Kanisa Katoliki Ujerumani kuanza kubariki ndoa za jinsia moja kuanzia 2026

Kanisa Katoliki Ujerumani kuanza kubariki ndoa za jinsia moja kuanzia 2026

Ndiyo hivyo wakuu, kwa mujibu wa DW kanisa limefungua milango kwa ushoga,Kama alivyoshauri Papa juzi hapa

---
====
Mkutano wa Sinodi - ambao unalenga katika mageuzi ya Kanisa - uliidhinisha hati huko Frankfurt siku ya Ijumaa ili kuruhusu wapenzi wa jinsia moja wapewe baraka zao na Kanisa Katoliki la Ujerumani kuanzia mwaka 2026.

Kati ya wanachama 202 wa Mkutano wa Sinodi, 176 walipiga kura kuunga mkono hati hiyo, huku 14 wakipinga na 12 wakijizuia.

Mchakato wa mageuzi ya Njia ya Sinodi

Kuruhusu sherehe za baraka kwa wapenzi wa jinsia moja ni miongoni mwa madai muhimu katika mchakato wa mageuzi ya Njia ya Sinodi, ambao umekuwa ukiendelea tangu mwaka 2019.

Harakati za kisasa pia zinataka kumaliza ukungu kwa mapadri na kuona wanawake wanapewa daraja la mashemasi.

Kulingana na shirika la habari la Kikatoliki la Kijerumani KNA, baraka pia zitaruhusiwa kwa watu waliooa tena kiraia na wanaoachika.

KNA iliripoti kuwa kulikuwa na mapendekezo kwamba Baraza la Maaskofu la Kijerumani na Kamati Kuu ya Wakatoliki wa Kijerumani "waweze kukuza na kuwasilisha maadhimisho yanayofaa kwa wakati unaofaa."

Miaka mitatu kwa mabadiliko hayo kutekelezwa itatumika kwa ajili ya kuendeleza mfumo wa liturjia ya sherehe hiyo kwa ushiriki wa maaskofu.

Kanisa Katoliki na mageuzi

Vatikani na harakati za mageuzi ya Ujerumani

Kanisa nchini Ujerumani ilianzisha harakati ya mageuzi wakati idadi kubwa ya Wajerumani walipokuwa wanatoka katika makongamano ya Kanisa na skandali za unyanyasaji wa kingono zinazohusisha Kanisa. Uanachama wa kanisa ulishuka chini ya asilimia 50 kwa mara ya kwanza mwaka 2021.

Vatikani hapo awali ilifanya wazi kwamba inaona madai ya Njia ya Sinodi ya kushughulikia ubaguzi wa kimapenzi, ukungu, na wanawake katika Kanisa kama yanayosababisha mgawanyiko, na kuonya kwamba madai hayo yanaweza kusababisha mwanya.

Mwezi wa Julai mwaka jana, Kiti kitakatifu kiliionya viongozi wa marekebisho ya Kijerumani kwamba hawana mamlaka ya kuwaongoza maaskofu kuhusu masuala ya maadili au mafundisho.

Askofu wa Eichstätt, Gregor Maria Hanke, alionya juu ya hatari ya kutokea mgawanyiko ndani ya Kanisa kuhusu suala hilo, kama ilivyotokea ndani ya Kanisa la Kianglikana.
====
The Synodal Assembly — which is focused on reforming the Church — adopted a paper in Frankfurt on Friday to allow for same-sex couples to have their relationships blessed by the German Catholic Church from 2026.

Of the 202 members of the Synodal Assembly, 176 voted in favor of the paper, while 14 against and 12 abstained.

Synodal Path reform process

Allowing blessing ceremonies for same-sex couples has been among the key demands in the Synodal Path reform process, which has been ongoing since 2019.

The progressive movement also seeks to end celibacy for priests and see women ordained as deacons.

According to the German Catholic news agency KNA, blessings would also be allowed for civilly remarried and divorcees.

KNA reported that the there was a recommendation that the German Bishops' Conference and the Central Committee of German Catholics "develop and introduce appropriate liturgical celebrations in a timely manner."

The three years for the change to take effect are to be used to develop the liturgical format of the ceremony with the participation of
the bishops.

Catholic Church and reform

The Vatican and Germany's reform movement

The church in Germany launched the reform movement amid record numbers of Germans leaving congregations and sex abuse scandals involving the church. Church membership dropped below 50% for the first time in 2021.

The Vatican has in the past made it clear that it views the Synodal Path's calls for addressing homosexuality, celibacy and women in the Church as divisive, and warned those calls could cause a fracture.

In July last year, the Holy See warned German reformers that they had no authority to instruct bishops on moral or doctrinal matters.

Bishop of Eichstätt, Gregor Maria Hanke, warned of the danger of a rift occurring within the Church on the issue, as has been seen within the Anglican Church.
Ndio maana haya mambo ya bwana awe nanyi niliachana nayo huu mwaka wa 14 nasonga mbele.
 
Yesu utamfahamu vipi kama sio mkiristo?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Uarabuni au china ukristo au kusoma BIBLIA ni MARUFUKU bt wapo wanao AMINI ktk YESU, Unadhani walimfahamuje?

Saul hakuwa mkristo bt Alitokewa na YESU mwenyewe na akaongozwa Kwa watumishi.

Mungu ndo Huwa anawatafuta watu hata kabla ya watu kumtafuta Mungu.
 
Uarabuni au china ukristo au kusoma BIBLIA ni MARUFUKU bt wapo wanao AMINI ktk YESU, Unadhani walimfahamuje?

Saul hakuwa mkristo bt Alitokewa na YESU mwenyewe na akaongozwa Kwa watumishi.

Mungu ndo Huwa anawatafuta watu hata kabla ya watu kumtafuta Mungu.
Uarabuni wapi huko mkuu kwani hakuna waarabu wakristo?

Kama mungu ndio anawatafuta watu kwanini nawewe usiache mungu mwenyewe awatafute hao watu anao wataka
 
Unaongeleaje maneno ya papa kuhusu ushoga?
Papa ni mwanadamu na amezaliwa kwenye kanda ambayo imejaa takataka ya kila uchafu hivyo yeye kuwa na mtazamo wa self defence ya maeneo ya kwao haihalalishi kuwa ule kuwa ule mtazamo wake ni halali kwa watu wa familia ya Mungu(Mwanzo1:26-29)
 
Papa anajaribu kuneutralize dhambi, hizi dhambi zingine zimekuwa dhambi za kawaida, anataka pia tuongeze dhambi ya ushoga nayo iwe kama dhambi ya ulevi, kusema uongo na kuzini..

Adhabu ya mzinzi, mwizi nk kwenye Islamic sharia iko wazi tu, tena zingefuatwa watu tungeziogopa, tumezineutralize na kufanya ni normal life style matokeo yake zimetudhidi kiasi tunabaki tunawayawaya tu.. kuna mambo hayahitaji normalization bali yanahitaji ukali na roho mbaya kama kukemea ufisadi, wizi na uzembe kwa Mtanzania.
Unaunga mkono sheria ya mzinzi au mwizi, auawe?

Nani ataishi kama tukitaka kufanya hivyo?
 
Tunaenda Ujerumani kote huko wakati hapa kwetu tu Zanzibar yapo ya kutosha. Tunakuwa wanafiki, kwamba tunawashangaa Wajerumani wakati Visiwani wapo weusi wanayafanya na hatushangai
Sema wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na hapo bado hayo mambo hayajaruhusiwa; nadhani yakiruhusiwa watu watakuwa wakiyafanya barabarani...sio tena kwenye magari kama yule Jamaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jambo gumu ni kwamba still upande dhaifu bado watu wanatengana kabisa.

Unakumbuka Makonda alipopigwa ban kisa hizo ishu baada ya kuanza kufuatilia wanaojihusisha na kusema atadili..Basi hapa bongo wapo walikuwa wanamkandia
Serikali enyewe ilmkanaa wazi wazi.
 
Umasikini mbaya sana...

Na huyu mama yetu anategemea mikopo ya hao hao mashoga ili kuendesha nchi...

Najua hakubaliani na hili lakini mpaka leo kimya maana anafikiria akiwa kama mama, akinyimwa hiyo mikopo atalisha nini wanae (wanaokula kulingana na urefu wa kamba zao) ambao hata mishahara tu wanategemea mikopo?

Tumezingirwa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had machozii, badala mpigane kutoka ktk umaskini, ndipo muanze kupinga ushoga,

Ngoja mnyimwe mikopo na misaada ndo akili itawakaa sawaa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had machozii, badala mpigane kutoka ktk umaskini, ndipo muanze kupinga ushoga,

Ngoja mnyimwe mikopo na misaada ndo akili itawakaa sawaa.
Tulia basi mjukuu kha!

Ngoja tuwaone Uganda kwanza. Wakitoboa na sisi tunakiwasha...

Mama kaamua kuusoma mchezo kwanza maana likely kuna tumikopo huko anasubiria...Ingekuwa Mzee Magu angekuwa keshajiripua tayari liwalo na liwe!

Caution is the way to go sometimes. Jambo hili si la kukurupukia tu....hata sasa watu wanapiga makelele mtandaoni humu lakini mashoga si mpo tena openly kabisa hamjifichi. Kama kweli wako serious, si wawakamate?
 
Tulia basi mjukuu kha!

Ngoja tuwaone Uganda kwanza. Wakitoboa na sisi tunakiwasha...

Mama kaamua kuusoma mchezo kwanza maana likely kuna tumikopo huko anasubiria...Ingekuwa Mzee Magu angekuwa keshajiripua tayari liwalo na liwe!

Caution is the way to go sometimes. Jambo hili si la kukurupukia tu....hata sasa watu wanapiga makelele mtandaoni humu lakini mashoga si mpo tena openly kabisa hamjifichi. Kama kweli wako serious, si wawakamate?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babu usinichekesheee huyu Magu si ndo alimkana makonda wazi wazi??

Mu7 anacheza na akili za wana nchi wake, Africa mashariki hakuna nchi itakayopinga na kukataa ushoga, viongozi wana wanafikia raia wao tyuuh.

Imagine Kagame na umafia wote huu kaufyata kwa suala LA ushoga, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Msukuma mwenzio Magu hakua na ubavuu wowote na hata angekuwepo asingefanya lolote. Ona hapa chini msimamo wa serikali yake kuhusu ushoga.

Nachekaaa mbavu cnaa.uwiiiiiii
JamiiForums-460527473.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babu usinichekesheee huyu Magu si ndo alimkana makonda wazi wazi??

Mu7 anacheza na akili za wana nchi wake, Africa mashariki hakuna nchi itakayopinga na kukataa ushoga, viongozi wana wanafikia raia wao tyuuh.

Imagine Kagame na umafia wote huu kaufyata kwa suala LA ushoga, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Msukuma mwenzio Magu hakua na ubavuu wowote na hata angekuwepo asingefanya lolote. Ona hapa chini msimamo wa serikali yake kuhusu ushoga.

Nachekaaa mbavu cnaa.uwiiiiiiiView attachment 2548532
Haya bana.

Mashoga tambeni tu bana.

Mmeikamata dunia yote maana ndiyo wenye pesa. Sisi Waafrika na umasikini wetu huu ngoja tuone itakavyokuwa.

Ila jambo moja nikukubalie kuhusu Museveni. Anajua amechokwa na wananchi sana na hii ishu ya ushoga imempa mahali pa kupumulia ili kusaka political legitimacy. Aonekane kuwa ni mzee mwenye nguvu anayepambana kuilinda Uganda kimaadili lakini kiukweli analinda maslahi yake ya kisiasa. Vipi ikiwa vipi ampishe mwanawe kiulaini!

Labda wamwonee huruma wasije wakaigeuza Uganda kuwa Zimbabwe nyingine au wakiona mbwai na iwe mbwai wanaweza hata kum-Gaddafi au kum-Magufuli.
 
Nasi waafrika tunakosa misimamo eti tutanyimwa misaada.

Tukikubali ujinga huo huko mbele nini tutakataa?

Siku ninakosali wakileta hiyo habari sijui tunawakosea LGBTQ sijui nini, najianzishia kanisa la mtu mmoja.

Tuna madhambi ndiyo, lakini hayo mambo hata yakifutwa katika orodha za dhambi bado akili inagoma.

This is too much!
 
Haya bana.

Mashoga tambeni tu bana.

Mmeikamata dunia yote maana ndiyo wenye pesa. Sisi Waafrika na umasikini wetu huu ngoja tuone itakavyokuwa.

Ila jambo moja nikukubalie kuhusu Museveni. Anajua amechokwa na wananchi sana na hii ishu ya ushoga imempa mahali pa kupumulia ili kusaka political legitimacy. Aonekane kuwa ni mzee mwenye nguvu anayepambana kuilinda Uganda kimaadili lakini kiukweli analinda maslahi yake ya kisiasa. Vipi ikiwa vipi ampishe mwanawe kiulaini!

Labda wamwonee huruma wasije wakaigeuza Uganda kuwa Zimbabwe nyingine au wakiona mbwai na iwe mbwai wanaweza hata kum-Gaddafi au kum-Magufuli.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] babuuu nimechekaa hadi tumbo linaumaa, kweli kuweni tyuuh wapoleeee.
 
Ukishajua kuwa MUNGU hana dini pia yeye ni upendo huwezi kujisumbua kuangaika na haya Mambo.

Maana ukizifuatilia hizi dini zote kuanzia viongozi wao kuja kwa waumini wao pamoja na jinsi zinavyo operate utajua kabisa there is something wrong because all system is corrupt.
 
Back
Top Bottom