Yaani tunaumia sisi mashabiki huku wachezaji wakifurahia mpunga. Baadae utasikia viongozi wanatuhadaa na kutudanganya kwa maneno ya kipuuzi ya kusingizia viwanja vibovu, referees, TFF na GSM, wakati tunaona kinachofanyika uwanjani ni utoto mtupu unaofanywa na Simba.Nilichokuja gundua ni kwamba hawa wachezaji ambao wanalipwa kufanya hiyo kazi ya kuwapatia matokeo mashabiki wala hawaumii kama wanavyoumia mashabiki ambao hata kumi hawalipwi haiwezekan game ambayo mnahitaji matokeo mnacheza show show halafu dakika za mwisho ndiyo wanajifanya wanaharaka
Na vipi kuhusu kapombe, unahakika ni kenyewe au leo ni kasoda?Huyu Chama vp kwan hii ni copy yake au[emoji848][emoji848]
yaan hata sielew mzeeNa vipi kuhusu kapombe, unahakika ni kenyewe au leo ni kasoda?
Kwan wanachezaje?hivi kocha ndiye amewaambia wacheze hivi au wao wenyewe wamejiambia hawa jamaa[emoji848][emoji848]
waangalie vzr utajuaKwan wanachezaje?
Sasa kama washambuliaji wenyewe waliopo ni butu, atafanya nini?Mechi ya Kagere ,kocha naye muoga wa kufungwa kajaza viungo kibao.
Sio kila anayetoa mawazo mbadala usidhani ni mshabiki wa Yanga, wengine tunaongea uhalisia sio ushabiki. Mpira ni mchezo wa wazi kila kitu kinaonekana. Simba haipambani kiume kama ilivyokuwa kwa misimu minne iliyopita na huo ndo ukweliWatu misiokuwa watetezi wa ubingwa kwa zaidi ya miaka minne mnawezaje kuzungumzia haya?
Haya maneno nyinyi mnatakiwa muongee baada ya LIGI kuisha na wakati huo muwe na kombe, au kombe tayari mshachukua na sisi hatujui?[emoji28]
Chukueni kwaza kombe ili muonyeshe utofauti, maana kama ni meneno yenu tunayasikia kwa misimu minne.
Ambangile akisema huwa tunakua wakal kapombe is finishedOna wachezaji wanavyo devera halafu timu ikipata matokeo mabaya lawama ziende kwa kocha
Na ndio maana nasema kuna mashabiki wasio jielewa humu ndani, hivi kwa umazafaka wanaofakisha kina muzamiru na kapombe utampa kocha lawama kwa kipi?
Kwa watu wasiojua majukumu ya kocha watamulaumu kocha, hapo kocha ka-set kila litu sawa shida inakuja kwenye ujinga wa mchezaji mmoja mmoja.hivi kocha ndiye amewaambia wacheze hivi au wao wenyewe wamejiambia hawa jamaa[emoji848][emoji848]
Jangwani kuna djumaKabisa hawajui kama kombe linaenda jangwani