Kama Rais hataki kufanya kazi na Kassim Majaliwa amuombe ajiuzuru kama Philip Mpango

Kwa kutumia katiba ipi mkuu? Au haya ni mawazo yako binafsi?
Kuna Katiba na KATIBA
Mfano;
Alianza Julius Nyerere
Akafuata Ally H. Mwinyi
Akaja,Benjamini Mkapa
Baadaye,Jakaya Mrisho
Kisha,John Magufuli
Sasa ni S. S. Hassani
Ajaye ni mfuasi wa Yesu
Sijui umenipata mkuu?
 
Alichimbwa bit na state hawezi kumuondoa!

Mpango bado ni makam hadi Bungee litakapovunjwa na serikali kufika ukomo wake!
 
Kitambulisho mzanzibar mkaazi kukipata Kazi rahisi as long as kama Una Kadi ya ccm na NI mwanachama hai Basi📌
Mkuu kwani Zanzibar ni taifa la CCM? Ninachojua ni kwamba Zanzibar ni taifa la kiislamu. Ungeniambia kuwa ili kupata kitambulisho cha mzanzibar mkazi lazima uwe na cheti cha uislamu ningekuelewa.
 
Mkuu kuwa serious basi. Wewe unaona Sa100 kukata jina la Majaliwa na kuleta jina la Nchimbi ambaye ni muasi wa chama ni haki na sawa?
 
Je, mbona wazanzibar wana baraza lao la mitihani (ZEC) si angemtafutia nafasi huko badala ya kuja kujaza nafasi za watanganyika? Kwani huku Tanganyika alikosekana mtu wa kuongoza NECTA hadi wamlete mpemba kuchukua nafasi ya watanganyika? Wewe unadhani ni haki na sawa wapemba kuchukua nafasi za watanganyika kizembe hivyo?
 
Nyinyi si mlikuwa mnashingilia kwa nderemo na vifijo. Acheni uchawa na unafiki, mkilalamikia hapa JF haitoshi kuweni jasori muyaseme haya kwenye vikao vyenu.
Mkuu nilipambana nikashindwa. Tatizo wajumbe wengi wana asili ya uchawa. Ukisema haya hadharani wanaweza wakakuua au unaweza kupotezwa kama alivyopotezwa Ben saane, Azory Gwanda na Kibao. Ndio maana natumia mbinu mbalimbali kupambana kila mahali ili kuwafungua bongo watanzania wajue nini kinaendelea.
 
Unaanza chokochoko,
 
Hv unatumia akili au makalio? Majaliwa ni waziri mkuu, amefanyiwa Nini, ht angempumzisha ni uamuzi wa Rais na si kt kigeni
Nchimbi ni katibu mkuu kwani yeye kafanywa nini? Labda ngoja tuanze hapa twende mdogomdogo huenda utanielewa mkuu.
 
Nyie hamjui na ukweli ndio huu, lengo la Samia ni CCM ianguke kwa masilahi ya Zanzibar ipate kujitenga kuwa Nchi huru,

Anajua kabisa hakubaliki na yeyote na hakuna mwenye akili timamu atayempa kura yeye na Nchimbi wake.

Samia anajitoa mhanga kwa masilahi ya Wazanzibar akijua kabisa Sera za CHADEMA ni kuvunja Muungano.

Siku mkija kugundua mtakuwa mmechelewa sana.
 
Mkuu kwa sheria ipi kipengele gani kifungu kipi kinacho eleza kuwa PM awe makamu wa 1 au wa 2 au mgombea mwenza???
Mkuu kwa sheria ipi kipengele gani kifungu kipi kinacho eleza kuwa PM asiwe makamu wa 1 au wa 2 au mgombea mwenza?
 
Hiki chama kina kawaida ya kusujudu sana wenyeviti wake Taifa hata kama ni weupe kiasi gani 🤣🤣
 
Nchimbi ni katibu mkuu kwani yeye kafanywa nini? Labda ngoja tuanze hapa twende mdogomdogo huenda utanielewa mkuu.
Nchimbi kateuliwa mgombeza mwenza, shida tunaingilia maamuzi ya chama Cha watu ambapo chombo mikubwa kuliko vyote mkutano mkuu ndio umefanya hayo, Nani mwingine wa kuingilia hayo maamuzi? Tuwe waelewa tufanye Mambo yetu
 
Sio kweli kikwete aliokuwa Muslim na makamu wake mzee ghalib bilali aliokuwa Muslim lkn WAZIRI mkuu aliokuwa mkatoliki mzee pinda
 
Ukiacha hayo macho yako yanavyoona. Ngoja nikupe jicho la tatu. Rais akiwa muislamu bakwata makamu anakuwa mkristo mkatoliki. Na Rais akiwa mkristo mkatoliki makamu anakuwa muislamu bakwata. Hutaki ckulazimishi
Huu upumbavu hatupaswi kuuendekeza kamwe vipi akitokeq mpagani tutafanyaje hebu tuache kuendekeza ujinga aise nchi haijawahi kuwa na dini
 
Zanzibar wakristo wapo lakini hawateuliwi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…