The Bible says: "MPUMBAVU amesema moyoni mwake kuwa hakuna Mungu."Dini ni utapeli kama utapeli mwingine Mungu hayupo
Hizo ni hadithi tu za kipumbavu zilizoandikwa na watu wa kale ila Mungu hayupo. Usifungwe na ngonjera za kipumbavu zilizoandikwa huko nyumaThe Bible says: "MPUMBAVU amesema moyoni mwake kuwa hakuna Mungu."
Yaani anakupa PUMZI Bure na unaitumia kumtukana!!!
Anyway, Wachawi, washirikina, waovu na waabudu sanamu Wana mungu wao aliye na KITI Cha enzi kuzimu.
Ninakuombea USIFE kabla ya kukutana na Mungu Yesu akuokoe.
Amen
Hao manabii wa uongo uliowataja hawana tofauti na wale masheikh wanaouza majini ya kuwasaidia watu kupata wateja ktk biashara. Au kuuza dawa za mitishamba kujiagua.Usisingizie imani. Usi-generalize. Sema huu UKRISTO.
Tatizo ni kuwa UKRISTO unaongozwa na mawazo ya watu tu. Ndio maana unakuta wachungaji:-
wanawalisha waumini wao majani, wanaambiwa wanywe jiki nao wanakunywa, wanawake wa kikristo wanawaheshimu na kuwanyenyekea wachungaji kuliko wanavyowaheshimu waume zao, waumini wanachapwa viboko eti ni njia ya kumtoa shetani, Waumini wapo tayari kulala njaa na kutosomesha watoto ili tu pesa wampe mchungaji.
Angalia wafuasi wa Mwamposa, Zumaridi, Geodevi, Kakobe, Mzee wa Upako etc. Ni kama misukule vile
Msisingizie imani, sema UKRISTO
Mimi Mungu anaishi ndani yangu, naongea naye daily, anaongoza njia yangu, waezaje Sema ni HADITHI?Hizo ni hadithi tu za kipumbavu zilizoandikwa na watu wa kale ila Mungu hayupo. Usifungwe na ngonjera za kipumbavu zilizoandikwa huko nyuma
Tuko mwishoni jamani,Sijui kwanini Kanisa linakuwa mbele na huu ushetani, yaani wanapamba ili watu waone ni kitu cha kawaida kabisa.
Kwani kutumia dawa za mitishamba ni vibaya mkuu vipi kabla ya hispitali akina yesu na wenzie walikua wanatumia dawa zipi au ni maombi tu?Hao manabii wa uongo uliowataja hawana tofauti na wale masheikh wanaouza majini ya kuwasaidia watu kupata wateja ktk biashara. Au kuuza dawa za mitishamba kujiagua.
Bt wapo manabii wa Kweli mf ni Mwakasege, nk nk.
Yesu ndiye KRISTO messiah. Ukristo ni mfumo ambao umebadili matakwa ya Yesu alipokuja duniani.
Waliomuua YESU, baada ya kuona hawawezi kuzuia habari zake na INJILI kuenea, wakiamua kuanzisha hizo DINI wakaingiza mambo Yao.
Wameingiza TRINITY ktk dini zao, wakati hakuna kitu kama hicho.
Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Amen.
Sasa ndio umesema nini kama mungu hajaumba ukristo kwanini utake watu wawe wakristo?Mungu alipomuumba ADAM na EVE ktk Bustani ya EDEN hakumpa DINI ya Ukristo au Dini ya UISLAMU.
Mungu anataka IBADA. Mimi nakuombea ndugu Kimsboy ukutane na Mungu yule aliyeongea na Adam daily Bustani ya EDEN.
Mungu huyo anaishi ndani yangu, ninaeongea naye na kumwabudu ktk ROHO na Kweli.
Angalizo;Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.
Amen.
Maskini rainbow [emoji304] zilikuwa rangi nzuri za kuvutia, saivi rangi hizi watu wanaogopa ht kuziona. Mishenzi kweli iliochagua rangi za rainbow na kuzihusisha kwenye mambo ya ushogaView attachment 2547764
Wazee wa sisi ni dini kubwa ndio Mambo yenu haya sasa
Ukristo Kwa maana ya Taasisi na mifumo ya DINI ndo ni ya kibinadamu.Sasa ndio umesema nini kama mungu hajaumba ukristo kwanini utake watu wawe wakristo?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Dawa za miti shamba hazina tatizo.Kwani kutumia dawa za mitishamba ni vibaya mkuu vipi kabla ya hispitali akina yesu na wenzie walikua wanatumia dawa zipi au ni maombi tu?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Waislamu ni wanafiki sana wakimaliza kukemea ushoga humu mitandaoni wanaenda kufir@n@ faraghani!Hehehe napenda namna maustadh mnafuatilia kila hoja inayohusu ushoga, ukizingatia ushoga ulivyoshamiri maeneo yenu ya lani huko na pemba.....
Hata hivyo hii haijazidi tukio la yule mwarabu wenu mnayemuabudu aliyekua anagegeda katoto
Waislamu ni wanafiki sana wakimaliza kukemea ushoga humu mitandaoni wanaenda kufir@n@ faraghani!
Papa amesemaje kuhusu ushoga?
[emoji1787][emoji1787] unahangaikaWenzao kwingine wameamua kuacha unafiki...
Yesu utamfahamu vipi kama sio mkiristo?Ukristo Kwa maana ya Taasisi na mifumo ya DINI ndo ni ya kibinadamu.
Mungu anataka IBADA na IMANI ktk YESU kristo kama Mungu na njia pekee.