Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Ulipaswa useme 'Ugomvi' na siyo Magovi.Means misunderstanding
Mbona serikali y tanzania ilishidwa USA kwa mange kimambiSouth wangefanyaje? Usiombe serikali idhamirie kukusaka.
Huyu watu hawajamuamulia tu!Sijui nani yuko nyuma yake.
Wanapaswa wakashikishe adabu kwanza
Hiyo miji ni mikubwa sana sema sowetoKuilinganisha South Africa na Rwanda ni sawa na Kulinganisha Landcruiser na Passo
Rwanda haina uwezo wowote wa kuipiga South Africa labda uwezo wa kuotea na kurusha bomu kama alshabab. Mji mmoja tu kama Cape town au Johannesburg au hata Durban, una nguvu ya uchumi kuliko nchi nzima ya Rwanda
Huyo hatutoi jasho hata miezi 3Waulize Wamarekani walichokutana nacho Vietnam kwa Viet Cong, Labda Tz ndio wanaweza wakatoana jasho na Rwanda ila SA ni wepesi sana kwa Rwanda.
Kumbuka Jimbo la mpumalanga ni kubwa mara mbili ya rwandaAnaweza kuwapiga vizuri sana, wanajeshi wa South Africa hawewezi kupigana kwenye hiyo terrain kuwazidi Wanyaruwanda.
So unadhani mwamba kagame anajivunia nnMajeshi ya Rwanda hayana uwezo wa kuyashinda Majeshi ya Afrika ya Kusini katika medani za kivita ubavu huo Rwanda haina.
Trump kile kichwa kibovu....dk mbili hakaiembu amtunishie misuli Trump namna hiyo
HatariNi vile tu hajaundiwa mercenary na watu wakaipa hela na training
It's all about power struggle [emoji23][emoji23]Watu wazima hawatishiwi nyau faida ya magovi nini haswa?
Iran na Israel hakuna vita waliopigana ...apart na kurushiana missilesSA ndiyo wanao fanya mazoez ya kivita na russia, china.. Kagame ana siri nying za kijasus kuhusu jesh la SA.. ISRAEL alimkalisha Iran
Labda anakitu kinampa manguvuKagame ni yule dogo Fulani mtaani nunda ana mikwara na watu wanamgwaya kwa mikwara yake,ila siku Kuna mtu msiyemtarajia akamchoka na mikwara yake hapo kitaa akapiga kama Ngoma.
Huyo PAKA ni overrated sana,mikwara ndiyo mingi.
Naskia ana intelligence kaliKiburi kikizidi sana,mwishowe ni aibu!
High time mr slim ajue his position, yy sio tishio kwa lolote zaidi ya ukibaka anaoufanya Drc kwa support ya some western countries, aache ulafi na ubinafsi unaotuhumiwa kuwa sehemu ya jamii ya kitutsi,anonesha wazi wao ni jamii ya namna gani na dunia iwaangaliaje na kudeal nao vp.
Kwann mkuuKumbuka Rwanda akiingia vita ni na SA, atakuwa ameingia vitani na Tanzania. Kwa hiyo vita itaanzia Kagera na kuelekea Rwanda.
MUWE MNATOA NA SABABUMajeshi ya Rwanda hayana uwezo wa kuyashinda Majeshi ya Afrika ya Kusini katika medani za kivita ubavu huo Rwanda haina.
[emoji23][emoji23]Punguzeni kula ugolo vijana.
Wewe ukimjua mwakinyo anapigana orthodox na udhaifu wake ni upande wa kushoto ndiyo utafanya uanze kumchimba mikwara kisa unajua udhaifu wake wakati kiuhalisia hauna uwezo wowote wa kusimama na mwakinyo kwenye ring.au ubovu wa Manchester united ndiyo coastal union aanze mikwara na kumkazia kwamba wakikutana man u atakula nyingi?
Rwanda amazie South Africa ambae anatengeneza silaha zake za kivita na anaziuza hadi nchi zilizoendelea huko mambele. Nyie watu asee!!
Wabongo hivi mmekuwaje?