Kawe leo hii kuanzia Saa 1 hadi Saa 3 Usiku kulitokea nini hadi MP wa JWTZ Kufurika, Kukamata Watu, Kutembeza Kichapo na Kuzua taharuki?

Kawe leo hii kuanzia Saa 1 hadi Saa 3 Usiku kulitokea nini hadi MP wa JWTZ Kufurika, Kukamata Watu, Kutembeza Kichapo na Kuzua taharuki?

Kawe pamezidi. Vijana wamekua wa hovyo sana. Mbali na kwamba kanali alikosa busar naomba usafi ufanyike. Pasafishike. Matukio mabaya na maovu mengi sana yanatendeka usiku kwa mchana
Nimeshakuja na Taarifa za Matukio mbalimbali Kuhusiana na eneo la Kawe hapa JamiiForums ila NIKAPUUZWA sasa ndiyo mtajua kuwa GENTAMYCINE ni Nabii Mtakatifu kutoka kwa Mwenyezi Mungu ambaye MNAMDHARAU tu Kutwa.
 
Hiyo unayoiita posho,unajua inatoka kwa nani kama siyo wananchi?
Hata mafunzo ya mwanajeshi,unajua pesa ya nani ilitumika kuwezesha ayapate kama siyo kodi ya mwananchi,halafu leo umepata mafunzo ambayo mimi nimekugharamia,halafu uje unipige makofi,unategemea nini?


lini nimekupiga mbona unanifokea kama mimi ni mwanajeshi.
 
Shida inakuja kwamba nitajuaje huyu naye bishana naye kama ni Mwanajeshi? Especially kama amevaa kiraia.
Isije ikawa loophole kila mtu anajiita mwanajeshi akawa anatumia hiyo nafasi
Unajua mtaani pia kuna wahuni wengi.

Kitendo cha Kumshambulia Askari hadi amepoteza maisha kimeniumiza sana.

Licha ya kuwa kila binadamu ana thamani linapokuja swala la uhai wa mtu.

Kwa mujibu wa Ripoti anazotoa Gentamycin Mara kwa mara Ukanda wa Kawe na Mikocheni umejaa Thugs.

Ni mara nyingi sana Gentamycin ana ripoti vitendo vya uharibu na vibaka pande hizo.

Hii pia ni doa maana Hiyo location ya Kawe na Mikocheni iko Hugely and Overloaded na watu wa vyombo vyote vya ulinzi na Usalama na ofice zao.
Mimi pengine nawaza vibaya lakini nahisi gentamicin ni kibaka au maswahiba zake ni vibaka wahuni wahuni inakuaje matukio mengi ya wahuni vibaka wakabaji anayaripoti yeye kuna uwezekano anakua nao kwenye matukio Ila anawahi kuchomoka kuja kuripoti humu Nilikua naomba ikiwezekana wamkamate wamuhoji vizur
 
Kuna wanajeshi wawili walizoea kuendekeza ubabe kwenye baba moja Sinza. Kuna siku waliingia cha kike kwa black belt mmoja ambae kwa muonekano walidhani wanammudu.
Jamaa aliwanyoosha wote wawili halafu akaondoka zake mdogo mdogo hata hakimbii.
Wajeda kwa aibu wakainuana pale wakaita bajaji wakaondoka kwa aibu.
Mkuu yaani nimecheka mpaka basi!!!
 
Mimi pengine nawaza vibaya lakini nahisi gentamicin ni kibaka au maswahiba zake ni vibaka wahuni wahuni inakuaje matukio mengi ya wahuni vibaka wakabaji anayaripoti yeye kuna uwezekano anakua nao kwenye matukio Ila anawahi kuchomoka kuja kuripoti humu Nilikua naomba ikiwezekana wamkamate wamuhoji vizur
Hahahaa yeye mwenyewe anajiita ni Mjeda kutoka Nchi jirani na kwamba ana akili sana
 
Dawa ni kununua pepper spray au taser gun , wananchi mnunue hizo kitu na mtembee nazo . Self defense ni muhimu ,asitokee mseng£ yoyote akakuletea ishu za kuqumah mtie adabu ,mnyooshe mpaka akili zimrudi , hauhitaji kisu wala bunduki ,tumia moja kati ya hizi silaha taser gun / pepper spray .
Mkuu Wewe waponze tu yawakute sawa?
 
Nimeshakuja na Taarifa za Matukio mbalimbali Kuhusiana na eneo la Kawe hapa JamiiForums ila NIKAPUUZWA sasa ndiyo mtajua kuwa GENTAMYCINE ni Nabii Mtakatifu kutoka kwa Mwenyezi Mungu ambaye MNAMDHARAU tu Kutwa.
Mimi huwa nazingatia sana umeshatoa matukio ya uharifu na wakati mwingine huwa unatabiri kulingana na mienendo( indicators) unayoona.

Kwa kumbu kumbu zangu matukio mengi ume ripoti ya
1. mikocheni
2. Kawe( mengi zaidi)
3. Tegeta
4. Mbweni
5. ununio
6. Mwenge
7. Na yale ya Simba Sc. 😆😆
 
Mtu anakaa kabisa anatukana Mimi mwanajeshi nikikuatana nae namkabiri mwenyewe, kwa hio amejenga mentality kwamba akikutana na mwanajeshi anataka apimane nae mbavu aonekane yeye ni mbavu zaidi kuliko mwanajeshi, sasa km sio utovu wa nidhamu ni nini? Yaan mtu ameshajijengea mtazamo hasi na Jeshi lake kabisa kwamba nikikutana na mwanajeshi lazima anikome, ukiuliza sababu ya msingi hana Ila ni chuki tu
Raia mwenye akili timamu hawezi kuwa na mentality negative namna hiyo mkuu. Unatakiwa na wewe uelewe kitu kimoja otherwise na wewe utakuwa huna tofauti na hao raia wenye negative mentality


Kuna askari wenzio hutumia vyeo vyao vibaya kunyanyasa raia, haya matukio yapo na imani hata wewe umewahi yashuhudia. Mtu aliyepokonywa haki yake akawa na kinyongo unafikiri atawazaje kuhusu nyie?

Unatakiwa uwe mfano kwamba bana waliokudhulumu haki yako sio wote mimi sipo hivi na jeshini hatufundishwi tabia hiyo , ukikutana na raia mwelewa ni haraka sana anakuelewa . Shida ni wewe NAE kuanza kuvimba watu wanajua wote wale wale tu
 
Unatakiwa uwe mfano kwamba bana waliokudhulumu haki yako sio wote mimi sipo hivi na jeshini hatufundishwi tabia hiyo , ukikutana na raia mwelewa ni haraka sana anakuelewa . Shida ni wewe NAE kuanza kuvimba watu wanajua wote wale wale tu
Shida inakuja hapa, hakuna raia anaekubari kua tayari kupokea maelezo haya kwamba km ulisumbuana na Askari fulani hainamaana Askari wote ni wa kusumbuana nao, raia hawalielewi hilo raia wanataka kuvimba na wao waonekane kwamba wao pia ni zaidi ya Askari, hio sio sahihi
 
Unatakiwa uwe mfano kwamba bana waliokudhulumu haki yako sio wote mimi sipo hivi na jeshini hatufundishwi tabia hiyo , ukikutana na raia mwelewa ni haraka sana anakuelewa . Shida ni wewe NAE kuanza kuvimba watu wanajua wote wale wale tu
Pointi
 
Shida sio hekima shida ni chuki, I'm telling you I know what I'm telling you raia punguzeni chuki na Jeshi lenu,
Nadhani hilo sio tatizo, tatizo ni personal ego ambayo askari wanayo, wanadhani wapo above the law, so mara nyingi hata wakikosea huwa wanaona hawajakosea na raia wakikosea wanakuwa wamekosea, no body would stab a cop for no reason especially kama anajua yule ni askari, me nadhani the development of this story has some missing pieces.. Wakuu tupendane tu, zaman kwa Tanzania askari tu ndio walikuwa wanatembea na bunduki lakin sikuiz watu kibao wanazo na hawaogopi kuzitumia…
 
Sasa si unaona maelezo yao ni km haya, yaan haya ndio yamejaa kwa vijana wengi kwamba Mimi mwanajeshi mmoja akija nampoteza unaona huu ujinga uliowajaa vijana na chuki za kijinga, sasa mentality km hii mtu anatembea nayo anavizia mwanajeshi yupo peke yake anamtafutia sababu ili amvimbie na mwanajeshi sio kwamba anaweza ku-vumilia kila ujinga unaofanywa mbele yake na raia lazima akuadhibu tu ijapokua haruhusiwi kufanya Ila self defense ni muhimu kwa Askari yoyote
iyo self defence lazima imponze ogopa sana mtu nikiwa nimejiandaa nikakutafuta neutral ground nitakumaliza kwa ufupi kaka poti/mjeda/soja TUHESHIMIANE
 
Nishakupa jibu sahihi, ukikosa nidhamu, heshima na utii unachezea mabanzi tu uwe na adabu sio kujitia una dharau dharau za kijingajinga utanyooshwa uende ukasimulie, jichanganye uwe mfano, wewe hauna Ajira inahusiana vipi na Jeshi una akili wewe au afya yako ya akili haipo sawa?
Hivi unadhani kanali hakua na mawazo Kama yako, kua dogo kajichanganya,ngoja nimnyooshe awe na adabu, matokeo yake yeye yupo mochwari?
Kuwa makini, mkuu.
 
madogo wadaa akili ndogo sana.
mtu unaweza kuuwa lakini kutoroka huwezi sasa kwanini unaua Kama kutoroka unashindwa?sibora uwe kondoo tuu.

hio nikesi ndogo sana Kama angekuwa naakili zakiume.

alipofanya hilotukio alitakiwa ndani ya masaa matatu ashafika njia yamkata huko.angeishi vizuri tuu mtaani.

lakini maskini yamungu dogo hana hili wala lile ameishia kukamatwa dah.
 
Inasemekana ( kwa aliyenipa Taarifa Kamili kuwa ) Dereva Bajaji jana Usiku katika Baa Moja maarufu iliyo kwa ndani ( Mafichoni kidogo ) mkabala na Petro Station ya PUMA Kawe alipishana Kauli na Mwanajeshi ( tena Mkubwa wa Cheo cha Kanali ) kuhusu Kuzibiana njia ya kupita.

Ambapo Afande Kanali alikuwa Kapaki Gari lake lililokuwa limezuia njia kwa mbele na Dogo ( Dereva Bajaji ) kuhoji kwanini Afande aliziba njia hali iliyomkwaza Afande ( wa Cheo cha Kanali Muro kama sijalikosea Jina lake ) ambapo Afande Kanali akatoka ndani ya Gari lake na Kumzaba Makofi Dereva Bajaji huyo.

Kisha nae ( Dereva Bajaji ) kwa Hasira akaamua kwenda kuchukua Bisibisi Bajajini Kwake na kuja Kumchoma nayo Afande Kanali upande wa Moyo hali iliyomfanya akimbizwe Lugalo Hospital kwa Matibabu na Umauti kumkuta huko huko Wodini.

kama ni kweli basi Kanali anadhihirisha ujinga wa askari wengi wa kiafrika.
Nguvu nyingi kuliko akili.

Tunapaswa kuheshimiana bila kujali vyeo, kadri unavyokuwa mkubwa unapaswa kujiheshimu sana na kuepuka shari.

Mpaka hapo katika busara za kawaida Kanali hana akili amebakisha cheo tu
 
Back
Top Bottom