Kama siku zingerudishwa nyuma ungefunga hiyo ndoa?

Uko sahihi na uko matured enough, no one is perfect loh, but case za uzinifu uliokubuhu ni vizuri kila mmoja achukue hamsini zake.
 
Ndoa za wake wengi za waislamu ndio zinaongoza kwa talaka na kuachana hovyo na wanaoa wake wengi na matatizo kedekede tunajionea. Hamna aliye kamili wewe oa hata wake kumi uone ka utakuwa na amani moyoni zaidi ya kufa na pressure, amani na furaha ni tunda la moyoni na sio watu wakukufuraisha
 
Niko peace sana, loh Hadi watu hunishangaa
Unajua nini? Juzi nilishtuka sana kwenye ule uzi wa Controla uliposema eti nawe kuna njemba humu ilikutapeli ukaiwashia moto mpaka ikakulipa. Nilishangaa kwamba kuna njemba zenye ujasiri mpaka wa kumtapeli mwanamke wa shoka, shujaa na ngangari asiyeogopa kitu kama wewe kweli? Nilishangaa mno na mpaka sasa sijaamini [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Inabidi nimfuate anipe maujanja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…