Kama Rais hataki kufanya kazi na Kassim Majaliwa amuombe ajiuzuru kama Philip Mpango

Kama Rais hataki kufanya kazi na Kassim Majaliwa amuombe ajiuzuru kama Philip Mpango

Sitaki salamu, naingia kwenye mada moja kwa moja. Wahenga walisema akutukanaye hakuchagulii tusi na asiyekutaka hakuambii toka bali atakutoa kwa visa ovu dhidi yako.

Kabla ya kwenda mbali kwanza naomba ku declare intrerst kuwa mm ni mwanaCCM kindakindaki na juzi nilikuwepo ndani ya ukumbi kule Dodoma nikishuhudia katiba ikisiginwa bila woga wowote. Kitendo cha Rais Samia kumpendekeza Nchimbi kuwa mgombea mwenza wake, hivyo automatically kuwa makamu wa Rais ikiwa CCM ikishinda kiti cha urais, ni ubaguzi mkubwa sana kwa waziri mkuu, Kassim Majaliwa. Majaliwa amefanya kazi chini serikali ya Magufuli tangu Rais Samia akiwa makamu wa Rais na baadaye kuwa rais. Ina maana kwa muda wote huo bado hajaona kama Majaliwa anafaa kwa lolote hadi anaenda kumuokota mtu aliyekiasi chama na kujiunga na team Lowassa ndiye awe makamu wa rais? Hili jambo mimi kama kada mwaminifu wa CCM linanisikitisha na kunikatisha tamaa kupindukia. Rais kama hamtaki majaliwa na anaona hafai kuwa kiongozi si amshauri ajiudhuru kama alivyofanya Philip Mpango?

Nina wasiwasi hata Mpango hukutakiwa kwenye uongozi wa sasa ndio maana alishauriwa ajitoe kwenye nafasi yake kwa kuandika barua halafu watu wanakuja kutuletea drama kwamba eti alikataa mwenyewe. Ashindwe kukataa kipindi cha Magufuli aliponyweshwa sumu aje kujiuzuru kipindi hiki ambacho tayari afya yake imeishaimarika? Tatizo mnatuona watanzania wote ni mazombie!

Hata kama hupendi kufanya kazi na mtu sio kumbagaza kiasi hiki mbele ya jamii na kusigina career yake ya kisiasa aliyoijenga kwa muda mrefu. Haipendezi hata kidogo.

Sote tumeshuhudia marais wakisuka safu zao za uongozi ndani ya chama chetu tangu kipindi cha mwalimu Nyerere lakini hatukuwahi kuona ubaguzi wa kiwango hiki. Na kibaya zaidi ubaguzi huu hauanzii kwenye uongozi wa juu tu bali hadi huku chini ni ubaguzi tupu. Ni katika utawala huu ndipo tumeshuhudia wazanzibar wakiteuliwa kushika nyadhifa za watanganyika wakati watanganyika hawawezi kupata nafasi kama hizo ktk nchi ya Zanzibar. Hivi inakuwaje raia kutoka Pemba anateuliwa kuwa RAS wa mkoa hapa Tanganyika? Hata Magufuli alikuwa dikteta lakini hatujawahi kushuhudia akifanya ubaguzi kama huu. Kwanza yule mpemba aliyepo kule baraza la mitihani aliingiaje pale? Haya mambo yanatia hasira sana. Yaani watanganyika wanakosa nafasi za ajira halafu wapemba wanakuja kujazwa kwenye nafasi za ajira za watanganyika? Ni nini hiki jamani?

Ujenzi wa Kisimkazi umetumia matrilioni ya fedha za watanganyika. Kana kwamba hii haitoshi, bado wapemba wanakuja kuchukua nafasi za watanganyika. Kwani Tanganyika imegeuzwa kuwa koloni la Zanzibar? Viongozi mnaofanya teuzi mnatuletea mambo ambayo yanaweza kuja kupelekea mauaji ya kimbari siku za usoni ikiwa hatua za makusudi hazitachukuliwa kuacha kasumba hii mara moja. Time will tell.
Tuwekee jina lako halisi, Isije ikawa wewe ndie unaependekeza au kutoa ushauri hayo unayojifanya kuyalalamikia.
 
Unalalamikia hilo!
Mwaka 1984 baada ya kifo cha aliyekuwa Waziri mkuu Edward Sokoine Mwalimu alimteua Salim Ahmed Salim kuwa Waziri mkuu lakini mwaka 1985 alipoingia Mzee Mwinyi alimteua Joseph Warioba kuwa Waziri mkuu na akamteua Salim kuwa Naibu Waziri mkuu.
Kama ulikuwepo ulionaje hilo hilo?
Sijaelewa swali/hoja yako mkuu. Hili unalihusianisha na nini?
 
Sioni shida na hakuna ulazima wa PM kuwa Vice president. Na pia majaliwa kakaa kwenye uPM awamu mbili hapo tu apumzike kama wengine maana toka enzi za mkapa hakuna PM ambaye amewahi kupanda cheo kuzidi hapo, kuanzia Sumaye, Lowassa, Pinda wote hawakuzidi uPM.
Mkuu acha kuongea kimazoea kama vile upo kwenye kijiwe cha kahawa. Ongea kikatiba utaeleweka. Think like a great thinker and act like a champion.
 
Rais hahitaji kumuomba wala kumsingizia barua ya kujiuzulu Waziri Mkuu.

Rais anaweza kuvunja Baraza la Mawaziri akateua Waziri Mkuu mpya tu. Kikatiba.

Nyerere alishafanya hivyo. Mwinyi alishafanya hivyo.

Rais Samia anagojea tu baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba akishinda atapanga Baraza la Mawaziri jipya, na sitashangaa ikiwa Majaliwa hatakuwemo katika baraza hilo.

Sasa mnataka amuondoe Majaliwa kwenye uwaziri mkuu miezi 9 kabla ya uchaguzi na kuanza kujieleza kwa nini kafanya hivyo, wakati anaweza kumuondoa baada ya uchaguzi na kusema Majaliwa kashakuwa Waziri Mkuu kwa miaka 10 sasa Samia anajenga timu mpya baada ya uchaguzi?

Kwa wanaotaka Majaliwa aendelee kuwa Waziri Mkuu au angeteuliwa kuwa mgombea mwenza, kwani Majaliwa ana hatimiliki ya hivyo vyeo?

Si mnajua kuwa rais ana haki ya kupanga timu yake?

Kuhusu manung'uniko ya Watanganyika, si mnaikubali hii katiba inayoorodhesha mambo ya Muungani? Kila siku mkiambiwa mabadiliki ya jatiba mnafikiri ni mchezo?

tpaul
Mkuu umeandika madini adimu sana leo. Nakuhakikishia kwamba huyu mama ni dikteta kuliko Magufuli. Mambo yote ya ovyo yanayoendelea ndani ya chama na katika uongozi wa nchi, chanzo ni yeye.

Naomba mtuletee Tundu Lissu uchaguzi ujao. Sisi tuliomo ndani ya CCM tunaogopa kusema hadharani kwa kuogopa kupotezwa. Nyie mliopo nje ya mfumo, tunaomba sana mtusaidie kuondokana na jinamizi hili. Na mkifanya hivyo itakuwa fursa nzuri kuwafurusha wapemba wote waliotapakaa hapa Tanganyika warudi nchini kwao.
 
2.JMK-G.Bilal
Hapa hilo suala lako la udini limekaaje mkuu?
Pili, hata kama kigezo chako cha udini kina mantiki, kwani hakukuwa na mkristo mwingine wa kumteua badala ya huyu muasi aliyeasi chama na kambi huku wenzake akina Sofia Simba wakifukuzwa na yeye kubaki chamani? Hili wewe unaona sawa tu?
 
Mkuu acha kuongea kimazoea kama vile upo kwenye kijiwe cha kahawa. Ongea kikatiba utaeleweka. Think like a great thinker and act like a champion.
Kwani amevunja katiba gani mpka kufikia hapo kwenye suala la Majaliwa?
 
Sitaki salamu, naingia kwenye mada moja kwa moja. Wahenga walisema akutukanaye hakuchagulii tusi na asiyekutaka hakuambii toka bali atakutoa kwa visa ovu dhidi yako.

Kabla ya kwenda mbali kwanza naomba ku declare intrerst kuwa mm ni mwanaCCM kindakindaki na juzi nilikuwepo ndani ya ukumbi kule Dodoma nikishuhudia katiba ikisiginwa bila woga wowote. Kitendo cha Rais Samia kumpendekeza Nchimbi kuwa mgombea mwenza wake, hivyo automatically kuwa makamu wa Rais ikiwa CCM ikishinda kiti cha urais, ni ubaguzi mkubwa sana kwa waziri mkuu, Kassim Majaliwa. Majaliwa amefanya kazi chini serikali ya Magufuli tangu Rais Samia akiwa makamu wa Rais na baadaye kuwa rais. Ina maana kwa muda wote huo bado hajaona kama Majaliwa anafaa kwa lolote hadi anaenda kumuokota mtu aliyekiasi chama na kujiunga na team Lowassa ndiye awe makamu wa rais? Hili jambo mimi kama kada mwaminifu wa CCM linanisikitisha na kunikatisha tamaa kupindukia. Rais kama hamtaki majaliwa na anaona hafai kuwa kiongozi si amshauri ajiudhuru kama alivyofanya Philip Mpango?

Nina wasiwasi hata Mpango hukutakiwa kwenye uongozi wa sasa ndio maana alishauriwa ajitoe kwenye nafasi yake kwa kuandika barua halafu watu wanakuja kutuletea drama kwamba eti alikataa mwenyewe. Ashindwe kukataa kipindi cha Magufuli aliponyweshwa sumu aje kujiuzuru kipindi hiki ambacho tayari afya yake imeishaimarika? Tatizo mnatuona watanzania wote ni mazombie!

Hata kama hupendi kufanya kazi na mtu sio kumbagaza kiasi hiki mbele ya jamii na kusigina career yake ya kisiasa aliyoijenga kwa muda mrefu. Haipendezi hata kidogo.

Sote tumeshuhudia marais wakisuka safu zao za uongozi ndani ya chama chetu tangu kipindi cha mwalimu Nyerere lakini hatukuwahi kuona ubaguzi wa kiwango hiki. Na kibaya zaidi ubaguzi huu hauanzii kwenye uongozi wa juu tu bali hadi huku chini ni ubaguzi tupu. Ni katika utawala huu ndipo tumeshuhudia wazanzibar wakiteuliwa kushika nyadhifa za watanganyika wakati watanganyika hawawezi kupata nafasi kama hizo ktk nchi ya Zanzibar. Hivi inakuwaje raia kutoka Pemba anateuliwa kuwa RAS wa mkoa hapa Tanganyika? Hata Magufuli alikuwa dikteta lakini hatujawahi kushuhudia akifanya ubaguzi kama huu. Kwanza yule mpemba aliyepo kule baraza la mitihani aliingiaje pale? Haya mambo yanatia hasira sana. Yaani watanganyika wanakosa nafasi za ajira halafu wapemba wanakuja kujazwa kwenye nafasi za ajira za watanganyika? Ni nini hiki jamani?

Ujenzi wa Kisimkazi umetumia matrilioni ya fedha za watanganyika. Kana kwamba hii haitoshi, bado wapemba wanakuja kuchukua nafasi za watanganyika. Kwani Tanganyika imegeuzwa kuwa koloni la Zanzibar? Viongozi mnaofanya teuzi mnatuletea mambo ambayo yanaweza kuja kupelekea mauaji ya kimbari siku za usoni ikiwa hatua za makusudi hazitachukuliwa kuacha kasumba hii mara moja. Time will tell.
Usimpangie Rais. Unaandika insha ndefu zote pumba
 
hivi akikanusha na kusema ukweli kuwa hakuandika barua kama wanavyofanya kina lissu kusema ukweli daima na uhalisia itakuaje, watamshughulikia?
Akikanusha atashughulikiwa vibaya sana; anaweza hata kunyweshwa sumu nyingine afe kabisa.
 
Kama Mzee Mwinyi hakumtaka Salim kwanini asingeachana naye tu kuliko hicho alichomfanyia? Ni kama hoja yako tu.
Kwani Mwinyi alimfanyia nini kibaya Salim kuliko hiki ambacho Sa100 amemfanyia Majaliwa?
 
Kwani Samia amemfanyia nini kibaya Majaliwa hadi iwe ajabu hadi wewe uone siyo sawa?
Wewe hujaona kilichotokea juzi Dodoma au unajitoa ufahamu kwa makusudi mkuu?
 
Sitaki salamu, naingia kwenye mada moja kwa moja. Wahenga walisema akutukanaye hakuchagulii tusi na asiyekutaka hakuambii toka bali atakutoa kwa visa ovu dhidi yako.

Kabla ya kwenda mbali kwanza naomba ku declare intrerst kuwa mm ni mwanaCCM kindakindaki na juzi nilikuwepo ndani ya ukumbi kule Dodoma nikishuhudia katiba ikisiginwa bila woga wowote. Kitendo cha Rais Samia kumpendekeza Nchimbi kuwa mgombea mwenza wake, hivyo automatically kuwa makamu wa Rais ikiwa CCM ikishinda kiti cha urais, ni ubaguzi mkubwa sana kwa waziri mkuu, Kassim Majaliwa. Majaliwa amefanya kazi chini serikali ya Magufuli tangu Rais Samia akiwa makamu wa Rais na baadaye kuwa rais. Ina maana kwa muda wote huo bado hajaona kama Majaliwa anafaa kwa lolote hadi anaenda kumuokota mtu aliyekiasi chama na kujiunga na team Lowassa ndiye awe makamu wa rais? Hili jambo mimi kama kada mwaminifu wa CCM linanisikitisha na kunikatisha tamaa kupindukia. Rais kama hamtaki majaliwa na anaona hafai kuwa kiongozi si amshauri ajiudhuru kama alivyofanya Philip Mpango?

Nina wasiwasi hata Mpango hukutakiwa kwenye uongozi wa sasa ndio maana alishauriwa ajitoe kwenye nafasi yake kwa kuandika barua halafu watu wanakuja kutuletea drama kwamba eti alikataa mwenyewe. Ashindwe kukataa kipindi cha Magufuli aliponyweshwa sumu aje kujiuzuru kipindi hiki ambacho tayari afya yake imeishaimarika? Tatizo mnatuona watanzania wote ni mazombie!

Hata kama hupendi kufanya kazi na mtu sio kumbagaza kiasi hiki mbele ya jamii na kusigina career yake ya kisiasa aliyoijenga kwa muda mrefu. Haipendezi hata kidogo.

Sote tumeshuhudia marais wakisuka safu zao za uongozi ndani ya chama chetu tangu kipindi cha mwalimu Nyerere lakini hatukuwahi kuona ubaguzi wa kiwango hiki. Na kibaya zaidi ubaguzi huu hauanzii kwenye uongozi wa juu tu bali hadi huku chini ni ubaguzi tupu. Ni katika utawala huu ndipo tumeshuhudia wazanzibar wakiteuliwa kushika nyadhifa za watanganyika wakati watanganyika hawawezi kupata nafasi kama hizo ktk nchi ya Zanzibar. Hivi inakuwaje raia kutoka Pemba anateuliwa kuwa RAS wa mkoa hapa Tanganyika? Hata Magufuli alikuwa dikteta lakini hatujawahi kushuhudia akifanya ubaguzi kama huu. Kwanza yule mpemba aliyepo kule baraza la mitihani aliingiaje pale? Haya mambo yanatia hasira sana. Yaani watanganyika wanakosa nafasi za ajira halafu wapemba wanakuja kujazwa kwenye nafasi za ajira za watanganyika? Ni nini hiki jamani?

Ujenzi wa Kisimkazi umetumia matrilioni ya fedha za watanganyika. Kana kwamba hii haitoshi, bado wapemba wanakuja kuchukua nafasi za watanganyika. Kwani Tanganyika imegeuzwa kuwa koloni la Zanzibar? Viongozi mnaofanya teuzi mnatuletea mambo ambayo yanaweza kuja kupelekea mauaji ya kimbari siku za usoni ikiwa hatua za makusudi hazitachukuliwa kuacha kasumba hii mara moja. Time will tell.
Ndio watanganyika ni mazombie ndio maana wanatawaliwa na wazenji tena kizenjizenji.
 
To be

Honestly angempa majaliwa nafasi ya mgombea mwenza uhakika wa majaliwa kushinda ni mkubwa,wta mm ningejiandikisha kwa sababu ya majaliwa
Sio lazima PM awe mgombea mwenza ni nani alisha pata nafasi ya kuwa Vp baada ya kuwa PM huko nyuma ? Ili kujenga hoja kama hiyo pitia historia au matukio ya nyumba yanayo husiana na mada au hoja hiyo.
 
Wewe hujaona kilichotokea juzi Dodoma au unajitoa ufahamu kwa makusudi mkuu?
Kuna ibara yoyote ya katiba imevunjwa kwenye hilo unalolalamikia? Samia hakuwa na ulazima wa kufanya hicho unachofikiria wewe kwahiyo hakuna baya lolote alilofanya vinginevyo unaweza kumshauri Majaliwa ajiuzulu kama hakubaliani na kilichotokea,uamuzi wa kujiuzulu ni wake siyo mpaka aambiwe na Rais.
 
Sitaki salamu, naingia kwenye mada moja kwa moja. Wahenga walisema akutukanaye hakuchagulii tusi na asiyekutaka hakuambii toka bali atakutoa kwa visa ovu dhidi yako.

Kabla ya kwenda mbali kwanza naomba ku declare intrerst kuwa mm ni mwanaCCM kindakindaki na juzi nilikuwepo ndani ya ukumbi kule Dodoma nikishuhudia katiba ikisiginwa bila woga wowote. Kitendo cha Rais Samia kumpendekeza Nchimbi kuwa mgombea mwenza wake, hivyo automatically kuwa makamu wa Rais ikiwa CCM ikishinda kiti cha urais, ni ubaguzi mkubwa sana kwa waziri mkuu, Kassim Majaliwa. Majaliwa amefanya kazi chini serikali ya Magufuli tangu Rais Samia akiwa makamu wa Rais na baadaye kuwa rais. Ina maana kwa muda wote huo bado hajaona kama Majaliwa anafaa kwa lolote hadi anaenda kumuokota mtu aliyekiasi chama na kujiunga na team Lowassa ndiye awe makamu wa rais? Hili jambo mimi kama kada mwaminifu wa CCM linanisikitisha na kunikatisha tamaa kupindukia. Rais kama hamtaki majaliwa na anaona hafai kuwa kiongozi si amshauri ajiudhuru kama alivyofanya Philip Mpango?

Nina wasiwasi hata Mpango hukutakiwa kwenye uongozi wa sasa ndio maana alishauriwa ajitoe kwenye nafasi yake kwa kuandika barua halafu watu wanakuja kutuletea drama kwamba eti alikataa mwenyewe. Ashindwe kukataa kipindi cha Magufuli aliponyweshwa sumu aje kujiuzuru kipindi hiki ambacho tayari afya yake imeishaimarika? Tatizo mnatuona watanzania wote ni mazombie!

Hata kama hupendi kufanya kazi na mtu sio kumbagaza kiasi hiki mbele ya jamii na kusigina career yake ya kisiasa aliyoijenga kwa muda mrefu. Haipendezi hata kidogo.

Sote tumeshuhudia marais wakisuka safu zao za uongozi ndani ya chama chetu tangu kipindi cha mwalimu Nyerere lakini hatukuwahi kuona ubaguzi wa kiwango hiki. Na kibaya zaidi ubaguzi huu hauanzii kwenye uongozi wa juu tu bali hadi huku chini ni ubaguzi tupu. Ni katika utawala huu ndipo tumeshuhudia wazanzibar wakiteuliwa kushika nyadhifa za watanganyika wakati watanganyika hawawezi kupata nafasi kama hizo ktk nchi ya Zanzibar. Hivi inakuwaje raia kutoka Pemba anateuliwa kuwa RAS wa mkoa hapa Tanganyika? Hata Magufuli alikuwa dikteta lakini hatujawahi kushuhudia akifanya ubaguzi kama huu. Kwanza yule mpemba aliyepo kule baraza la mitihani aliingiaje pale? Haya mambo yanatia hasira sana. Yaani watanganyika wanakosa nafasi za ajira halafu wapemba wanakuja kujazwa kwenye nafasi za ajira za watanganyika? Ni nini hiki jamani?

Ujenzi wa Kisimkazi umetumia matrilioni ya fedha za watanganyika. Kana kwamba hii haitoshi, bado wapemba wanakuja kuchukua nafasi za watanganyika. Kwani Tanganyika imegeuzwa kuwa koloni la Zanzibar? Viongozi mnaofanya teuzi mnatuletea mambo ambayo yanaweza kuja kupelekea mauaji ya kimbari siku za usoni ikiwa hatua za makusudi hazitachukuliwa kuacha kasumba hii mara moja. Time will tell.
Inavyoonekana Majaliwa alifanya mistake kubwa sana kipindi cha transition, labda yale ya Mkuu wa majeshi mstaafu yalimuhusu pia
 
Watalingana na SUMAYE miaka kumi kama MAJALIWA hatapewa nafasi tena
Hizo hisia zako ni chochoko na fitna tupu.
Kuchagua mgombea mwenza hakuna uhusiano wowote na waziri mkuu.Nionavyo Kassim Majaliwa anaweza kuweka rekodi ya kuwa waziri mkuu kwa kipindi kirefu kuliko waziri yoyote aliyetangulia kwenye cheo hicho.

Inaonesha hakuna unachokijua kuhusu uraia wa Zanzibar, ndo maana kuna kitambulisho cha uraia wa Tanzania na kitambulisho cha mzanzibar mkazi. Sàsa wewe njoo na chogo lako uone kama utapewa kitambulisho cha mzanzibar mkazi.

Kumbe hata wewe unakubali kuwa mtanganyika hawezi kuteuliwa kuwa RAS katika mkoa wa nchi ya Zanzibar? Huo ubaguzi bado huuoni mkuu? Unataka wapemba waendelee kuchukua nafasi za watanganyika hadi lini? Mama Samia anakiuka sana utaratibu.

Nakwambia huyu mama ni mbaya hata kuliko Magufuli. Watu hamjui tu. Je, yule mpemba wa baraza la mitihani (NECTA) alifikaje hapa Tanganyika? Kule kwao kuna baraza la mitihani (ZEC) pia. Kwanini hawakumpa nafasi kule wamekuja kumtupa hapa Tanganyika? Ili iweje?
Huelewi kama mitihani ya form 4 na 6 ni jambo la Muungano?
au ndio mmekariri kwa kua tangu 1964 nafasi kama hizo zinashikiliwa na Watanganyika?
Na ikitokea siku IGP au CDF akatokea upande ule usioupenda?
CHUKI HAZIJENGI.
 
Back
Top Bottom