Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Basi tena kila Mtu kashajua tayar😄😄waangalie vzr utajua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi tena kila Mtu kashajua tayar😄😄waangalie vzr utajua.
Halafu eti ya miti,,Simba wamekuwa sawa na fisi kumfuata binadamu nyuma akitarajia mkono uanguke auokote,,,,,Watasubiri sana Yanga afungwe.Kwikwikwiiiii
Wametangulia kwa baiskeli kwikwikwiiii
Muamedi siku hizi hataki kabisa kuzungumzia swala la Simba wala hapost 😂Mwamedi hajasusa tu????
Bora wamefungwa wakiwa hawana Corona. Sijui sasa watasingizia nini.Halafu eti ya miti,,Simba wamekuwa sawa na fisi kumfuata binadamu nyuma akitarajia mkono uanguke auokote,,,,,Watasubiri sana Yanga afungwe.
Benchi la ufundi limepwaya, wanatakiwa kuondolewa wote kuanzia kocha mkuu mpaka wasaidizi wake wote wakiwemo kina Matola.
Better late than never.
Weweeeeeee hivi ina maana ww unajua kuliko Pablo kutoka Madrid.Mimi niliona makosa toka walipomtoa morison badala ya mzamiru,ila wewe ukatetea.Timu ilishakua na uwezo wakumiliki mipira kilichokosekana ni mtu wa kati wakumalizia.kwahiyo kama angebaki morisoni akapita pembeni na sako pembeni ingekua kazi nyepesi sana kumalizia mipira katikati.Lakini pia sikuona sababu ya kocha kuanza na mfumo wa viungo wengi bila mshambuliaji wa kati.Kungekua na mshambuliaji wa kati kungemfanya chama acheze juu zaidi tofauti na leo kalazimika kucheza sana eneo la chini.kwahiyo naungana na wewe kua timu inashida kubwa ya kitaalamu kwenye benchi la ufundi na wachezaji wenyewe.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hahaaaaa. Na watagoma sana msimu huu teh teh.Wamegoma na kuongea[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwakweli kabisa [emoji1787][emoji3][emoji3]Kikosi cha leo kinatia matumaini[emoji39][emoji39]
KajinyongeMpira Ni Mchezo wenye Maumivu Sana.
Simba Simba Simba
Huyu hawezi kuwa kocha wa Real Mdrid, wamepigwa.Weweeeeeee hivi ina maana ww unajua kuliko Pablo kutoka Madrid.
Hakika wasingetupenda hata kama tungeimba kwayaSio kila muda mamipira tu
Hivi shahidi wa leo kwenye kesi ya mbowe alifanyiwa cross examination?
KwakweliSimba kwa kikosi hiki, ni raha kolea.
Go Mnyama!.
NA WAMESHESHA!!!Najua wana Nkulukumbi lazima watoboe tundu