Kenya imetoa ruhusa ya wapenzi wa jinsia moja kujumuika

Haya mambo ya ushoga huwa naona mnapenda sana kuyafatilia na kutaja taja, mko too obsessed, halafu wengi mnayafanya sana ukanda huo wa kuanzia Tanga, Dar hadi Pemba, huko ambapo dini yenu imetamalaki.
acha uzushi babwabwa we viongozi wenu wa juu wa dini akiwemo papa wenu wanalihalalisha hili na hutujasikia yoyote aliepinga na kauli ya papa huko
 
Wap cocastic ,Culture Me.
Nchi Yetu Soon Itaingia Huko, "King Kong III. Una Maoni gani hapa

Hatari Sana BM ,ila kwa TZ haiwezekani tukaingia maana Mh Rais alishaliweka wazi hili several times hata kwenye mkutano wake na tahiliso alisema wazi tuige mavazi ,technologies na vitu vya maendeleo ila mambo ya "upinde" tuaachane nayo! Kwahiyo TZ tupo kwenye mikono salama ya Mama Mwenye maadili yake,ni bora aendelee kutukamua na maTOZO kuliko tupokee misaada ya masharti ya kukubali U-rainbow.
 
Mke wa Jo Biden yupo Kenya ziara ya siku 2
 
Mabwabwa hawana morals wanajiendea tu... upande huu wanahalalisha upande wa pili wanaharamisha. Unasema at the age of 6 mtoto aamue jinsia the kakipigwa kitu unadai bado mdogo una m R Kelly... wakikujibu ni tag.
 

Hii kitu imenifungua kitu aisee
 

Umenifungua kitu hapo ila utuuzima n kuanzia 15 yrs kwa sasa naona wao wanapinga kufanya mapenz na mtt mdogo
 
Kenya walisharuhusu biashara ya wanawake kujiuza so hata hili sio la ajabu kwao
 


Mishoga mikubwa nyie MK254.
 
Kuna wakati unakosa hata lakusema
Yaan mwanaume anamuowa mwanaume![emoji2955][emoji2955][emoji2955]


Hakika mungu sio [mention]kelphin [/mention]
 
Na yule wanaharakati wa juzi si wa kenya leta mwanaharakati anatokea izo kanda ? Kama wewe unavyotetea mashoga wenzio unatumia nguvu.

Huyo mwanaharakati alijaribu huo upuzi wenu kwenye mikoani yakamkuta...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…