Kama misikiti inaweza kujengwa mitaani kwa uhuru, kwanini kujengwa kwa makanisa kuwe kero Zanzibar?

Mungu gani asiyejipigania mwenyewe hadi mumpiganie ninyi wenyewe?

Inamaana Mungu wenu hajiwezi kiasi ninyi mliyeumbwa naye mnamzidi nguvu hadi mtumie sheria mikononi kumshindia swala dogo kama hilo?

Duniani ukikosa hekima (uwezo wa kupambanua jambo kwa kina zaidi) ni hasara kubwa sana kimaisha.
 

Huu.muungano mnaulazimishs TU wabara, wazanzibari hata hawautaki.

Changamoto zake ndo hizi hizi za kuwaalibia ustaarabu na utamaduni wao.

Unalalamika wamekalia itikadi za kiarabu, ila unasahau kwamba kiarabu na uislamu Ni samaki na maji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha vichekesho, kuna Biblia za Kiswahili. Je, kipi ni rahisi ,kuelewa Biblia ya Kiingereza au ya Kiswahili ambayo ndio lugha wanayotumia Wazenji!? Labda uniambie hawatumii Kiswahili na wanatumia Kiarabu kama lugha ya mawasiliano huko Zenji.
 
Hayo hayajalishi,basi tukubaliane,hakuna vipaza sauti,yani watu wanje wasibughuziwe,kwa wakristo na waislam.
 
Kanisa la Zumaridi likifika huko, watu watanyukana mtaani na wale 'makerubi' [emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha ha....
Kuna vitu hata sio vya kuongea mbele za watu.

Ni sawa uje kwangu uanze kuonyesha viashiria vya ushoga mbele ya wanangu afu nikuchekee kisa Ni mgeni tu na hujavunja sheria yoyote ya nchi[emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sio kujenga makanisa tu hata mtanganyika kununua na kumiliki kipande cha ardhi huko visiwani ni ndoto ya alinacha tena ukiwa mgalatia ndio usahau kabisa
Ndo Maana najiuliza Hilo eneo wamepewa na Nani maana kumpata mzanzibar mkristo ni nadra Sana kule

Vinginevyo hao TAG wamepitia Njia za panya[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa basi huyo mungu wenu hana maana,yani unavunjaje jengo la mtu kisa kuogopa kupotoshwa watoto wenu, sasa na sisi wakristo tukiamu kuvunja misikiti iliyokaribu na makazi yetu itakuaje??sijui huwa mnafkiliaje nyie watu.
 
Zamani watu hawakusali kipumbavu namna Hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sahii kabisa,
Mimi Ni mkristo ila napingana vikali na mtoa mada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…