Kama Rais hataki kufanya kazi na Kassim Majaliwa amuombe ajiuzuru kama Philip Mpango

Kama Rais hataki kufanya kazi na Kassim Majaliwa amuombe ajiuzuru kama Philip Mpango

Kwani huyo ka-telephone hajui kusoma alama za nyakati? Hata kama hajasikia kwa masikio yake hata kama kuona hajaona kwa macho yake? Anasubiri nini kuondoka kwenda kutafuta changamoto mpya sehemu nyingine kama alivyofanya Cloutos Chota Chama?
 
Inasikitisha kwamba ulikuwa ukumbini wakati Mwenyekiti akiuliza kwamba kuna anayepinga azimio hilo ila ukakalisha matako chini badala ya kusimama na kumpa makavu yake laivu. Leo unakuja humu kibabe kujifanya hujakubaliana na yaliofanywa ukumbini kama si uzwazwa ni nini?
Mkuu ulishuhudia kilichotokea mle ukumbini hadi mwisho? Ungejua nilivyopambana usingekuja hapa kunilaumu.
 
sasa kama ulikuwa mmoja wa wahusika waliompigia kura 99.9% halafu unakuja huku kutueleza kuwa hafai wewe ni mpiga majungu tu, ungenyoosha kidole na kutoa maoni yako ndani ya mkutano ungesikilizwa na huenda ungejijengea heshima.
Kwa ujumla mkutano ule ni mkutano wa kwanza tangu uhuru ulioonyesha ujinga wa hali ya juu na weakness
Mkuu kwa kweli nilipambana sana behind the scene kuhakikisha mambo yanaenda sawa ila nililemewa na wingi wa wajumbe wa 'ndiyo mzee'. Ujue mle ndani tunakuwa wajumbe wa kila aina na wengi wao ni wachumiatumbo tu wala hawana nia njema ya kuendeleza nchi. Hili ndilo tatizo linaloikumba nchi hii.
 
Hizo hisia zako ni chochoko na fitna tupu.
Kuchagua mgombea mwenza hakuna uhusiano wowote na waziri mkuu.Nionavyo Kassim Majaliwa anaweza kuweka rekodi ya kuwa waziri mkuu kwa kipindi kirefu kuliko waziri yoyote aliyetangulia kwenye cheo hicho.
Kwa sasa hiyo rekodi inashikiliwa na Fredrick Sumaye(1995-2005)
 
haikuwahi kutokea MA DED, MA RAS wateuliwe toka znz, na pia serikali za mitaa syo ya muungano.
ila huyu bibi amewajaza huku bara na sisi tuko kama manyumbu kimyaaa
Hili ni jambo la ovyo sana lakini unakuta watanganyika mazwazwa wanachekelea tu kama mazuzu wakati nafasi zao zinachukuliwa na wazanzibar. Mkuu nakuhakikishia kwamba huyu mama ni nyoka kuliko Magufuli.
 
Kwa hiyo wakati wa mkutano ulikuwa umesinzia?
Mkuu nili struggle sana lakini nilizidiwa nguvu na wingi wa wajumbe, ambao wengi wao ni wachumiatumbo na machawa wanaokubali kila ujinga ilmradi mkono uende kinywani.
 
Isingewezekana PM kuteuliwa kama mgombea mwenza.
Aliyehitajika alipaswa akidhi vigezo hivi;
*Awe ni mkristo
*Awe ni mtanganyika
*Awe ni Mwanaume
PM anakosa sifa moja
MUHIMU sana.
Kwa kutumia katiba ipi mkuu? Au haya ni mawazo yako binafsi?
 
Sitaki salamu, naingia kwenye mada moja kwa moja. Wahenga walisema akutukanaye hakuchagulii tusi na asiyekutaka hakuambii toka bali atakutoa kwa visa ovu dhidi yako.

Kabla ya kwenda mbali kwanza naomba ku declare intrerst kuwa mm ni mwanaCCM kindakindaki na juzi nilikuwepo ndani ya ukumbi kule Dodoma nikishuhudia katiba ikisiginwa bila woga wowote. Kitendo cha Rais Samia kumpendekeza Nchimbi kuwa mgombea mwenza wake, hivyo automatically kuwa makamu wa Rais ikiwa CCM ikishinda kiti cha urais, ni ubaguzi mkubwa sana kwa waziri mkuu, Kassim Majaliwa. Majaliwa amefanya kazi chini serikali ya Magufuli tangu Rais Samia akiwa makamu wa Rais na baadaye kuwa rais. Ina maana kwa muda wote huo bado hajaona kama Majaliwa anafaa kwa lolote hadi anaenda kumuokota mtu aliyekiasi chama na kujiunga na team Lowassa ndiye awe makamu wa rais? Hili jambo mimi kama kada mwaminifu wa CCM linanisikitisha na kunikatisha tamaa kupindukia. Rais kama hamtaki majaliwa na anaona hafai kuwa kiongozi si amshauri ajiudhuru kama alivyofanya Philip Mpango?

Nina wasiwasi hata Mpango hukutakiwa kwenye uongozi wa sasa ndio maana alishauriwa ajitoe kwenye nafasi yake kwa kuandika barua halafu watu wanakuja kutuletea drama kwamba eti alikataa mwenyewe. Ashindwe kukataa kipindi cha Magufuli aliponyweshwa sumu aje kujiuzuru kipindi hiki ambacho tayari afya yake imeishaimarika? Tatizo mnatuona watanzania wote ni mazombie!

Hata kama hupendi kufanya kazi na mtu sio kumbagaza kiasi hiki mbele ya jamii na kusigina career yake ya kisiasa aliyoijenga kwa muda mrefu. Haipendezi hata kidogo.

Sote tumeshuhudia marais wakisuka safu zao za uongozi ndani ya chama chetu tangu kipindi cha mwalimu Nyerere lakini hatukuwahi kuona ubaguzi wa kiwango hiki. Na kibaya zaidi ubaguzi huu hauanzii kwenye uongozi wa juu tu bali hadi huku chini ni ubaguzi tupu. Ni katika utawala huu ndipo tumeshuhudia wazanzibar wakiteuliwa kushika nyadhifa za watanganyika wakati watanganyika hawawezi kupata nafasi kama hizo ktk nchi ya Zanzibar. Hivi inakuwaje raia kutoka Pemba anateuliwa kuwa RAS wa mkoa hapa Tanganyika? Hata Magufuli alikuwa dikteta lakini hatujawahi kushuhudia akifanya ubaguzi kama huu. Kwanza yule mpemba aliyepo kule baraza la mitihani aliingiaje pale? Haya mambo yanatia hasira sana. Yaani watanganyika wanakosa nafasi za ajira halafu wapemba wanakuja kujazwa kwenye nafasi za ajira za watanganyika? Ni nini hiki jamani?

Ujenzi wa Kisimkazi umetumia matrilioni ya fedha za watanganyika. Kana kwamba hii haitoshi, bado wapemba wanakuja kuchukua nafasi za watanganyika. Kwani Tanganyika imegeuzwa kuwa koloni la Zanzibar? Viongozi mnaofanya teuzi mnatuletea mambo ambayo yanaweza kuja kupelekea mauaji ya kimbari siku za usoni ikiwa hatua za makusudi hazitachukuliwa kuacha kasumba hii mara moja. Time will tell.
Yote uliyoyaandika huenda yakawa sahihi tatizo linakuja:- Ulikwenda hadi Dodoma kama si mkazi wa Dodoma, ukaingia ukumbini na guo lako la kijani ukapiga makofi na kucheza.nyimbo za wasani humo ndani na kelele za ndio ndio na shangwe kibao, nje ya ukumbi unatulilia tukusaidie nini. Nimekusikia nimekuelewa, tatizo wengi mko hivyo njaa na unafiki kila siku mnatuumiza sisi tulikosa fursa ya kuingia huko
 
Sitaki salamu, naingia kwenye mada moja kwa moja. Wahenga walisema akutukanaye hakuchagulii tusi na asiyekutaka hakuambii toka bali atakutoa kwa visa ovu dhidi yako.

Kabla ya kwenda mbali kwanza naomba ku declare intrerst kuwa mm ni mwanaCCM kindakindaki na juzi nilikuwepo ndani ya ukumbi kule Dodoma nikishuhudia katiba ikisiginwa bila woga wowote. Kitendo cha Rais Samia kumpendekeza Nchimbi kuwa mgombea mwenza wake, hivyo automatically kuwa makamu wa Rais ikiwa CCM ikishinda kiti cha urais, ni ubaguzi mkubwa sana kwa waziri mkuu, Kassim Majaliwa. Majaliwa amefanya kazi chini serikali ya Magufuli tangu Rais Samia akiwa makamu wa Rais na baadaye kuwa rais. Ina maana kwa muda wote huo bado hajaona kama Majaliwa anafaa kwa lolote hadi anaenda kumuokota mtu aliyekiasi chama na kujiunga na team Lowassa ndiye awe makamu wa rais? Hili jambo mimi kama kada mwaminifu wa CCM linanisikitisha na kunikatisha tamaa kupindukia. Rais kama hamtaki majaliwa na anaona hafai kuwa kiongozi si amshauri ajiudhuru kama alivyofanya Philip Mpango?

Nina wasiwasi hata Mpango hukutakiwa kwenye uongozi wa sasa ndio maana alishauriwa ajitoe kwenye nafasi yake kwa kuandika barua halafu watu wanakuja kutuletea drama kwamba eti alikataa mwenyewe. Ashindwe kukataa kipindi cha Magufuli aliponyweshwa sumu aje kujiuzuru kipindi hiki ambacho tayari afya yake imeishaimarika? Tatizo mnatuona watanzania wote ni mazombie!

Hata kama hupendi kufanya kazi na mtu sio kumbagaza kiasi hiki mbele ya jamii na kusigina career yake ya kisiasa aliyoijenga kwa muda mrefu. Haipendezi hata kidogo.

Sote tumeshuhudia marais wakisuka safu zao za uongozi ndani ya chama chetu tangu kipindi cha mwalimu Nyerere lakini hatukuwahi kuona ubaguzi wa kiwango hiki. Na kibaya zaidi ubaguzi huu hauanzii kwenye uongozi wa juu tu bali hadi huku chini ni ubaguzi tupu. Ni katika utawala huu ndipo tumeshuhudia wazanzibar wakiteuliwa kushika nyadhifa za watanganyika wakati watanganyika hawawezi kupata nafasi kama hizo ktk nchi ya Zanzibar. Hivi inakuwaje raia kutoka Pemba anateuliwa kuwa RAS wa mkoa hapa Tanganyika? Hata Magufuli alikuwa dikteta lakini hatujawahi kushuhudia akifanya ubaguzi kama huu. Kwanza yule mpemba aliyepo kule baraza la mitihani aliingiaje pale? Haya mambo yanatia hasira sana. Yaani watanganyika wanakosa nafasi za ajira halafu wapemba wanakuja kujazwa kwenye nafasi za ajira za watanganyika? Ni nini hiki jamani?

Ujenzi wa Kisimkazi umetumia matrilioni ya fedha za watanganyika. Kana kwamba hii haitoshi, bado wapemba wanakuja kuchukua nafasi za watanganyika. Kwani Tanganyika imegeuzwa kuwa koloni la Zanzibar? Viongozi mnaofanya teuzi mnatuletea mambo ambayo yanaweza kuja kupelekea mauaji ya kimbari siku za usoni ikiwa hatua za makusudi hazitachukuliwa kuacha kasumba hii mara moja. Time will tell.
Jamii forum imevamiwa na Mbwa aisee ,wewe ni mmoja wa Mbwa.
 
Sitaki salamu, naingia kwenye mada moja kwa moja. Wahenga walisema akutukanaye hakuchagulii tusi na asiyekutaka hakuambii toka bali atakutoa kwa visa ovu dhidi yako.

Kabla ya kwenda mbali kwanza naomba ku declare intrerst kuwa mm ni mwanaCCM kindakindaki na juzi nilikuwepo ndani ya ukumbi kule Dodoma nikishuhudia katiba ikisiginwa bila woga wowote. Kitendo cha Rais Samia kumpendekeza Nchimbi kuwa mgombea mwenza wake, hivyo automatically kuwa makamu wa Rais ikiwa CCM ikishinda kiti cha urais, ni ubaguzi mkubwa sana kwa waziri mkuu, Kassim Majaliwa. Majaliwa amefanya kazi chini serikali ya Magufuli tangu Rais Samia akiwa makamu wa Rais na baadaye kuwa rais. Ina maana kwa muda wote huo bado hajaona kama Majaliwa anafaa kwa lolote hadi anaenda kumuokota mtu aliyekiasi chama na kujiunga na team Lowassa ndiye awe makamu wa rais? Hili jambo mimi kama kada mwaminifu wa CCM linanisikitisha na kunikatisha tamaa kupindukia. Rais kama hamtaki majaliwa na anaona hafai kuwa kiongozi si amshauri ajiudhuru kama alivyofanya Philip Mpango?

Nina wasiwasi hata Mpango hukutakiwa kwenye uongozi wa sasa ndio maana alishauriwa ajitoe kwenye nafasi yake kwa kuandika barua halafu watu wanakuja kutuletea drama kwamba eti alikataa mwenyewe. Ashindwe kukataa kipindi cha Magufuli aliponyweshwa sumu aje kujiuzuru kipindi hiki ambacho tayari afya yake imeishaimarika? Tatizo mnatuona watanzania wote ni mazombie!

Hata kama hupendi kufanya kazi na mtu sio kumbagaza kiasi hiki mbele ya jamii na kusigina career yake ya kisiasa aliyoijenga kwa muda mrefu. Haipendezi hata kidogo.

Sote tumeshuhudia marais wakisuka safu zao za uongozi ndani ya chama chetu tangu kipindi cha mwalimu Nyerere lakini hatukuwahi kuona ubaguzi wa kiwango hiki. Na kibaya zaidi ubaguzi huu hauanzii kwenye uongozi wa juu tu bali hadi huku chini ni ubaguzi tupu. Ni katika utawala huu ndipo tumeshuhudia wazanzibar wakiteuliwa kushika nyadhifa za watanganyika wakati watanganyika hawawezi kupata nafasi kama hizo ktk nchi ya Zanzibar. Hivi inakuwaje raia kutoka Pemba anateuliwa kuwa RAS wa mkoa hapa Tanganyika? Hata Magufuli alikuwa dikteta lakini hatujawahi kushuhudia akifanya ubaguzi kama huu. Kwanza yule mpemba aliyepo kule baraza la mitihani aliingiaje pale? Haya mambo yanatia hasira sana. Yaani watanganyika wanakosa nafasi za ajira halafu wapemba wanakuja kujazwa kwenye nafasi za ajira za watanganyika? Ni nini hiki jamani?

Ujenzi wa Kisimkazi umetumia matrilioni ya fedha za watanganyika. Kana kwamba hii haitoshi, bado wapemba wanakuja kuchukua nafasi za watanganyika. Kwani Tanganyika imegeuzwa kuwa koloni la Zanzibar? Viongozi mnaofanya teuzi mnatuletea mambo ambayo yanaweza kuja kupelekea mauaji ya kimbari siku za usoni ikiwa hatua za makusudi hazitachukuliwa kuacha kasumba hii mara moja. Time will tell.
Mtajuana wenyewe bwana
 
Punguani mkubwa, umewahi ona nani hapa Tanzania ambae amewahi kuwa Waziri Mkuu Kisha akawa Rais au Makamu wa Rais ukiacha Nyerere?

Huyo Godfather wako ndio pekee ana uwezo? Mwambie ajiuzulu uone kama Nchi Itasimama.

Mwisho hakuna mahala Wazanzibar waliwahi walazimisha Watanganyika ni nyie mnajipendekeza.

Mwisho Kizimkazi ni Burundi ila Chato ni Tanzania au siyo? 🤣🤣
Twende taratibu.....
1. Ni wapi imeandikwa kwenye katiba kuwa mtu akiwa PM hawezi kuwa VC?
2. Bi Tozo kuwajaza wapemba wenzake kwenye nafasi za watanganyika anatumia kigezo gani cha kikatiba au wewe umezoea kuona ukiukwaji wa katiba ulioanzishwa na dikteta Magufuli?
3. Kizimkazi ni sehemu ya nchi ya Zanzibar na Chato ni sehemu ya nchi ya Tanganyika. Kwanini Bi Tozo anatumia rasilimali za Tanganyika kuendeleza Kizimkazi ya Zanzibar?
 
Ni mwaka gani Wapemba hawakuwahi chukua nafasi Tanganyika? Na hao waliochukua nafasi ni kina nani Kwa Majina?
Ni mwaka gani wapemba waliteuliwa kuwa RAS, DAS, RC na vyeo vingine hapa Tanganyika tofauti na kipindi cha Sa100? Wataje?

Mimi nakutajia baadhi yao, wengine nawaweka kapuni:
1. RAS wa mkoa wa Morogoro ni mpemba
2. Bosi wa NECTA, Dr Said Mohamed ni mpemba.

Wewe nitajie walau wawili tu ama sivyo funga mdomo wako.
 
Wewe kiazi kweli. Bila shaka utakuwa mdebwedo wewe, hivyo unatetea ubwete wa vyeo mnavyopewa hapa Tanganyika. Kama uteuzi unaondoa kero za muungano mbona watanganyika hawateuliwi kushika nafasi katika nchi ya Zanzibar kama nyie mnavyogawiwa vyeo kwenye nchi yetu?
mdebwede ni wewe ambae umeshindwa kujibu hoja na kubakia kupayuka hovyo kama mtu aliyebanwa mavi
 
Twende taratibu.....
1. Ni wapi imeandikwa kwenye katiba kuwa mtu akiwa PM hawezi kuwa VC?
2. Bi Tozo kuwajaza wapemba wenzake kwenye nafasi za watanganyika anatumia kigezo gani cha kikatiba au wewe umezoea kuona ukiukwaji wa katiba ulioanzishwa na dikteta Magufuli?
3. Kizimkazi ni sehemu ya nchi ya Zanzibar na Chato ni sehemu ya nchi ya Tanganyika. Kwanini Bi Tozo anatumia rasilimali za Tanganyika kuendeleza Kizimkazi ya Zanzibar?
Tanganyika ni wapi huko?

Wapemba kama nani hao waliojaa na kabla hawakuwepo?

Imeandikwa kwenye Katiba ya Kamati Kuu ya CCM ,hiyo imetoka na huna Cha kufanya.

Si mshauri Sasa huyo Godfather wako ajiuzulu kama VP alivyoomba uone kama Kizmkazi Itasimama.

Zero brain
 
Wewe ni mnafiki, kwanini hukayaongea pale kwenye mkutano, mpaka unakuja jf ,ccm mna unafiki sana hizi nondo zako ulitakiwa kuzipga kwenye mkutono wenu wa hajabu wahi tokea katika uso wa dunia ,uliogopa nini , kifo kipo mkuu , sasa waja na kamdomo hapa jf ,wakati unasema ulikuepo kwenye mkutano , pumbavu sana
Mkuu hili swali tayari nieishalitolea ufafanuzi humu humu kwenye uzi.
 
Back
Top Bottom