Kariakoo, Dar: Kumetokea ujambazi wa kutisha mtaa wa Lindi na Livingstone muda huu, Polisi mpo wapi?

Duuuh yaani watu wamekimbia watu walioshika visu? Je wangeshika BOMBA watu si wangeenda kukasimamia FAYA?
 
Miaka Kama mitano nyuma ,jamaa walikwapua begi tatu za ela ,alafu begi moja wakamwaga hewani raia wazigombanie,na wazimbe njia polisi wakitokea wakose pakupita ,mitaa hiyo hiyo
Nakumbuka hii
 
Kila mmoja atamkumbuka jiwe Kwa style yake , sa hv likikukuta unakufa nalo mwenyewe
 
wazaz kuwa watz km wengine hainifany nisiseme udhaifu wa raia wa hii nchi hii , naunga mkoj hoja kuwa watz hamna tofaut na wapuuz wengine kwny ulimwng huu
Unatumia wifi ya Chama gani?
Coz mmekua kama mazombie,
 
Hicho kisa kiliniumiza moyo sana, baada ya kutoa huduma ya kwanza niliondoka hadi walipo traffic na kuwajulisha lkn walifika nao kwa kuchelewa kwa taarifa nilizozipata baada ya kufuatilia kesho yake.

Siku hiyo nilishindwa kula
Walifariki?
 
Watu wa Dar ni waoga sana. Sijui Yana tabia gani
 
hao wahindi Wana hela.
Kuna mzee alikuwa anahadithia Kuna ndugu yake NI mlinzi alikuwa analinda kwa wahindi Sasa siku moja usiku anaingia lindoni anakuta funguo za kamati la hela zipo juu na wenyewe hawapo.kufungua akakuta maburungutu ya hela za kutosha.akachukua milioni 15 akazificha.alivyokuwa mjinga zile funguo akaziacha pale pale mezani.
Kesho mabosi wanakuja wanakuta funguo zipo mezani wanaangalia Kuna wizi umetokea.
Mlinzi akakamatwa akapelekwa mahakamani akala miaka yake 6.na hela akarudisha
 
Kariakoo Kuna ujinga mwingi sana usije ukafikiri siku ukikutana na wezi utasaidiwa Kama unaweza pambana mwenyewe.
Nilishuhudia gari lililobeba tv likiibiwa tv moja kwenye foleni njia ya kuingia Somali street na watu wanaangalia huku wanacheka.ikaja boda boda ikambeba yule mwizi hao wakasepa
Yaani anabeba hela hata ngumi hajui
Bila pistol Sibebi hela mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…