Kama mwanamke wako ni shabiki wa timu za mpira au anacheza video games za soka kuna ujumbe wako hapa

Xi Jinping, Simba niliipenda kisaa ilikuwa inafunga yanga,tofauti na hapo ni timu ya familia, wanaipenda na asilimia kubwa timu ambazo watu wanazipenda sana sana wadada ni wanaume walio kwenye timu. Sio eti unashadadia hivyoo huu ni uongo kabisa
Kwamba mnavutiwa na wachezaji?
 
Uko wapi......
 
Acha uongo kama vile hakuna waliokua na Baba zao au Kaka zao au ndugu wa kiume makwao.

Pia wanawake wanna uwezo wa kupenda game yoyote duniani..

Ushwambwa umekujaa..
 
Sio wote, nlianza kuipenda Chelsea kpnd Cha Drogba mpk Leo.
 
Acha uongo kama vile hakuna waliokua na Baba zao au Kaka zao au ndugu wa kiume makwao.

Pia wanawake wanna uwezo wa kupenda game yoyote duniani..

Ushwambwa umekujaa..
Uzi unasema: ujue kwamba timu yoyote anayoishabikia ni mwanaume aliitambulisha kwake
 
Dah basi Nifah alitambulishwa Arsenal
 
Ukisoma vizuri comments utaona kuna shuhuda zimetolewa
Shuhuda gani? Ziweke hapa. Posts zina namba, zina link.

Vinginevyo, nitajuaje unazungumzia post iliyopo na hujatunga uongo tu kuzungumzia post ambayo haipo?
 
Wengine walirithishwa kutoka kwenye familia zao bro...
 
Hata baba ake ni mwanaume
Asa unasemaje karithishwa na mwanaume
 
Eh timu yenye wanaume wenye mvuto wanawake wanaipenda mf. SIMBA hakuna mahandsome kivile ila Yanga wapo wengi mahandsome sasa watu wote wapo huko
Noma kinoma Manzi yangu hashabikii mpira Ila Aziz Ki anamjua sababu ni hand some? Kwako Muhasibu wa JF OKW BOBAN SUNZU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…