Uchaguzi 2020 Kamati ya Maadili yatolea ufafanuzi adhabu dhidi ya Lissu kumfungia kampeni. Yasema ameadhibiwa na Kamati ya Vyama 15 vinavyoshiriki Uchaguzi Mkuu

Aliyedanganya njombe kuwa wampe kura atanunua ndege ya mizingo ipeleke maparachichi ulaya, ni sawa?
 
Mimi nikiliona lilivyojazia mashavu nakeleka kweli nahisi kutapika na linavyoongea hadi kinyaa,poor lissu
 
Sheria inasemaje??? Tuanzie hapo kwanza!!!

Malalamiko anapelekewa mgombea au Chama??? Yeye ni mahakama hadi atafsiri sheria??? Kama sheria inasema malalamiko apelekewe mgombea inabidi apelekewe mgombea na wala si Chama!!!

Pili mara ya kwanza alisema Walipeleka malalamiko kwa katibu akawajibu wampelekee mgombea, Kwa nini hawakufanya???

Tatu wanasema kamati ya maadili sio tume alafu video yao inaaanza na Nembo ya Tume ya uchaguzi!! Mbona wanajichanganya????
 
Wajumbe wa kamati kuu Chadema wengi Lisu keshawaporomoshea matusi ya nguoni kuanzia katibu mkuu nk

kwa ujumla Lisu ni mtu mgumu kufanya naye kazi ndani ya chama na nje ya chama teamwork kwake haipo kabisa!!!
 
Msaliti Lissu amekwama tulishasema sheria hajui huyo lakini wanasaccos eti wanasema nj duli wa sheria wakati ni mbumbumbu wa sheria aliyekubuhu. Ona sasa anavyoaibika!!
 
Msikilize mwanasheria huyo hapo ametaja vifungu vya sheria vyote kama hujaelewa basi hatuwezi kukusaidia zaidi.
 
Naona hii kamati imeamua kuingia ktk propaganda.

Chadema waendelee na mambo yao,wasitolewe kwenye reli.
 
Lissu kuna kitu hakiko sawa, anahitaji wanasaikolojia la sivyo baada ya October anaweza kujidhuru
Zile kumi na sita kuna moja ilikata fuse ya control box yake soo mafaili yanapandiliana lissu ninwakumuonea huruma lakini sio huruma ya kumpa kura .
 
Yaani Lisu ana hali mbaya sana. Inasemekana kwanza hela imekata
Hela imekata wakati kila siku tunamchangia???

Mwenye hali mbaya ni huyo mzee wakobaliechanganyikiwa leo Zanzibar baada ya kuona watu wanaondoka akiwa anahutubia hadi kuropoka anataka kuoa mke wa pili wa kizanzibar
 
na kiburi na kujiona unajua hubabaishwi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…