Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapa naunga mkono hoja kwa kuwa nimeyaona kwangu.
Madem zangu wote walikua si wapenzi wa mpira hata kidogo
Wakutana na mlevi wa boli hapa ghafla ni wapenzi wa timu yangu na mpaka leo huwambii kitu kuhusu mnyama japo wengine ni maEX.
Na wanaume nani anawaintroduce kwenye upenzi wa vitu?
Acha kuhamisha magoli baada ya kupata backlash.Tatizo wengi mnakimbilia kwenye mapenzi uzi unasema: ujue kwamba timu yoyote anayoishabikia ni mwanaume aliitambulisha kwake.
Dah mkuu hapa tumefanana kwa kila kitu.Binafsi ni shabiki mkubwa wa soka na timu zangu ni Yanga na Arsenal.
Yanga nilianza kuishabikia nikiwa na miaka 9, Arsenal na miaka 13. Hivyo hoja yako sio kwa wanawake wote.
Hiyo ni hulka ya mtu tuJe ukimuona mwanaume anapenda Sana UMBEYA kafundishwa na nani?
Yeah lazima mwanaume ahusike ila hasa mpenzi 🤣usifuatilie sana, hayo yanakuwa sio mahusiano, ni kumfuga mtu
kwani maex ndo wanaume pekee kwenye maisha ya mwanamke? kuna baba, kaka....
IPO lkn brooSio siku hizi ilikuwa zamani
Nipasie na Mimi ninyonge dryNgoja niamshe skanka kwanza nakuja
kila la kheri mkuuKwa hiyo mkuu unamaanisha kuwa na video games nyumbani ni ishara ya utajiri?
Wasichana hawako interested sana na video games tena hasa ziwe za mpira hata kama nyumbani ipo ni boys tu wanakuwa busy nazo
Kuna mawili afuundishwe na boy nyumbani au mpenzi wake. Lazima mwanaume ahusike
Sitaki kuamini, nataka facts.Amini hivyo