Kama sio tajiri na huna asset, kusomesha watoto shule za gharama ni ujinga unaongeza umaskini kwenye ukoo

Kama sio tajiri na huna asset, kusomesha watoto shule za gharama ni ujinga unaongeza umaskini kwenye ukoo

Habari wadau..

January imeisha .. wazazi wengi walikuwa wanalalamika school fees tatizo.

Kwa maoni yangu kama mtu huna mali za kutosha, huna kampuni ya kueleweka wala huna mtaji wa kutosha... baba mzazi wewe mwenyewe unategemea ajira za laki nane ama milioni moja, kusomesha watoto wako shule za gharama sio jambo zuri.

Hakuna CEO Mtanzania ambaye ameajiriwa ambaye hayupo kwenye kampuni ya baba yake kama Mo, ambaye amesoma international schools, ama shule za bei nafuu za kiingereza ambazo tunaita english medium... tukumbuke english medium zipo Tanzania miaka kibao kama IST, Arusha school ama Olimpio.

Kuna CEO wengi wazawa kama Dada CEO wa NMB Ruth Zaipuna ama wa CRDB Majid Nsekela na wengine wengi hawajapita Olimpio wala Arusha schools enzi ambazo wanasoma msingi zilikuwepo tayari ila wamepata nafasi kubwa kwa uwezo wao binafsi wa kazi..

Mzazi ambaye huna hela za kutosha peleka mwanao shule za bei nafuu kisha msimamie mwanao vizuri, kila siku mfatilie. Hela ya ada ya kulipa Tusiime nunua asset unazozimudu mwanao zitamsaidia kuliko kumlipia ada mamilioni.
Wengi wao wanaosomesha watoto kwenye hizi shule za bei mbaya wanafanya hivyo kwa ajili ya kupata sifa tu na majigambo. Mimi ninaye jamaa yangu mmoja yeye anasomesha watoto wake shule ya International na analipia ada kiasi cha milioni 16 kwa mwaka kwa watoto wawili. Wakati yeye alisoma shule za kawaida (Kayumba) mpaka akafika chuo Kikuu.
Mbaya zaidi huyu jamaa sasa hivi uchumi wake umeyumba sana lakini bado anang'ang'ania tu kuendelea kusomesha watoto kwenye hiyo shule. Ni mtu ambaye anapenda sana sifa na ufahari na majigambo. Hashauriki hata kidogo na hata ndugu zake wakimshauri yeye anasema wanamwonea wivu. Natamani sana angeuona huu "uzi" labda kuna kitu angejifunza hapa kutokana na jinsi members walivyochangia.
 
H
hahahahaaaaaa hesabu hata iwe kwa lugha ya kiswahili kama akili hazichaji huwezi kufauru.
Hata hiyo mathematics huwezi kuelewa kama lugha haipandi na utakuwa huwezi kujisomea mwenyewe sababu kwenye vitabu kuna maelezo ya kutumia hizo kanuni na kwanini zitumike maelezo ambayo yameandikwa kwa English.

Wasioelewa lugha kamwe hawatoweza kusoma hivyo vitabu hivyo wataishia kukariri kanuni wanazofundishwa bila kujua kwanini then wanasahau baada ya muda.
Tafuta vitabu vyote vya hisabati lazima ukute maelezo ya English na sio namba tupu kama unavyodhani.

Hapo ndipo umuhimu wa English ulipo haikwepeki popote pale.
Bado sana kwa waafrika kuikataa English.
 
Hata hiyo mathematics huwezi kuelewa kama lugha haipandi na utakuwa huwezi kujisomea mwenyewe sababu kwenye vitabu kuna maelezo ya kutumia hizo kanuni na kwanini zitumike maelezo ambayo yameandikwa kwa English.

Wasioelewa lugha kamwe hawatoweza kusoma hivyo vitabu hivyo wataishia kukariri kanuni wanazofundishwa bila kujua kwanini then wanasahau baada ya muda.
Tafuta vitabu vyote vya hisabati lazima ukute maelezo ya English na sio namba tupu kama unavyodhani.

Hapo ndipo umuhimu wa English ulipo haikwepeki popote pale.
Bado sana kwa waafrika kuikataa English.

You nailed it
 
Wanajifariji tu hawa!
Hakika mkuu.

Wao wanaamini kuwa huko shule za private somo ni moja tu yaani English subject basi.
Hawajui masomo yote yanayofundishwa huko katani pia wanafundishwa ila kwa kiinglish,na ndio maana wanafanya mtihani mmoja Wa necta.

Kuna wamama wajane wanauza mbogamboga ila wanapambana wanapeleka watoto wao private school.

Mleta uzi utakuta ni kada Wa chama tawala,wamejitoa ufahamu.
 
Jamaa anapoint kubwa sana. Ukienda kwenye soko la ajira unakutana wengi st kayumba. Hawa wa shule za English medium wanachoweza na kuongea tu kizungu ila ni kama kuku wa kizungu. Wamezoea kuwa spoon fed.
Soko la ajira wapi huko ndugu ambapo kayumba ndio mmelishika? Eeenhe Mungu tusaidie, wana JF mbona kama uelewa unazidi kushuka siku hadi siku? Au mmekata tamaa na maisha ya jiwe? Soko la ajira hizi za TRA, TPA,TFDA, NIMR etc. Hizi? Naona exposure za humu zinaishia kuona hizi mamlaka/ Taasisi za serikali ndio big deal kiasi kwamba aliyeko huko ndio aliyetoboa katika soko la ajira, SMH! Hivi mnawawaza waliopo kwenye soko la ajira Katika international NGO’s , UN’s, Corporate world akina GGM, ABSA, hapa sisemei tellers 😀

Kuna sehemu ukiwa hukutani na st.kayumba hata mmoja leave alone hizi English medium schools za 3M. Sisi tuendelee kutambiana huku manispaa tu.
 
Soko la ajira wapi huko ndugu ambapo kayumba ndio mmelishika? Eeenhe Mungu tusaidie, wana JF mbona kama uelewa unazidi kushuka siku hadi siku? Au mmekata tamaa na maisha ya jiwe? Soko la ajira hizi za TRA, TPA,TFDA, NIMR etc. Hizi? Naona exposure za humu zinaishia kuona hizi mamlaka/ Taasisi za serikali ndio big deal kiasi kwamba aliyeko huko ndio aliyetoboa katika soko la ajira, SMH! Hivi mnawawaza waliopo kwenye soko la ajira Katika international NGO’s , UN’s, Corporate world akina GGM, ABSA, hapa sisemei tellers [emoji3]

Kuna sehemu ukiwa hukutani na st.kayumba hata mmoja leave alone hizi English medium schools za 3M. Sisi tuendelee kutambiana huku manispaa tu.
Tanzania hii soko kubwa la ajira ya uhakika lipo wapi? Unaongelea NGO sijui interrnational kwenye ajira za mkataba muda mfupi? Serikali hata ukiwa mfagia ofisi tyari ni ajira ya uhakika. Sio kampuni binafsi au NGO zinazokufa kila siku. Zungumza reality na sio mere wishfull thinkinga
 
Soko la ajira wapi huko ndugu ambapo kayumba ndio mmelishika? Eeenhe Mungu tusaidie, wana JF mbona kama uelewa unazidi kushuka siku hadi siku? Au mmekata tamaa na maisha ya jiwe? Soko la ajira hizi za TRA, TPA,TFDA, NIMR etc. Hizi? Naona exposure za humu zinaishia kuona hizi mamlaka/ Taasisi za serikali ndio big deal kiasi kwamba aliyeko huko ndio aliyetoboa katika soko la ajira, SMH! Hivi mnawawaza waliopo kwenye soko la ajira Katika international NGO’s , UN’s, Corporate world akina GGM, ABSA, hapa sisemei tellers 😀

Kuna sehemu ukiwa hukutani na st.kayumba hata mmoja leave alone hizi English medium schools za 3M. Sisi tuendelee kutambiana huku manispaa tu.

Absa Tanzania nina jamaa zangu wawili, mmoja financial controler anaitwa benard tesha.. shule ya msingi tabata, na mwingine yupo absa pia head of business advisory anaitwa ibrahim nzutu kasoma shule ya msingi mapambano... hawa wote vijana na wamesoma kayumba kipindi ambacho english medium zipo tayari

English medium haikusaidii kupata kazi, bali ni uwezo wako wa kazi hata kama umesoma kayumba unapata kazi popote.. hiyo absa uliyoitaja nimekupa mifano...

Mimi mwenyewe kayumba ila nimeshafanya kazi ubalozi wa taifa moja kubwa sana.. na pia nimefanya kazi kampuni kubwa ya kigeni..
 
Tanzania hii soko kubwa la ajira ya uhakika lipo wapi? Unaongelea NGO sijui interrnational kwenye ajira za mkataba muda mfupi? Serikali hata ukiwa mfagia ofisi tyari ni ajira ya uhakika. Sio kampuni binafsi au NGO zinazokufa kila siku. Zungumza reality na sio mere wishfull thinkinga
Duuuuh! “Ajira ya uhakika”! Ciao....
 
True.. mtu analipa milioni 3 ama nne kwa mwaka ili mwanae ajue kiingereza tu. Huku sylabus anayofundishwa mwanae wa tusiime ni ile ile ambayo wa elimu bure anafundishwa. Tofauti ni lugha tu.

Tatizo la elimu yetu ni sylabus. Jaribu kuwaza hiyo milion 3 kila mwaka mnunulie kiwanja ndani ya miaka 7 atakuwa na asset kiasi gani huyo mtoto.

Mtoto atakuwa na uhakika wa kupata elimu ya juu ama basic need hata kama mzazi umefariki.

Umeongea pointi. Wengi tunafuata mkumbo baadae mambo yanatulemea. Kuna shule za laki sita tu mtoto unamsimamia vizuri anajua kingereza
 
Hesabu ni a
Hata hiyo mathematics huwezi kuelewa kama lugha haipandi na utakuwa huwezi kujisomea mwenyewe sababu kwenye vitabu kuna maelezo ya kutumia hizo kanuni na kwanini zitumike maelezo ambayo yameandikwa kwa English.

Wasioelewa lugha kamwe hawatoweza kusoma hivyo vitabu hivyo wataishia kukariri kanuni wanazofundishwa bila kujua kwanini then wanasahau baada ya muda.
Tafuta vitabu vyote vya hisabati lazima ukute maelezo ya English na sio namba tupu kama unavyodhani.

Hapo ndipo umuhimu wa English ulipo haikwepeki popote pale.
Bado sana kwa waafrika kuikataa English.
l
Hata hiyo mathematics huwezi kuelewa kama lugha haipandi na utakuwa huwezi kujisomea mwenyewe sababu kwenye vitabu kuna maelezo ya kutumia hizo kanuni na kwanini zitumike maelezo ambayo yameandikwa kwa English.

Wasioelewa lugha kamwe hawatoweza kusoma hivyo vitabu hivyo wataishia kukariri kanuni wanazofundishwa bila kujua kwanini then wanasahau baada ya muda.
Tafuta vitabu vyote vya hisabati lazima ukute maelezo ya English na sio namba tupu kama unavyodhani.

Hapo ndipo umuhimu wa English ulipo haikwepeki popote pale.
Bado sana kwa waafrika kuikataa English.
acha uongo mkuu,
 
Mkuu

Hiyo ni mojawapo wa products hovyo CCM iliyotuletea,hasara tupu...

Hiki kijamaa kipumbavu sana,tupo milioni 60 na ajira zote za serikali ni 300,000 tu,halafu yupo hapa anapigia mpango hizo ajira kama eti ndio uokozi wa wananchi wote

Mpumbavu huyu....hakajui TZ ikoje....na no wonder kwa ubongo mbovu hivo katakuja kuishia kafagizi somewhere...just wait
Kwa kweli ni tatizo ndugu! Ajira za uhakika za serikali ya CCM za mishahara laki 5 unusu😀😀
 
Kiingereza mkuu😂😂
"Kjana wangu yuko std seven hizo shule, sikifichi anawa challenge hata majamaa waliosoma hizo ma A level za kata"
Kumbe jamaa anamsifia kijana wake kuwashinda ma A level lugha ya kigeni, mimi nilijua mpaka Applied Math, Phy, Bio n.k.
Alisikika mwanaJF mmoja akisema huo ni Utopolo Pro Max.
 
Tatizo ni kwamba tunazani kusomesha ni uwekezaji kumbe ni mchezo wa kubahatisha kama zilivyo kamari za kubet tu sasa ni kuchagua kubet au kukaa tu bila kubet
 
Hesabu ni a
l
acha uongo mkuu,
Mkuu tofautisha uongo, opinions, perspectives na facts.

Sasa nilichoandika sio uongo bali ni facts.
Na haiwezekani kupinga facts bila facts sababu utakuwa unakwenda against reality.

Na tayari umeshindwa kutumia facts kutetea hoja yako.
 
Absa Tanzania nina jamaa zangu wawili, mmoja financial controler anaitwa benard tesha.. shule ya msingi tabata, na mwingine yupo absa pia head of business advisory anaitwa ibrahim nzutu kasoma shule ya msingi mapambano... hawa wote vijana na wamesoma kayumba kipindi ambacho english medium zipo tayari

English medium haikusaidii kupata kazi, bali ni uwezo wako wa kazi hata kama umesoma kayumba unapata kazi popote.. hiyo absa uliyoitaja nimekupa mifano...

Mimi mwenyewe kayumba ila nimeshafanya kazi ubalozi wa taifa moja kubwa sana.. na pia nimefanya kazi kampuni kubwa ya kigeni..
Kizazi chako shule za English medium zilikuwa hazijawa nyingi

Waajiri hawakuwa na options now mambo yamebadilika English medium wanakimbiza vibaya kwenye soko la ajira

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Kizazi chako shule za English medium zilikuwa hazijawa nyingi

Waajiri hawakuwa na options now mambo yamebadilika English medium wanakimbiza vibaya kwenye soko la ajira

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app

Wakati Mimi ninasoma msingi, english medium za kipato cha kati level za tusiime zilikuwa kibao.. kama st marys kila wilaya, olimpio, esacs, academic, jk nyerere, taps
 
Yaani wewe unataka mtoto asisome umnunulie ng'ombe achunge akamue maziwa?

Unajua elimu haina replacement?

Na hao ng'ombe akifuga atajifunza lini ku-raise productivity bila kusoma?Machineries atanunulia wapi na kujifunza jinsi ya kuendesha ili,kuzalishia hao ng'ombe?

Kizungu hajui,atajifunza vipi machines za milk processing?Au jinsi ya ku-run milk palour?Zote hizi elimu zake serious zinapatikana kwa kizungu,kizungu hujui,maarifa haya uatayapata wapi wewe ndugu?

Au kama Kingereza chako cha ugoko,maarifa utayasomaje na kuyajua sawia kama lugha yaliyoandikwa hayo maarifa ni Kizungu halafu hukijui?

Kwanini uende shule usome kwa Kingereza?....Ni kwamba maarifa ya dunia natively yamejengwa na wazungu na yameandikwa kwa usahihi kwa lugha hiyo....Maarifa advanced makubwa zaidi huwezi badili kutoka kingereza kuja local language bila kua na athari

Ili uweze kupata maarifa aliyogundua mzungu huna budi kujua Kingereza kwa ufasaha ili uweze kuyasoma na kuelewa na kuyatumia uweze kufanikiwa,bila hapo tunafeli!

Watanzania wanafeli mitihani shuleni sababu tu hawajui Kingereza vizuri...solution sio kubadili English iwe Kiswahili,ni ghali mno kutoa maarifa kutoka katika native language yake kwenda Kiswahili

Ni ghali na inachukua muda mrefu mno,sio chini ya miaka 100....kwa matokeo ya haraka ni kusoma lugha hiyo hiyo na kuyapata hayo maarifa na kuyatumia kupata maendeleo ndani ya miaka 5 au 10

Oh china imeweza,blah blah..China ina miaka 5000 ya civilization,wao binafsi wana elimu yao binafsi walivumbua na wanaitumia,sisi tuna miaka mingapi vile?50 years

Kwa sasa,dunia hii,hukopi maarifa ya mzungu you are dead,kajidanganyeni machooni huko na maCCM yenu ya hovyo
Duuuu!!! jamaaa umeongea vizuri sana aiseee.
 
Habari wadau..

January imeisha .. wazazi wengi walikuwa wanalalamika school fees tatizo.

Kwa maoni yangu kama mtu huna mali za kutosha, huna kampuni ya kueleweka wala huna mtaji wa kutosha... baba mzazi wewe mwenyewe unategemea ajira za laki nane ama milioni moja, kusomesha watoto wako shule za gharama sio jambo zuri.

Hakuna CEO Mtanzania ambaye ameajiriwa ambaye hayupo kwenye kampuni ya baba yake kama Mo, ambaye amesoma international schools, ama shule za bei nafuu za kiingereza ambazo tunaita english medium... tukumbuke english medium zipo Tanzania miaka kibao kama IST, Arusha school ama Olimpio.

Kuna CEO wengi wazawa kama Dada CEO wa NMB Ruth Zaipuna ama wa CRDB Majid Nsekela na wengine wengi hawajapita Olimpio wala Arusha schools enzi ambazo wanasoma msingi zilikuwepo tayari ila wamepata nafasi kubwa kwa uwezo wao binafsi wa kazi..

Mzazi ambaye huna hela za kutosha peleka mwanao shule za bei nafuu kisha msimamie mwanao vizuri, kila siku mfatilie. Hela ya ada ya kulipa Tusiime nunua asset unazozimudu mwanao zitamsaidia kuliko kumlipia ada mamilioni.
Huu ni ujinga sana kuwaza hivi ina maana haujui kama hata KUSOMESHA pia ni UWEKEZAJI kwaajili ya hao unaowasomesha,kwasababu shule nzuri ina vingi vya ziada kwenye Malezi na Makuzi ya mtoto pia Elimu sio lazima mtu aje kuajiliwa au kuwa CEO....
 
Back
Top Bottom