Kachanganyikiwa zaidi baada ya mama Maria kumtupia vijembe vya kumponda[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] jiwe anatapatapa kashajua hatoboi hata kwa dawa
Kaangalie video ya mapokezi ya LISSU huko Mbeya halafu kaa chini ujiaminishe kuwa utaipeleka wapi sura yako wakati LISSU anaapishwaUsijiaminishe hivyo mkuu[emoji44][emoji44]
Kujiamini ni kutokana na unavyo kubalika kwa watanzaniaUsijiaminishe hivyo mkuu[emoji44][emoji44]
Anyway, ndo Tanzania yetu hiii. !Ndo hivo mkuu, yaani hawa jamaa wahuni sana
pole kwa kuteseka mkuuChadema mna edit picha kwa faida ya nani ?
Yule bibi kizee ana Hali mbaya huko alikoTulia sasa hivi atakuwa kwenye milima ya umalila akitafuta uchawi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa.
Hao washaanza mipango ya kutoroka kurudi kwao BurundiKaangalie video ya mapokezi ya LISSU huko Mbeya halafu kaa chini ujiaminishe kuwa utaipeleka wapi sura yako wakati LISSU anaapishwa
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] na mwaka huu lazima waende
mkuu, huyo mtu wenu mnayemwita Tumaini Makene ni hovyoo kabisa.Wakuu natanguliza salamu , baada ya salamu naanza na kuomba radhi kwa usumbufu wetu wa habari zetu za kampeni zinazomiminika kama mvua za masika , hatuna jinsi ni lazima tuhakikishe nchi inakombolewa .
Taarifa ya leo inaonyesha kwamba Mgombea wa Chadema anayepewa nafasi kubwa ya kushinda Urais wa Tanzania Mh Lissu atakuwepo Viwanja vya Ruanda Nzovwe , ambapo atazindua kampeni za kanda hiyo , lakini kubwa zaidi ni kuwataja hadharani viongozi wote wanaohujumu uchaguzi huu na ahadi walizopewa na hata hela walizolipwa .
View attachment 1559139
UPDATES
========
View attachment 1559436
Video : Mapokezi yake mazito yasababisha barabara kuanza kupata nyufa , jionee mwenyeweView attachment 1559596View attachment 1559597View attachment 1559598View attachment 1559599View attachment 1559600
Usanii upi au wa milioni 50 kila kijijihiyo live iko wapi ? chadema kwa usanii hamjambo
Asante mkuu, umemsikia yule bi Kidude mama Samia ?pole kwa kuteseka mkuu
nakala CHADEMAmkuu, huyo mtu wenu mnayemwita Tumaini Makene ni hovyoo kabisa.
yaani bado nusu saa mkutano kufika mwisho watu tuna hamu kumsikiliza na kumtazama Lissu akihutubia lakini hakuna livestream link yoyote kweli? kweli? this is serious sana aisee!!
Hilo halina ubishi[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] na mwaka huu lazima waende
uvumilivu unanishinda mkuu, halafu moyo unaniuma sana nikimuona mgombea wetu wa ccm anabwatuka bwatuka na kuongea vitu kama hajielewi.Hakuna picha iliyo fanyiwa edditing hapo tulia na jipe moyo wa uvumilivu
Sent using Jamii Forums mobile app