vitabu vya mungu na mitume waliopewa vitabu hivyo ni
Zaburi kwa daudi
Torati kwa mussa
Injili kwa issa
Qur an muhammad
Mnaposema biblia nacho ni kitabu cha muumba
inabidi pia mseme mtume aliepewa kitabu hicho ni mtume gani.
Yesu ni Mzungu?Habari ya kusali jumapili ipo kwenye biblia?Watu wa biblia wanasali jumapili?Habari ya yesu sio utamaduni wa mzungu?
Watu wanasali jumapili, huo sio utamaduni wa mzungu?
Unatakiwa utuambie kwa mujibu wa biblia Yesu ni mzungu.Sio maneno ya mdomoni.Maana hapa mada ni Biblia,usilete mambo yanayofanywa na wasiotahiriwa ambayo hayapatikani kwenye Biblia ndo uyafanye ushahidi wakoHabari ya yesu sio utamaduni wa mzungu?
Watu wanasali jumapili, huo sio utamaduni wa mzungu?
Mbna vyote naona ni vya wazungu n waarabu ilhali umesema tusiwafuate?Hakuna kitabu Cha mungu kinachoitwa biblia vitabu vinavo julikana ni 4 na vilishushwa Kwa kila zama
1.Zaburi
2.Torati
3.Injili
4.Quran
Endeleeni kufata wazungu na warabu mkija kujua ukweli wa dunia inavoeenda mmechelewa
Quran sio kiarabu Kuna waarabu hawajui Quran na Wana Dini zaoQur'an si ni ya Muarabu?
Yaani mpaka mnakariri Arabic language ili muisome Qur'an. Au ile ni lugha gani?
huyo mwarabu ni wa taifa gani asiyejua quran, dini yake ni ipi, uyuda au ukristo?Quran sio kiarabu Kuna waarabu hawajui Quran na Wana Dini zao
Baada ya mnara wa babeli kudondoka ndio lugha zilitawanyika na kuwa nyingi hivo watu waliweza kujuana na kisikilizana kutokana na sauti zao na kuelewana kwao ndipo chimbuko la lugha kiimaniAlikuwa anashusha nani na kwa maandishi ya aina gani? Na katika ukubwa wa ulimwengu huu hata huko China, Urusi, New Zelsnd mbona havikushushwa?
Dah 😄 uzuri wake kuna Google.Quran sio kiarabu Kuna waarabu hawajui Quran na Wana Dini zao
Wanakalilishwa ujingaDah [emoji1] uzuri wake kuna Google.
Ina maana Classic Arabic sio lugha ya Kiarabu? Makubwa.
Kabisa.Wanakalilishwa ujinga
Kuna dhana kwamba Biblia imejaa hadithi za kutungwa. Wasemaji wa utungaji huo wa hadithi za Biblia ni wale wapinzani wa yaliyomo hasa dhana na nadharia kwamba kuna MUNGU.
Lakini utungaji wa Biblia ulianza lini?
Hadithi za Biblia zilitungwa na kina nani na jee majina yao yanajulikana?
Watunzi Wa hadithi za kwenye Biblia walikuwa wangapi?
Hao watunzi walikuwa kutoka taifa Moja ama walitoka mataifa tofauti tofauti?
Walikubaliana wapi na vipi kuwa watunge hadithi hizo za Biblia na lengo lao lilikuwa lipi?
Jee walitumia vigezo gani kuchagua wahusika wa hizo hadithi zao na majina ya wahusika hao?
Ilichukua miaka mingapi hadithi hizo za Biblia kutungwa?
Baada ya utunzi wa hadithi hizo nani aliyetoa majina ya vitabu vinavyobeba hadithi hizo za kutungwa?
Baada ya wao kumaliza kutunga hizo hadithi Kuna watu wakati Wa zama zao waliowahi kutunga kitabu kingine kukanusha hizo hadithi zilizotungwa na hao watunzi wa hadit
Ukipata kitabu kilichoandikwa "vipindi saba vya historia ya mwanadamu na maongozi ya Mungu kitajibu maswali yako.Kuna dhana kwamba Biblia imejaa hadithi za kutungwa. Wasemaji wa utungaji huo wa hadithi za Biblia ni wale wapinzani wa yaliyomo hasa dhana na nadharia kwamba kuna MUNGU.
Lakini utungaji wa Biblia ulianza lini?
Hadithi za Biblia zilitungwa na kina nani na jee majina yao yanajulikana?
Watunzi Wa hadithi za kwenye Biblia walikuwa wangapi?
Hao watunzi walikuwa kutoka taifa Moja ama walitoka mataifa tofauti tofauti?
Walikubaliana wapi na vipi kuwa watunge hadithi hizo za Biblia na lengo lao lilikuwa lipi?
Jee walitumia vigezo gani kuchagua wahusika wa hizo hadithi zao na majina ya wahusika hao?
Ilichukua miaka mingapi hadithi hizo za Biblia kutungwa?
Baada ya utunzi wa hadithi hizo nani aliyetoa majina ya vitabu vinavyobeba hadithi hizo za kutungwa?
Baada ya wao kumaliza kutunga hizo hadithi Kuna watu wakati Wa zama zao waliowahi kutunga kitabu kingine kukanusha hizo hadithi zilizotungwa na hao watunzi wa hadithi za kwenye Biblia?
Kwani nimesema "maswali niliyokuuliza" au " maswali niliyouliza"?Mimi umeniuliza swali lipi?
Onesha uliponiuliza
Wewe akili zako haziwezi kujibu mpaka hicho kitabu??Ukipata kitabu kilichoandikwa "vipindi saba vya historia ya mwanadamu na maongozi ya Mungu kitajibu maswali yako.
Hii inasaidia kujibu maswali niliyouliza?We mleta hoja, rudi kasome biblia the holy bible in kiswahili, 1952 union version, usome dibaji tu, jibu lako lipo hapo, kisha uje na hoja zilizoshiba tuzipangue
dibaji ni ufafanuzi kwa ufupi kile kilichoandikwa ndani. Biblia ni kubwa, ni maarifa na filosofia, inategemea unaamini vipi maandiko hayo. Kama unachukulia kama novel tu utaishia kuona hivyo. Ukiona kuna maarifa utapata matokeo utayaonaHii inasaidia kujibu maswali niliyouliza?
Jee unaamini Kila kilichoandikwa kwenye Hiyo" the holy Bible in Kiswahili, union Version" au unaamini dibaji peke yake?
Mada yangu imebebwa na maswali.dibaji ni ufafanuzi kwa ufupi kile kilichoandikwa ndani. Biblia ni kubwa, ni maarifa na filosofia, inategemea unaamini vipi maandiko hayo. Kama unachukulia kama novel tu utaishia kuona hivyo. Ukiona kuna maarifa utapata matokeo utayaona
Hakuna siri kuhusu Bible, kuhusu walioandika, lini iliandikwa na walioamua maandiko yawe sehemu ya Bible vyote vinajulikana, ukiamua kufuatilia na kusoma deep utaelewa mambo mengi sana, ila kwa ufupi kila kitu kwenye Bible ni maandiko/hadithi kutoka kwa wanadamu kama wewe na mimiHuwezi kutunga hcho kitabu , ni either ukiamini au au usiamini , your choice , na usipoamini basi better ukae kimya , hakuna kitu cha kutungwa kinaweza last longly namna hyo , na kuwa widespreaded kiasi hcho Karne na Karne hakuna kitu kama hcho , vtu vyote vinavyodumu Karne zote ni halisi...