Uchaguzi 2020 Kampeni za Tundu Lissu zaingia rasmi kanda ya Nyasa, Mbeya Mjini

hiyo live iko wapi ? chadema kwa usanii hamjambo
 
mkuu, huyo mtu wenu mnayemwita Tumaini Makene ni hovyoo kabisa.
yaani bado nusu saa mkutano kufika mwisho watu tuna hamu kumsikiliza na kumtazama Lissu akihutubia lakini hakuna livestream link yoyote kweli? kweli? this is serious sana aisee!!
 
mkuu, huyo mtu wenu mnayemwita Tumaini Makene ni hovyoo kabisa.
yaani bado nusu saa mkutano kufika mwisho watu tuna hamu kumsikiliza na kumtazama Lissu akihutubia lakini hakuna livestream link yoyote kweli? kweli? this is serious sana aisee!!
nakala CHADEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…