Kama kipato chako ni chini ya milioni Tano kwa mwezi wewe ni Maskini

Kama kipato chako ni chini ya milioni Tano kwa mwezi wewe ni Maskini

T
Beba hiyo kama changamoto. Usikalie hicho kimshah

Beba hiyo kama changamoto. Usikalie hicho kimshahara
#Tume ku challenge attach hapa pay slip au TRA Returns zako umekimbia;
Do you really make money 💰 au ndo wale wakujifariji? Ni asilimia 1 % tu Dunia wanao tengeneza $ 1 million per year, avarage global income Kwa majority ni $ 12,000 per ni asilimia 10 tu Duniani wenye ku make $ 100,000 per year tuki acha na Currency 💲 huwezi kumuita anaye tengeneza Tanzania Tzsh 1 to 5 million Kwa Mwezi ni masikini, kafanye research 60 percentage ya work force Tanzania wako kwenye less than 1 million iwe ni inform to formal sectors
 
Kabisa mkuu,
Kuna wakati unatakiwa ujue nini cha kuleta kwenye public ili usuharibu afya ya akili ya wale unaotaka wapate ujumbe wako. 5m p/m ni kama $2,000 ambayo kwa mwaka ni roughly $24,000. Hata kwa viwango vya magharibi huyu sio masikini. Huko ambako maisha ni ghali sana, bado huwezi kumuita masikini.

Ila ndio hivyo, kila mtu anataka asikike. I can imagine a jobless reading this.
Mketa uzi na stress za maisha huo ndo ukweli huwezi ukawa na afya ya akili ukaandika alichoandika

Vijana wanataka maisha mazuri kwa haraka wanashindwa kuelewa ile ni process wakiyakosa ndo wanakuja na nyuzi kama hizi za kulazamisha kujifariji
 
Sio hali zao. Hawakubaliani na maoni yako. Umediriki kusema mtu anaepata 5m hawezi kumudu milo mitatu? Tell me you weren't serious.
Ni mtoto alafu anatatizo kubwa sana la akili yaani afya yake ya akili inashida kubwa sana
Yaani upewe million 4 au 2 kama mshahara ushindwe kumudu milo mitatu
Mleta uzi nimemdharau sana
 
Just imagine, take home ya 5m mtu ashindwe milo mitatu? Analisha kijiji au ni familia ya watu watano?
Mleta mada aseme alikuwa anatania.
Hatanii ndo maana anatumia nguvu kubwa kutetea uzi wake

Mleta uzi mara nyingi sana analeta nyuzi nyingi sana kwa kutaka kuonekana extra ordinary (mtu mwenye akili) lakini nyuzi zake nyingi sana ni pumba tu anaandika
Huwezi sema million 5 huwezi mudu milo mitatu huo ni ujinga na uzindaki wa hali ya juu sana
 
T



#Tume ku challenge attach hapa pay slip au TRA Returns zako umekimbia;
Do you really make money 💰 au ndo wale wakujifariji? Ni asilimia 1 % tu Dunia wanao tengeneza $ 1 million per year, avarage global income Kwa majority ni $ 12,000 per ni asilimia 10 tu Duniani wenye ku make $ 100,000 per year tuki acha na Currency 💲 huwezi kumuita anaye tengeneza Tanzania Tzsh 1 to 5 million Kwa Mwezi ni masikini, kafanye research 60 percentage ya work force Tanzania wako kwenye less than 1 million iwe ni inform to formal sectors

Kwani nimesema mimi ni tajiri. Mbona unajadili kitu kilichonje ya nilichoandika.

Unapoambiwa nchi yako ni maskini ni pamoja na nilichoeleza.
 
Robert Heriel Mtibeli njoo usome hapa, hivi ni viwango vya kimataifa, total annual income. Usipotoshe watu kwa personal views.
Screenshot_20240302_145519_Chrome.jpg
 
Sio hali zao. Hawakubaliani na maoni yako. Umediriki kusema mtu anaepata 5m hawezi kumudu milo mitatu? Tell me you weren't serious.

Milo mitatu kwa kiwango cha juu cha lishe bora hatoboi. Plus bills zingine.

Niko serious mkuu. Milioni ni pesa ya maskini aliyechangamka anayekatibia kuingia daraja la middle class.
 
Milo mitatu kwa kiwango cha juu cha lishe bora hatoboi. Plus bills zingine.

Niko serious mkuu. Milioni ni pesa ya maskini aliyechangamka anayekatibia kuingia daraja la middle class.
Wahi mirembe ni kijana mdogo sana
Mtu kama huyu kwenye picha anakuambia million ni pesa ya maskini
8C3623B5-8F4F-41CA-8AD2-55D477587203.jpeg
 
Kwema Wakuu!

Kuna aina tatu za Maskini.
1. Maskini wa kutupwa (Fukara)
2. Maskini wa kawaida
3. Maskini aliyechangamka.

1. Maskini Fukara
Maskini Fukara hili kundi ni wale Watu ambào kula yao ni mshikeshike, hawana pakuishi, yaani hawa ndio huitwa hohehahe. Hawa kwa asilimia kubwa wamekata tamaa ya maisha. Na ukikutana nao moja kwa moja umaskini ndio utambulisho wao.

2. Maskini wa Kawaida.
Hili ni kundi ambalo wengi tupo hapa.
Hawa wanapata kiasi mahitaji yao ya msingi lakini sio Quality. Yaani atakula ndio chakula lakini sio mlo kamili.
Yaani yeye kila siku maugali na maharage sio shida. Kuvaa nguo za mtumba ni jambo la kawaida. Mpya ni mara mojamoja.

Makazi yao ni vibanda fulani ambavyo vinawastiri na baridi, jua na mvua. Ingawaje wao wenyewe huita nyumba lakini kimsingi sio nyumba.

3. Maskini waliochangamka.
Kundi hili ni lile la wenye vipato ambavyo ni kati ya milioni moja mpaka tano.
Kwa Tanzania kundi hili nalo hujiona limetoboa lakini kimsingi ni kundi maskini tuu kwani vipato vyao haviwezi kukidhi mahitaji ya msingi kwa kiwango kikubwa.

Mfano mtu mwenye kipato cha milioni moja mpaka tano hana uwezo wa kula milo mitatu kamili mwaka mzima pasipo kupasua matairi. Hapohapo hana uwezo wa kuishi kwenye makazi mazuri na kuvaa nguo Standard. Ni lazima kimoja atashindwa. Hapohapo awe anabima nzuri ya afya. Gari nzuri ambayo mafuta kwake sio tatizo, huku anasomesha watoto shule nzuri. Utagundua hicho kipato ni kidogo mno.

Kundi hili linanafasi ya kupambana na kuingia kundi la matajiri daraja la chini ambao kipato chao ni milioni 10 mpaka milioni mia moja.
Ishu inakuja pale ambapo Watanzania wengi tukishapata tumilioni mbili kwa mwezi ndio tunaona tumeshatoboa na tunaanza kubweteka ilhali kimsingi bado tupo tabaka la juu la maskini.

Unapoambiwa nchi yako ni maskini elewa kuwa robo tatu ya wananchi vipato vyao kwa mwezi havitoboi milioni tano.

Ukisikia mtu anakuita Maskini na unajiona una maisha mazuri. Sijui gari, nyumba na unapesa za kubadilisha mboga alafu muda huohuo kipato chako halifiki milioni tano jua anahaki ya kukuita hivyo.

Ingawaje umaskini kwa upande mwingine ni mtazamo. Mtu anaweza kuwa Maskini wa kipato lakini akawa anajiona tajiri(mental illness) alafu yupo mwenye kipato cha milioni 100 alafu anajiona maskini(hana shukrani).

Ijumaa Kareem
Kipato changu kwa mwezi ni Tsh 4,999,000/= kumbe mimi bado ni maskini.Mtaa ninakoishi watashangaa sana kusikia na mimi niko katika kundi la masikini.
 
Back
Top Bottom