uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,240
CCM itawakeraa sana hii round na inajua kukeraa kweli kweli.Kalale huko
Ila mama Janet ndo atampa kula mtu anayetaka kumgawa mama mkwe wake kwa sababu ya kupewa jogoo???Kwenye hili ata mke wake lissu hawezi kuumpa kura yake.
Nyie changeni mbowe anakula.Hela imekata wakati kila siku tunamchangia???
Mwenye hali mbaya ni huyo mzee wakobaliechanganyikiwa leo Zanzibar baada ya kuona watu wanaondoka akiwa anahutubia hadi kuropoka anataka kuoa mke wa pili wa kizanzibar
Kama Kamati ya maadili sio Tume Mbona video imeanza kwa Nembo ya Tume ya uchaguzi??Kama ni porojo,ongea wewe hizo point.
Kasome wewe unataka utafuniwe kila kitu?Ametaja hajavisoma!!
Muulizeni lissu kama ni kweli alikuwa ameshapelewa barau b4 au lah.Kama Kamati ya maadili sio Tume Mbona video imeanza kwa Nembo ya Tume ya uchaguzi??
Anayeropoka ni huyu aliye sema leo ataoa mke wa pili Zanzibar’s!! Sijui a nadhani shida za wazanzibar ni wanawake zao kuolewa kama wake wa pili???Lisu ni wakupuuzwa,hayuko sawa ye kila mara anaropoka "au mnataka kunipiga risasi? Nipigeni" sasa inahusu nini.
Kamati ya Maadili ya Uchaguzi ya Taifa yabainisha uongo wa Tundu Lissu na kueleza yafuatayo:
1. Siyo NEC iliyompa adhabu kama anavyotangaza bali amepewa na Kamati ya Maadili ya Uchaguzi ambayo wajumbe wake ni vyama vyote 15 ikiwemo Chadema na 11 ya wajumbe hao wameona Tundu Lissu ana atia
2. Tundu Lissu alipokea barua na alijitetea mbele ya Kamati kupitia mawakili wake wawili na kuomba Kamati impunguzie adhabu. Hii maana yake ni kuwa walikiri ana makosa
3. Sheria inataka taarifa ipewe vyama siyo mgombea binafsi na utaratibu kama huo ulishawahi kutumika Tundu Lissu alipopewa madai na TADEA na alijibu madai hayo yaliyowasilishwa kupitia CHADEMA kama ilivyo utaratibu.
Mengine sikiziza mwenyewe. Hakika Tundu Lissu ni mwongo na anadhamira mbaya na nchi yetu ili kuwafurahisha mabeberu wake. Chukua hatua na akili kichwani. Achana na Tundu Lissu.
Kamati ya Maadili ya Uchaguzi ya Taifa yabainisha uongo wa Tundu Lissu na kueleza yafuatayo:
1. Siyo NEC iliyompa adhabu kama anavyotangaza bali amepewa na Kamati ya Maadili ya Uchaguzi ambayo wajumbe wake ni vyama vyote 15 ikiwemo Chadema na 11 ya wajumbe hao wameona Tundu Lissu ana atia
2. Tundu Lissu alipokea barua na alijitetea mbele ya Kamati kupitia mawakili wake wawili na kuomba Kamati impunguzie adhabu. Hii maana yake ni kuwa walikiri ana makosa
3. Sheria inataka taarifa ipewe vyama siyo mgombea binafsi na utaratibu kama huo ulishawahi kutumika Tundu Lissu alipopewa madai na TADEA na alijibu madai hayo yaliyowasilishwa kupitia CHADEMA kama ilivyo utaratibu.
Mengine sikiziza mwenyewe. Hakika Tundu Lissu ni mwongo na anadhamira mbaya na nchi yetu ili kuwafurahisha mabeberu wake. Chukua hatua na akili kichwani. Achana na Tundu Lissu.
We chizi kweli, alianza kutania Mwinyi ana wake wawili ndipo akatania na hiloAnayeropoka ni huyu aliye sema leo ataoa mke wa pili Zanzibar’s!! Sijui a nadhani shida za wazanzibar ni wanawake zao kuolewa kama wake wa pili???
Mbona malalamiko ya Lissu hayaja sikilizwa au hata tu kusema wamepokea malalamiko mara tatu hawasemi!. Tanzania bado sana masikini nchi yangu sijui lini tutapata uhuru wetu na usawa
Hapana , hajanikera ila nimefurahi tu wazanzibar walivyokuwa wanaondoka uwanjani wakati anahutubiaWe chizi kweli, alianza kutania Mwinyi ana wake wawili ndipo akatania na hilo
Basi ikiwa imekukera peleka malalamiko kamati ya maadili NEC
Rangi za jezi umefanya kinyumenyume.Mechi imekuwa ngumu mno. Huyu mchezaji anasumbua hakuna mfano. Anachanbua defence haijapata kutokea.View attachment 1589303
Hamna kitu hapo hiyo ni chenga twawala lakini hakuna kulenga goli wala kufunga huamini tulutane sanduku la kura. Toka lini ubwabwa ukawa mboga ya ubwabwa.Mechi imekuwa ngumu mno. Huyu mchezaji anasumbua hakuna mfano. Anachanbua defence haijapata kutokea.View attachment 1589303
Kauli kama hizi zikitolewa na watu mnaojulikana mna mtindio wa ubongo hakuna wa kuzitilia maanani.Jamaa anaweza kujinyonga kabisa. Wapambe wake inabidi wawe karibu naye kuepusha madhara yanyoweza kutokea.
Hapana , hajanikera ila nimefurahi tu wazanzibar walivyokuwa wanaondoka uwanjani wakati anahutubia
Mbona majukwaani anatafsiri sana tu?Sheria inasemaje??? Tuanzie hapo kwanza!!!
Malalamiko anapelekewa mgombea au Chama??? Yeye ni mahakama hadi atafsiri sheria??? Kama sheria inasema malalamiko apelekewe mgombea inabidi apelekewe mgombea na wala si Chama!!!
Pili mara ya kwanza alisema Walipeleka malalamiko kwa katibu akawajibu wampelekee mgombea, Kwa nini hawakufanya???
Tatu wanasema kamati ya maadili sio tume alafu video yao inaaanza na Nembo ya Tume ya uchaguzi!! Mbona wanajichanganya????
Labda masanduku ya chatoJifariji nabisubiri sanduku likimiminika kura za kijani. Mtaisoma tu namba mapema sana
Wana hangaika nini tena na yeye !?.Si walisha mlima Ban sasa mbona kelele zinazidi.Tume mna jukumu Kisheria kutoa Elimu kwa mpiga kura ,lakini nyie kutwa kuchwa kuhangaika na Lissu tu na kuyaacha Majukumu yenu ya Msingi.