Katibu Mkuu wa Itikadi na Uenezi CCM, Paul Makonda atambulishwa rasmi CCM, atinga kwa bodaboda

Pumba sana unaongea hbu zipeleke Kuku wapate chakula
 
Je Nape yupo?? au ndo anasafari za kikazi mikoani. Vipi report yake kuhusu Clouds? ataiendeleza ua vipi. Aaangalie jina lisije likakatwa 2025
 
Anzeni na gwajiboy mkimaliza tuwape mwingine
 
Slaa alisha waambia chama kilikwisha jifia katika kujenga hoja zenye nguvu!
 
Wewe ni mpuuzi, hakuna mtu mwenye akili nzuri ndani ya CCM anaweza kushabikia upuuzi wa Makonda kuwa Mwenezi wa CCM Taifa!
Makonda hana hadhi, uadilifu wa uweledi wa kuwa kwenye nafasi hiyo.
Makonda ni Mla rushwa na tapeli wa kutupwa!
Kesi yake kupora ghorofa la GSM imefikia wapi!?
Samia anajenga CCM ya hovyo!!
 
Mtawashughulikia au mtaomba vyombo vya Dola viwasaidie?
 
Una maana Paul Makonda mwenyewe ama unamaanisha Daud Albert Bashite. Tatizo lenu nyie watu wenye vyeti feki huwa mnaangaika sana kama vile mtetea anapotaka kutaga yai.

Mkiambiwa ukweli mnapaniki na kuhisi mnatukanwa. Ama kwa hakika upumbavu ni kipaji.
 
Je, sasa na wewe na genge lako mtaheshimu Mama yetu SSH?
 
wewe ni mwendawazimu kama wendawazimu wengine tu
 
Sijafanikiwa kufika Lumumba kutokana na kukwama kwenye foleni ya kwenda huko Hapa Magomeni

Kwahiyo nipo Hapa Sea Boys ghorofani nashiriki mapokezi kupitia Channel ten tv

Cha ajabu nasikia shangwe za Magufuli, Magufuli Ndio najiuliza anayepokelewa ni Makonda sasa Magufuli inakuwaje tena?

Dogo ametisha sana, akabidhiwe tu Chama hakuna namna πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ”₯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…