FundiNgoma
Senior Member
- Dec 26, 2019
- 136
- 273
Bora we umesema ukweli,wengine utasikia ooh nimehustle sana kumbe wapi kaliwa mbususuKi serious, vita ni kuvute. Kwa msiojua wanawake tunavuliwa Sana nguo
Sasa mtu anaendesha boda atakuwaje na akili ule upepo huwa unapeperusha akili yote [emoji3]Aisee juzi nilipita sehem nikakuta mabodaboda wanabishana Kua hakuna mwalimu wa shule ya msingi mwenye mshahara wa 1m nkacheka sana aisee..[emoji28]
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
Kipnd cha awam ya shetan mwenda kuzm ndo walianza kupandsha mabega.Mwl mkuu au mek au afs elm w utamnyenyekea kama unasaka cheo na vifursa uchwara. Kuna miamba hasa yenye digrii takatifu, sio zile za kuungaunga hadi tunawatongoza hao mabosi na wananyoshwa vzr tu.
Kipnd cha awam ya shetan mwenda kuzm ndo walianza kupandsha mabega.
jisakilifaisi maisha yakeTulikataza humu kumsema mtu aliye jisakilifaisi maisha yake
kitu roho inapendaInategemea na maana yako ya KUTOBOA ndugu...
Watu wengi tunasurvive tu: EXISTING Vs LIVING
Kuna kuwepo tu (Existing) na Kuishi (Living):Wengi tupo tu, hatuishi...Tumpongeze mwenzetu kwa kupiga hatua...kwa kufanikiwa kufanya kitu roho inapenda, ana Amani sasa..kaanza kuishi
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Kumbe kuna Mwalimu mkuu na MKUU WA SHULE
Nimefanya research katika hili eneo mengi ni kwasababu ya bajet ya serikali inawekwa kwenye sekta ya elimu kwa kupunjwa au ufinyu sana ilihali ni sekta muhimu sanaUalimu ni kazi nzuri Sana. Inavutia Sana kuifanya kwa moyo. Nakumbuka nikiwa darasani nikiwalekeza watoto napata Raha sana mwanafunzi anapoelewa na kuelezea(demonstrate) like jambo.
Nilikuwa nafurahia Sana nilikutana na mtoto hajui kusoma vizuri au hata kuandika sawasawa nikamuuliza mama au baba ake ..." Huyu mtoto anevukaje sekondari Ili hali hajui kusoma vema na kuandika.."..na tuifanye nini..
Nilifurahia Sana mzazi anapotoa sababu...na Kwa kuwa lengo ni Moja tu ajue kusoma na kuandika na kupambanua mambo.
Nilifurahia na kuifanya kazi Kwa moyo.
Suala la mtoto kupita sekondari hajui si kosa la mzazi bali yule mwalimu wake wa shule ya awali na msingi.
Tatizo ni kwamba mwalimu amechoka, anafanya kazi Muda wote na watoto huku akiishi maisha ya dhiki,dharau na kunyanyaswa na wanaoitwa mwalimu mkuu(msingi) au Mkuu wa shule (sekondari), MEK,AFISA ELIMU (MSINGI NA SEKONDARI)
MIKOANI SIJUI(KWA MAANA YA AFISA ELIMU MKOA NA KATIBU TAWALA WAKE) HAO WANENE SIJUI.
MIMI nimepoteza Muda wangu Kwa dharau na kutojali unyanyasaji kutoka Kwa hawo viongozi.
Ninaamini hata walimu wenzangu yanawakutaa na haya.
Nina Umri wa miaka 25 kazini. Kazi hii ya ualimu nimeifanya yapata miaka 17. Baada ya hapo nikaipata kazi nyingine. Na niseme wazi wazi kama Mungu yupo kuna watu Wana dhambi nyingi na hamtapata nafasi utetezi.
Kazi ya 'Ualimu' imeniharibia maisha yangu. Sisemi msiisomee la hasha! Nimetumia sehemu ya maisha yangu ya kazi nikishuhudia dharau na kutojali na kutuona walimu hatuna thaman kuliko wao MEK na baadhi ya viongozi.
MEK ni Mratibu Elimu Kata.
Mwalimu Mkuu ni Mkuu wa kituo msingi.
Mkuu wa shule ni Mkuu wa kituo sekondari.
Sikumbuki Cha maana nilichopata zaid ya kumbukumbu mbaya kutoka kwenye mamlaka. Mwalimu anaambulia kujenga, kununuyusafiri na kusubiri kuinua mgongo. Sijaona kitu kingine. Kwa Sasa naona tofauti katika kazi hii nikiyonayo na kazi pendwa ya ualimu.
Nina Umri wa miaka 25 kazini. Kazi hii ya ualimu nimeifanya yapata miaka 17. Baada ya hapo nikaipata kazi nyingine.Una miaka 25 na umefundisha kwa miaka 17,je ulianza kazi na miaka mingapi?
Ndiyo aliye sakilifaisi maisha yakejisakilifaisi maisha yake
Ukisikia kada hii ni kada ya wito Tanzania ni sahihiUalimu ni kazi nzuri Sana. Inavutia Sana kuifanya kwa moyo. Nakumbuka nikiwa darasani nikiwalekeza watoto napata Raha sana mwanafunzi anapoelewa na kuelezea(demonstrate) like jambo.
Nilikuwa nafurahia Sana nilikutana na mtoto hajui kusoma vizuri au hata kuandika sawasawa nikamuuliza mama au baba ake ..." Huyu mtoto anevukaje sekondari Ili hali hajui kusoma vema na kuandika.."..na tuifanye nini..
Nilifurahia Sana mzazi anapotoa sababu...na Kwa kuwa lengo ni Moja tu ajue kusoma na kuandika na kupambanua mambo.
Nilifurahia na kuifanya kazi Kwa moyo.
Suala la mtoto kupita sekondari hajui si kosa la mzazi bali yule mwalimu wake wa shule ya awali na msingi.
Tatizo ni kwamba mwalimu amechoka, anafanya kazi Muda wote na watoto huku akiishi maisha ya dhiki,dharau na kunyanyaswa na wanaoitwa mwalimu mkuu(msingi) au Mkuu wa shule (sekondari), MEK,AFISA ELIMU (MSINGI NA SEKONDARI)
MIKOANI SIJUI(KWA MAANA YA AFISA ELIMU MKOA NA KATIBU TAWALA WAKE) HAO WANENE SIJUI.
MIMI nimepoteza Muda wangu Kwa dharau na kutojali unyanyasaji kutoka Kwa hawo viongozi.
Ninaamini hata walimu wenzangu yanawakutaa na haya.
Nina Umri wa miaka 25 kazini. Kazi hii ya ualimu nimeifanya yapata miaka 17. Baada ya hapo nikaipata kazi nyingine. Na niseme wazi wazi kama Mungu yupo kuna watu Wana dhambi nyingi na hamtapata nafasi utetezi.
Kazi ya 'Ualimu' imeniharibia maisha yangu. Sisemi msiisomee la hasha! Nimetumia sehemu ya maisha yangu ya kazi nikishuhudia dharau na kutojali na kutuona walimu hatuna thaman kuliko wao MEK na baadhi ya viongozi.
MEK ni Mratibu Elimu Kata.
Mwalimu Mkuu ni Mkuu wa kituo msingi.
Mkuu wa shule ni Mkuu wa kituo sekondari.
Sikumbuki Cha maana nilichopata zaid ya kumbukumbu mbaya kutoka kwenye mamlaka. Mwalimu anaambulia kujenga, kununuyusafiri na kusubiri kuinua mgongo. Sijaona kitu kingine. Kwa Sasa naona tofauti katika kazi hii nikiyonayo na kazi pendwa ya ualimu.
Serikali na watu wake imepoteza umakini ni miaka sasaNinapata allowance
(1)usafiri.
Zamani nilikuwa natumia miguu, nikakopa nikununua bodaboda ikawa inanisadia. Nadhani hii ndio Hali wanayoishi walimu kwa Sasa. Hujajiongeza utaishi Kwa taabu.
Kwa Sasa transport allowance IPO. Namshukuru Mungu.
(2) House allowance IPO. Awali nilipangisha. Nikakopa nikajenga Kwa taabu Sana.
Serikali inattuhadaa Sana hapa kujenga nyumba za walimu"kwio"
Najiuliza kwanini sikupata hii kazi mapema? Mwalimu asipojipanga ataishia kuishi maisha ya taabu.
(3) Heshima. Jamani hakuna Jambo muhimu katika maisha kama heshima.
Ni sekta muhimu sana ila imepigwa tekeNinapata allowance
(1)usafiri.
Zamani nilikuwa natumia miguu, nikakopa nikununua bodaboda ikawa inanisadia. Nadhani hii ndio Hali wanayoishi walimu kwa Sasa. Hujajiongeza utaishi Kwa taabu.
Kwa Sasa transport allowance IPO. Namshukuru Mungu.
(2) House allowance IPO. Awali nilipangisha. Nikakopa nikajenga Kwa taabu Sana.
Serikali inattuhadaa Sana hapa kujenga nyumba za walimu"kwio"
Najiuliza kwanini sikupata hii kazi mapema? Mwalimu asipojipanga ataishia kuishi maisha ya taabu.
(3) Heshima. Jamani hakuna Jambo muhimu katika maisha kama heshima.
shule ya msingi mwenye mshahara wa 1mAisee juzi nilipita sehem nikakuta mabodaboda wanabishana Kua hakuna mwalimu wa shule ya msingi mwenye mshahara wa 1m nkacheka sana aisee..[emoji28]
Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
ule upepo huwa unapeperusha akili yote [emoji3]Sasa mtu anaendesha boda atakuwaje na akili ule upepo huwa unapeperusha akili yote [emoji3]
sakilifaisi maisha yakeNdiyo aliye sakilifaisi maisha yake
Umri na cheo mattersProfessional teachers wanalipwa kiasi gani take home mwenye ufahamu