa sasa je? Ni Magufuli.

Tufikiri kwa kuchwa badala ya mkundu. Njaa zisitubadilishe akili.

Na uninga wa kabendera ukilelewa, Samia ajiandae kuchafuliwa vilevile.

Haiwezekani iandikwe alitaka kubakwa halafu mwandishi hakanywi na usalama wa taifa wananeng'eneka badala ya kuchukua hatua.
 

..unashauri nini kifanyike ili vitendo vya utekaji, utesaji, na mauaji, vikome?
 
Walikuja na kile sijui the state ikabuma leo wako na hii nayo chaliii kesho watakuja na filamu ila ndani ya nafsi zao dhamira inawasuta pamoja na madhaifu ambayo kila binadamu anayo ukweli ni kwamba Magufuli aliipenda sana Tanzania kutoka moyoni na aliidhihirisha kwa vitendo,kitu ambacho hawajui ni kwamba wanamuongezea umaarufu kila uchwao na hata sasa kuelekea oktoba 2025 wamejiharibia saaanaaa sababu Samia na Kikwete hawauziki kwa wapiga kura.

Ccm imerudi zama za JK ukivaa vazi lao uku mtaani wanazomewa km mafisadi na watekaji/wauaji na hao Mafisadi wasifikiri wapo salama au wameshinda vita kuna kitu kinakuja hakika yule wanayemuita Mhutu wa Chato atawanyamazisha huko huko kaburini alipo.

Na hii mbegu Tiss wanaiyopanda ndanj ya Taifa hili teule inazidi kumea na kwa hakika hata vizazi vyao haviko salama kwani Tanzania siyo ya kwao peke yao Karma itarudi kwa kishindo kikuu.JPM hakuna msafi nchi hii anayeweza kumchafua zaidi ya kumuongezea umaarufu kwa Watanzania 75% kumbuka zile kura za maoni zilizosababisha gazeti la mwananchi kupewa onyo na baadaye kufungiwa kwa kisingizio cha kibonzo.

Kama kuuwa nao wanaua uchaguzi wamechafua ufisadi umerudi kwa kasi nyongeza ya mishahara hakuna pesa za mikopo za Tanganyika zinajenga kizimkazi na Zenji Mkataba wao wa Korea Kusini Rais wa kule anaandamwa na Tiss ya kule kwa ufisadi mkubwa how come mtu mmoja ajimilikishe hili Taifa na kisha kuwafanya Watanzania wote maiti kama alivyosema Mzee Kenyatta.
days are numbered.
TANGANYIKA FC DRC.
 

Attachments

  • 1736094254889.jpg
    234 KB · Views: 2
  • 1736094229895.jpg
    149.2 KB · Views: 2
Shida ya watanzania ni uelewa mdogo na viwango vya chini na hawa wanamwona Magufuli kuwa nabii wao.
 
Mkuu mhurumie huyo akili ndogo mwandishi Kanjanja
 
Kama watanzania wa sasa hawataelewa Kuna kizazi kitakuja kumuelewa na kifahamu magufuli aliokuwa ni kiongozi wa namna Gani kwahiyo itawasaidia kuwa makini pindi watakapo takiwa kuchagua kiongozi hasa katika ngazi ya urais kutokana na kumba maandisi yanadumu kwa vizazi vingi kwahiyo kwasasa unaweza usione impact ya kitabu hiki
 
Hata hivyo kuna kitabu kingine cha yule prof wa zambia kinachomsifia Magu kitasomwa pia kwahiyo tusichukulie hivi vya kumkashifu pekee ndivyo vitasomwa baada ya miaka 200
 
Umechambua vizuri Ila kuhusu Magufuli kupendwa sana hii sio kweli

Magufuli ndo rais Pekee alipokufa watu walikesha bar kunywa na kula .

Japo Mimi nilikuwa namkubali Ila watz wengi walikuwa hawampendi .
Watanzania wa level gani unaowazungumzia?..
Tembea Tanzania ukiwa na free mind na uulize watu,utapata majibu..
Magufuli amefariki lkn ndie Rais anayetajwa kila siku kuliko hata Nyerere .
Nguvu kubwa inayoweza kutumika kujaribu kumfifisha,ndio inazidi kumpandisha juu zaidi.
Kama wewe ni mmoja wa watu waliokuwa wanapigwa pini na Magu..lazima ulikesha bar kusherehekea..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…