Kama ulianza kutumia Internet mapema miaka ya 1990 na 2000 njoo hapa tukumbushane Internet Cafe tulizoenda, Vimbwanga, Kero na Kumbukumbu

sie wengine internet cafe ilikuwa ni centre ya kucjeza games za mortal combat,need for speed na mpira tu
wanaopenda kucheza games utawajua tu, yani wanaminya keyboard kwa nguvu sana hata wakiwa computer ya umbali mita 5 unaskia tu ka ka ka ka ka
 
BBM MESSENGER au sio. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mimi nilikuwa nalipia saa moja kwaajili ya kuangalia xxx tu[emoji1787][emoji1787]
wazee wa pilau utawajua tu, walikuwa wanapenda kujibanza computer za mwisho mwisho ukutani ,

internet ikiwa ina vipazia ama kuna miundombinu ta privacy hapo mwenye cafe kafanya maksudi kurahisisha πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Kicheko.com pale moshi nimewaibia sana muda wao nilikua na kidemu kinafanya kazi pale nadhani kilikua na undugu na mwenye ofisi kikanipaga pin za muda nilikua nakaa kwenye kona mwisho najipakulia madude tu.
 
Kicheko.com pale moshi nimewaibia sana muda wao nilikua na kidemu kinafanya kazi pale nadhani kilikua na undugu na mwenye ofisi kikanipaga pin za muda nilikua nakaa kwenye kona mwisho najipakulia madude tu.
Tulisechi huko yahoo namna ya kuiruka. ilikuwa unaminya kwenye keyboard ctrl, alt na delete kwa mpigo, unaitoa,

mhudumu akija unairudisha fasta inaendelea ilipoishia, kuna mwamba mchezo ulimkolea wakamtegea mtego akadakwa ilibidi alipe kila kilichomo mfukoni na wakampiga marufuku kurudi
 
wanaopenda kucheza games utawajua tu, yani wanaminya keyboard kwa nguvu sana hata wakiwa computer ya umbali mita 5 unaskia tu ka ka ka ka ka
Wakati zile keys zikishafika mwisho haijalishi unatumia nguvu gani sema ndio hivyo mizuka ya game πŸ˜ƒ
 
Dah 2002 nikiwa bwana mdogo, kuna mbunge mmoja nilimfunza ku www.manchester United.com na www.arsenal.com. Basi alikuwa anasearch,mkibishana hata kuhuhu miji au Nchi anakwambia nta www tu we nitajie.
Si mchezo, enzi hizo ilibidi uwe uweziweka kichwani tovuti / website www.-----.com, watu walikuwa na vidaftari kabisa maalum .

Siku hizi ukiingia google tu ukiandika unachotaka zinakuja website kibao unachagua ipi uingie
 
Hapo pk bar ndio nlifungulia email yangu na fb account....2005 hiyo
 
Nlimiliki mashine hii pia mwaka 2006 nikiwa chuo mlimani
 
Naona wahenga mnakumbushana zama zenu za MB ngumu kuisha.
Nawadeiz ukikanyaga enter narudi Jumbe umetumia 75% ya kifurushi chako.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Yaan niliendaga internet cafe kusoma lyrics za NSYNC this i promise u, πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ nikamwambia mhudumu aniprintie shaa nikarudi home na karatasi ya nyimbo mkononiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…