Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Mudi haongei chochote anameza pariki nzima-nzima bila kutafuna.Kuni Mwamedi mwenyewe anasemaje kwa mfano?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mudi haongei chochote anameza pariki nzima-nzima bila kutafuna.Kuni Mwamedi mwenyewe anasemaje kwa mfano?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji12][emoji12]Kua na amani,tena kama ni mtu wa kubeti weka hela yako ya kulipa kodi ya nyumba,pesa ya bili ya maji,luku,changanya na ada ya mtoto shule.
kisha agiza Mo Cola usubiri dk 90 ziishe uvune mi Dangote yako.
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji848][emoji12][emoji3][emoji1787][emoji1787]Tikipigwa au kutoa droo kwenye huu uwanja nitaamini kuwa Timu yangu ni mbovu msimu huu.
[emoji12][emoji12][emoji3][emoji3][emoji1787]Kwa mara ya kwanza simba inacheza mpira uwanjani
Kila la kheri mnyama mkali
Wamelala na viatu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaaaaa. Na watagoma sana msimu huu teh teh.
Si tulikubaliana sakho ni proffesor?Simba hii ifumuliwe itengenezwe upya
HatimayeNajua wana Nkulukumbi lazima watoboe tundu
Umemponza mwenzio kesho anatolewa vitu vyake njeKua na amani,tena kama ni mtu wa kubeti weka hela yako ya kulipa kodi ya nyumba,pesa ya bili ya maji,luku,changanya na ada ya mtoto shule.
kisha agiza Mo Cola usubiri dk 90 ziishe uvune mi Dangote yako.
Sasa Leo mmekutana na wahaya na wamewamwaga maji pazuri kabisa!!Viwanja vinaruhusu watu kucheza, hata Messi huwezi kumpima kwenye lile jaruba la mbeya.