Kama mwanamke wako ni shabiki wa timu za mpira au anacheza video games za soka kuna ujumbe wako hapa

Kama mwanamke wako ni shabiki wa timu za mpira au anacheza video games za soka kuna ujumbe wako hapa

Xi Jinping, Simba niliipenda kisaa ilikuwa inafunga yanga,tofauti na hapo ni timu ya familia, wanaipenda na asilimia kubwa timu ambazo watu wanazipenda sana sana wadada ni wanaume walio kwenye timu. Sio eti unashadadia hivyoo huu ni uongo kabisa
Kwamba mnavutiwa na wachezaji?
 
Ikiwa mwanamke wako anatazama mpira wa miguu na ni shabiki wa timu fulani, ujue kwamba timu yoyote anayoishabikia ni mwanaume aliitambulisha kwake. Hasa mpenzi wake anayemkubali sana wanasema a true lover.


Ikiwa mwanamke wako mara aseme:
"Mimi ni shabiki wa Chelsea, wakati mwingine Man U, mara nyingine Arsenal, lakini ninaipenda Liverpool zaidi."

Hizo ni vilabu vya soka vya ma ex wake wa zamani. Ukiona hivyo amemkumbuka sana jamaa wake wa Liverpool. Ex wake wa Liverpool alikuwa akimpa amazing sex.

Sasa tumalizie hapa ukiona anajua kucheza PS au FIFA ujue alifundishwa na mabwana zake na timu aipendayo kuicheza ni ya mpenzi wake wa zamani.

Ukiona wewe na manzi wako mnashabikia timu tofauti najua ujibu unalo.

Ni sawa na ugundue manzi wako anatumia bangi, fegi au drugs know that a man introduced her to it.
Uko wapi......
 
Acha uongo kama vile hakuna waliokua na Baba zao au Kaka zao au ndugu wa kiume makwao.

Pia wanawake wanna uwezo wa kupenda game yoyote duniani..

Ushwambwa umekujaa..
 
Sio wote, nlianza kuipenda Chelsea kpnd Cha Drogba mpk Leo.
 
Acha uongo kama vile hakuna waliokua na Baba zao au Kaka zao au ndugu wa kiume makwao.

Pia wanawake wanna uwezo wa kupenda game yoyote duniani..

Ushwambwa umekujaa..
Uzi unasema: ujue kwamba timu yoyote anayoishabikia ni mwanaume aliitambulisha kwake
 
Ikiwa mwanamke wako anatazama mpira wa miguu na ni shabiki wa timu fulani, ujue kwamba timu yoyote anayoishabikia ni mwanaume aliitambulisha kwake. Hasa mpenzi wake anayemkubali sana wanasema a true lover.


Ikiwa mwanamke wako mara aseme:
"Mimi ni shabiki wa Chelsea, wakati mwingine Man U, mara nyingine Arsenal, lakini ninaipenda Liverpool zaidi."

Hizo ni vilabu vya soka vya ma ex wake wa zamani. Ukiona hivyo amemkumbuka sana jamaa wake wa Liverpool. Ex wake wa Liverpool alikuwa akimpa amazing sex.

Sasa tumalizie hapa ukiona anajua kucheza PS au FIFA ujue alifundishwa na mabwana zake na timu aipendayo kuicheza ni ya mpenzi wake wa zamani.

Ukiona wewe na manzi wako mnashabikia timu tofauti najua ujibu unalo.

Ni sawa na ugundue manzi wako anatumia bangi, fegi au drugs know that a man introduced her to it.
Dah basi Nifah alitambulishwa Arsenal
 
Ukisoma vizuri comments utaona kuna shuhuda zimetolewa
Shuhuda gani? Ziweke hapa. Posts zina namba, zina link.

Vinginevyo, nitajuaje unazungumzia post iliyopo na hujatunga uongo tu kuzungumzia post ambayo haipo?
 
Ikiwa mwanamke wako anatazama mpira wa miguu na ni shabiki wa timu fulani, ujue kwamba timu yoyote anayoishabikia ni mwanaume aliitambulisha kwake. Hasa mpenzi wake anayemkubali sana wanasema a true lover.


Ikiwa mwanamke wako mara aseme:
"Mimi ni shabiki wa Chelsea, wakati mwingine Man U, mara nyingine Arsenal, lakini ninaipenda Liverpool zaidi."

Hizo ni vilabu vya soka vya ma ex wake wa zamani. Ukiona hivyo amemkumbuka sana jamaa wake wa Liverpool. Ex wake wa Liverpool alikuwa akimpa amazing sex.

Sasa tumalizie hapa ukiona anajua kucheza PS au FIFA ujue alifundishwa na mabwana zake na timu aipendayo kuicheza ni ya mpenzi wake wa zamani.

Ukiona wewe na manzi wako mnashabikia timu tofauti najua ujibu unalo.

Ni sawa na ugundue manzi wako anatumia bangi, fegi au drugs know that a man introduced her to it.
Wengine walirithishwa kutoka kwenye familia zao bro...
 
Ikiwa mwanamke wako anatazama mpira wa miguu na ni shabiki wa timu fulani, ujue kwamba timu yoyote anayoishabikia ni mwanaume aliitambulisha kwake. Hasa mpenzi wake anayemkubali sana wanasema a true lover.


Ikiwa mwanamke wako mara aseme:
"Mimi ni shabiki wa Chelsea, wakati mwingine Man U, mara nyingine Arsenal, lakini ninaipenda Liverpool zaidi."

Hizo ni vilabu vya soka vya ma ex wake wa zamani. Ukiona hivyo amemkumbuka sana jamaa wake wa Liverpool. Ex wake wa Liverpool alikuwa akimpa amazing sex.

Sasa tumalizie hapa ukiona anajua kucheza PS au FIFA ujue alifundishwa na mabwana zake na timu aipendayo kuicheza ni ya mpenzi wake wa zamani.

Ukiona wewe na manzi wako mnashabikia timu tofauti najua ujibu unalo.

Ni sawa na ugundue manzi wako anatumia bangi, fegi au drugs know that a man introduced her to it.
Hata baba ake ni mwanaume
Asa unasemaje karithishwa na mwanaume
 
Eh timu yenye wanaume wenye mvuto wanawake wanaipenda mf. SIMBA hakuna mahandsome kivile ila Yanga wapo wengi mahandsome sasa watu wote wapo huko
Noma kinoma Manzi yangu hashabikii mpira Ila Aziz Ki anamjua sababu ni hand some? Kwako Muhasibu wa JF OKW BOBAN SUNZU
 
Back
Top Bottom