Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nye nye nyenyeKushinda tutashinda ila huku kuchelewesha chelewesha ndio ambako hatutaki
Unabishana na mwanafunzi wa zidane?Kocha pekee duniani anayeweza kucheza bila ya kuwa na namba 9 asilia (False 9) ni Pep Guardiola, Pablo asije akajariibu tena mwisho iwe leo, nihamie uzi wa Afcon sasa
Na mvua ikinyeshaga mnashinda wanga nyieMechi Na Mbeya City, Mashabiki Wetu Walipata Ajari Tukafungwa, Mechi Hii Pia Mashabiki wamepata Ajari, Tumefungwa.
Kuna Namna Lakini Nafikiri huu Ndio Mwisho wa Kufungwa Hadi Ligi Inaisha.
HAWAJAWAHI KUKUANGUUSHA MKUU!!Kagera msiniangushe
Mimi nakubaliana na ww mkuu- sioni tatizo la kocha- tatizo ni viongozi- wamesajili wachezaji wenye viwango duni- na wale wa zamani- wengi wamebakiza majina tu.Huwezi kuchukua ubingwa kwa kuwategemea akina boko. Na huwezi kuchukua ubingwa kama huna washambuliaji wa kutisha. Kufungwa huku kuwe fundisho kwa Viongozi wa Simba kufanya sajili zenye maana na sik mihemko.
UNAAMBIWA ALIONDOKA AKIWA CHAMA CHA MAPINDUZI, ALIPORUDI AMEKUWA CHAUMA!!!Huyu Chama vp kwan hii ni copy yake au[emoji848][emoji848]
Pablo alikuwa anajaribu mwishowe kiporo chake kimechacha.Kocha pekee duniani anayeweza kucheza bila ya kuwa na namba 9 asilia (False 9) ni Pep Guardiola, Pablo asije akajariibu tena mwisho iwe leo, nihamie uzi wa Afcon sasa
ebooooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]UNAAMBIWA ALIONDOKA AKIWA CHAMA CHA MAPINDUZI, ALIPORUDI AMEKUWA CHAUMA!!!
Weka Lamination kwenye haya maoni. Asiyekubali hajui soka. Hakuna kocha pale kuna msimamizi wa mazoezi.Kwa mpira wa kisasa hakuna namna Pablo anakwepa hili zigo
Hata kama vipi lakini quality ya wachezaji wa Simba mmoja mmoja Simba haistahili matokeo haya kama Pablo angekuwa kocha mzuri kwa Simba
LABDA NJAA!!Kushinda tutashinda ila huku kuchelewesha chelewesha ndio ambako hatutaki
Leo kwani wamenlaumu nani? Na wamezusha eti uwanja wa Manungu unefungiwaNi ivyo tu pumba na mchele vinaanza kujitenga taratiiibu, mechi 3 bila goli ata la kusingiziwa ni hatari kwa timu inayojinasibu kuwa inapigania ubingwa, No kiporo pongezi bodi ya ligi msimu huu mmejipanga vizuri
Haikuwa na haja ya manula kubana miguu kiiza asiingize vizuri wakati imepenya vizuri tuNyie biashaneni mambo ya soka, mi mwenzenu acha niendelee kutangaza biashara yangu ya Chige Travel Agency. Tumia Promo Code PabloMwamedChoma ili kupata discount ya 25% kwa ndege zote zinazoenda Nchi za Jumuiya ya Ulaya!