Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Kila la heri Ivory Coast
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu mkubwa ndugu yangu. Wajitahidi tu mbona sisi tulikuwa tunalala.Sijui kama OKW BOBAN SUNZU na GENTAMYCINE pamoja na Erythrocyte watalala leo. Kwa Shadeeya mungu mkubwa au siyo?
Hivi boss wangu na wewe ni mmoja wa tunaolala na viatu ama? 🤣🤣Hakika wasingetupenda hata kama tungeimba kwaya
Hahahahaaa. Yaani wamepata nafasi wanambwela mbwela kaja mwenzao k a u su k u m i z a ndani. 😅😅Wamelala na viatu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe uliwaambia hili jambo!? Nadhani wamekuelewa sasaKama kocha na mashabiki wa Simba wanafikiri itakua rahisi kwa timu yao kucheza bila no 9 au 10 wenye Asili ya mshambuluaji wa Kati, Leo watajua kua hawajui. Ni kosa kubwa na timu itakosa balance.
Tena huko mkoani Kagera....Dah! Mpira raha sana. Wapi Papaa Pablo! Kocha kutoka Real Madrid!! [emoji16][emoji16][emoji16]
Bora ufanye uamuzi mgumu wa kujiuzulu mapema ili kulinda heshima yako! Yaani utoke Real Madrid halafu unakuja kujidhalilisha hapa Bongo!
KabisaHaikuwa na haja ya manula kubana bana miguu kiza asiingize vizuri wakati imepenya vizuri tu
Kakutana na wala kitimoto katoka mbioSakho ni jini huyu
Watakuja na jingine we sikilizia awakosi sababu hao na kocha wao wa mchongoLeo kwani wamenlaumu nani? Na wamezusha eti uwanja wa Manungu unefungiwa
....Kama ulijua mkuuu ...Najua wana Nkulukumbi lazima watoboe tundu
Kipindi cha 3 ndo mtashinda ngoja timu zikirudi uwanjaniKushinda tutashinda ila huku kuchelewesha chelewesha ndio ambako hatutaki